Dk Mahanga: Sikuiba masanduku ya kura 2010
Watanzania walio wengi bado wanaukumbuka Uchaguzi Mkuu Mwaka 2010 kwa sababu mbalimbali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
Breaking News: Vijana wa UKAWA Mwanza Wachoma MOto Masanduku Yaliopigwa Kura Za MAGUFULI na Wamshikilia Dereva Aliebeba Masanduku hayo
HABARI NJEMA…. Tumepokea taarifa kutoka Mwanza, Geita, Shinyanga, Mara na Kagera muda huu saa 4.15 usiku.. Masanduku 3,470 yamekamatwa kwenye magari ya serikali (TANROADS) Yakiwa na jumla ya kura 1,600,00 za Magufuli. Vijana wamekubaliana walale vituoni […]
The post Breaking News: Vijana wa UKAWA Mwanza Wachoma MOto Masanduku Yaliopigwa Kura Za MAGUFULI na Wamshikilia Dereva Aliebeba Masanduku hayo appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Marufuku kusafirisha masanduku ya kura
*Tume yasema matokeo yatatangazwa vituoni
*Fomu ya matokeo ya urais kuskaniwa jimboni
NA JONAS MUSHI, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva, amesema kura zote za urais, ubunge na udiwani, zitahesabiwa katika vituo vya kupigia kura na matokeo yote kutangazwa hapo hapo na ni marufuku kusafirisha masanduku ya kura kama ilivyokuwa zamani.
Jaji Lubuva aiyasema hayo Dar es Salaam jana katika mkutano na wawakilishi wa walemavu kujadili namna bora...
10 years ago
Mwananchi14 Dec
Masanduku ya kura, kiboko ya vyama vikongwe
9 years ago
Mzalendo Zanzibar30 Sep
Ni Marufuku Kusafirisha Masanduku ya Kura……Tume Yasisitiza Matokeo Yatatangazwa Vituoni, Fomu za Urais Kuskaniwa Jimboni na Kutangazwa LIVE
Wednesday, September 30, 2015 MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva, amesema kura zote za urais, ubunge na udiwani, zitahesabiwa katika vituo vya kupigia kura na matokeo yote kutangazwa hapo hapo […]
The post Ni Marufuku Kusafirisha Masanduku ya Kura……Tume Yasisitiza Matokeo Yatatangazwa Vituoni, Fomu za Urais Kuskaniwa Jimboni na Kutangazwa LIVE appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rfRW4K4twlY/Vb7xaEl_wEI/AAAAAAAAiao/h0RTNQO9pBo/s72-c/1.png)
Kura za Maoni CCM: Mawaziri Watano Waanguka.......Yumo Chikawe,Sillima,Mahanga na Makalla ,Aden Rage Pia Kaanguka!!
![](http://2.bp.blogspot.com/-rfRW4K4twlY/Vb7xaEl_wEI/AAAAAAAAiao/h0RTNQO9pBo/s640/1.png)
Matokeo ya awali ya kura za maoni kwa wagombea udiwani na ubunge kupitia chama tawala, yameanza kuanikwa, huku yakionesha kuwa baadhi ya mawaziri, wabunge na watendaji katika chama na serikali wameangushwa.
Kwa mujibu wa matokeo ambayo mtandao huu umeyapata, kwa upande wa mawaziri walioshindwa ni pamoja na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe.Hayo yamethibitishwa na Katibu wa CCM mkoa wa Lindi, Adelina Gefi aliyesema kura za Chikawe katika jimbo lake la Nachingwea alikokuwa...
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Mahanga amvaa Magufuli
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Ikulu yamshangaa Dk Mahanga
10 years ago
Habarileo03 Jan
Mahanga anogewa na ubunge
MBUNGE wa Jimbo la Segerea, Dk Makongoro Mahanga (CCM) amesema atagombea tena ubunge kwenye jimbo hilo mwaka huu.
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Dk. Mahanga amfuata Lowassa
BAADA ya kuanguka kura za maoni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Naibu Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Dk. Makongoro Mahanga, amejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Dk. Makongoro aliyekuwa Mbunge wa Segerea, pia amejiuzulu nafasi yake ya Naibu Waziri.
Akizungumza nyumbani kwake Segerea jijini hapa jana, Dk. Makongoro alisema pia kwamba amemtuma dereva wake kulirudisha serikalini gari la Wizara ya Kazi.
Hali hiyo imetokea siku moja tu baada ya...