Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marufuku kusafirisha masanduku ya kura

Damian Lubuva_NEC2*Tume yasema matokeo yatatangazwa vituoni

*Fomu ya matokeo ya urais kuskaniwa jimboni

NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM

MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva, amesema kura zote za urais, ubunge na udiwani, zitahesabiwa katika vituo vya kupigia kura na matokeo yote kutangazwa hapo hapo na ni marufuku kusafirisha masanduku ya kura kama ilivyokuwa zamani.

Jaji Lubuva aiyasema hayo Dar es Salaam jana katika mkutano na wawakilishi wa walemavu   kujadili namna bora...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ni Marufuku Kusafirisha Masanduku ya Kura……Tume Yasisitiza Matokeo Yatatangazwa Vituoni, Fomu za Urais Kuskaniwa Jimboni na Kutangazwa LIVE

Wednesday, September 30, 2015 MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva, amesema kura zote za urais, ubunge na udiwani, zitahesabiwa katika vituo vya kupigia kura na matokeo yote kutangazwa hapo hapo […]

The post Ni Marufuku Kusafirisha Masanduku ya Kura……Tume Yasisitiza Matokeo Yatatangazwa Vituoni, Fomu za Urais Kuskaniwa Jimboni na Kutangazwa LIVE appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Breaking News: Vijana wa UKAWA Mwanza Wachoma MOto Masanduku Yaliopigwa Kura Za MAGUFULI na Wamshikilia Dereva Aliebeba Masanduku hayo

HABARI NJEMA…. Tumepokea taarifa kutoka Mwanza, Geita, Shinyanga, Mara na Kagera muda huu saa 4.15 usiku.. Masanduku 3,470 yamekamatwa kwenye magari ya serikali (TANROADS) Yakiwa na jumla ya kura 1,600,00 za Magufuli. Vijana wamekubaliana walale vituoni […]

The post Breaking News: Vijana wa UKAWA Mwanza Wachoma MOto Masanduku Yaliopigwa Kura Za MAGUFULI na Wamshikilia Dereva Aliebeba Masanduku hayo appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Mahanga: Sikuiba masanduku ya kura 2010

Watanzania walio wengi bado wanaukumbuka Uchaguzi Mkuu Mwaka 2010 kwa sababu mbalimbali.

 

10 years ago

Mwananchi

Masanduku ya kura, kiboko ya vyama vikongwe

Makala haya yanaakisi nini mtizamo wangu kuhusu masuala ya vijana na amani. Binafsi naamini kuwa wanasiasa hawapaswi kuwatumia vijana vibaya kwa sababu vijana wetu wengi hawana elimu, hawajui lolote na wanaburuzika kirahisi.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Marufuku kusafirisha nguruwe’

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani amepiga marufuku usafirishaji nguruwe nchini bila kibali cha wataalamu wa mifugo, lengo likiwa ni kuzuia kuenea homa ya nguruwe iliyoripotiwa mkoani Mbeya.

 

10 years ago

Habarileo

Kusafirisha wafuasi wa vyama marufuku Zanzibar

Mkuu wa Upelelezi na Makosa ya Jinai Zanzibar, Salum MsangiPOLISI Visiwani Zanzibar imepiga marufuku vyama vya siasa kusafirisha wafuasi na wanachama wake kutoka wilaya moja kwenda nyingine kuhudhuria mikutano ya hadhara ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kudhibiti vurugu za kisiasa kwa wafuasi kushambuliana.

 

9 years ago

Mwananchi

RC: Wasiojiandikisha marufuku vituo vya kura

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Ally Rufunga amewapiga marufuku wananchi ambao hawakujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapigakura kwenda kwenye maeneo ya vituo cha kupigia kura ili kuepusha kuzuka kwa vurugu zitakazosababisha uvunjifu wa amani.

 

10 years ago

Mwananchi

NEC: Marufuku kutoa kadi ya kupigia kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeonya kwamba mtu yoyote haruhusiwi kutoa kadi yake ya kupigakura au taarifa za kadi hiyo kwa ndugu, jamaa au mwajiri wake.

 

9 years ago

Mwananchi

IGP apiga marufuku mikusanyiko ya watu siku ya kupiga kura

Jeshi la Polisi nchini, limepiga marufuku mikusanyiko ya watu siku ya  kupiga kura kwa madai kwamba imekuwa ndiyo chanzo cha uvunjifu wa amani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani