Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto waliwa na fisi, wafa

Bahi. Watoto wawili wenye umri wa kati ya miaka miwili na mitano wameuawa na fisi katika Kijiji cha Mnkola, Kata ya Ibihwa wilayani Bahi Mkoa wa Dodoma katika matukio mawili tofauti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Watoto watumbukia shimoni, wafa

Watoto wawili wamefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye shimo lililojaa maji ambalo lilichimbwa na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kwa ajili ya kusimika nguzo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wafa kwa chanjo Syria

Taaarifa kutoka syria zinasema zaidi ya watoto kumi na mbili wamekufa na wengine kuugua baada ya kupewa chonjo ya surua.

 

9 years ago

Habarileo

Watoto wafa katika ajali ya basi

WATOTO wawili wamekufa papo hapo na watu wengine 53 wamejeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wanasafiria kuacha njia na kupinduka kijiji cha Pida, wilaya ya Butiama mkoani Mara.

 

11 years ago

GPL

WATOTO WAWILI FAMILIA MOJA WAFA PAMOJA

Stori: Juma Kapipi, Tabora
INAUMA sana! Watoto wawili wa kiume wa familia moja, Daniel Paul (8) na mdogo wake, Emmanuel Paul (3), wamepoteza maisha wakiwa pamoja baada ya kuteketea kwa moto ndani ya nyumba. Miili ya watoto wawili, Daniel Paul na mdogo wake, Emmanuel Paul ikitolewa eneo la tukio. Katika tukio lililojiri majira ya saa 1:00 asubuhi, maeneo ya Mtaa wa Rufita, Mwanza-Road mjini hapa baada ya nyumba waliyokuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto waliotoroka Dar, wafa maji Bukoba

WATOTO wawili wakazi wa jijini Dar es Salaam wamefariki dunia juzi walipokuwa wakiogelea kwenye Ziwa Victoria, eneo la gati la Kishimba mjini Bukoba. Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, George Mayunga,...

 

10 years ago

GPL

MADENTI WALIWA MIGUU NA MAMBA

Stori: Igenga Mtatiro, TARIME
WANAFUNZI wawili wa shule za msingi za Nyabisara (Murito) na Kerende Kata ya Kemambo wilayani Tarime, Mara wameumwa hadi kuondolewa nyama zao za miguu na mamba walipokwenda kuoga maji ya mto kwa nyakatitofauti. Penina Joseph Mangure akiwa na jeraha mguuni alilojeruhiwa na Mamba. Wanafunzi hao ni Penina Joseph Mangure  (11) wa darasa la nne Shule ya… ...

 

10 years ago

GPL

FISI HAACHIWI BUCHA

He he he heeee, acha nicheke miye mwana Kibatari mjukuu ya Kandili, unajua vitu vingine vinachekesha kama si kusikitisha, unalalamika mwanamke mzima uliyekamilika tena bila aibu eti mfanyakazi wako wa ndani anakulia mali zako kwa mumeo kuhamishia mapenzi kwake! Unajua kauli hiyo hunifanya nikumbuke ile kauli isemayo mpambe awe mwenye mali na mwenye mali aonekane mpambe. Ooh, nilikuja na kasi ya ajabu na miye bila salamu kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli na mfupa uliomshinda fisi

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amekuja na ahadi ya kuanzisha mahakama maalumu ya kusikiliza kesi za rushwa na ufisadi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msako wa fisi Geita waanza

IDARA ya Maliasili na Utalii Wilaya za nyang’hwale na Geita kupitia kitengo cha wanyamapori imeanza msako mkali wa kuwaua Fisi ambao siku za hivi karibuni wamegeuka tishio kwa binadamu hususani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani