Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto watumbukia shimoni, wafa

Watoto wawili wamefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye shimo lililojaa maji ambalo lilichimbwa na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kwa ajili ya kusimika nguzo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Ray C aokoe wanaokaribia kutumbukia shimoni, awaache walio shimoni tayari?

Harakati za Rehema Chalamila aka Ray C ama ‘kiuno bila mfupa’ kama alivyokuwa akijulikana zamani za kukiokoa kizazi kipya cha vijana wa Tanzania dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya, zinakumbana na majaribu mazito. Tangu muimbaji huyo wa zamani aokoke kutoka katika shimo la umauti lililojichimba kutokana na kuathirika kwake na dawa hizo kiasi cha […]

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto waliwa na fisi, wafa

Bahi. Watoto wawili wenye umri wa kati ya miaka miwili na mitano wameuawa na fisi katika Kijiji cha Mnkola, Kata ya Ibihwa wilayani Bahi Mkoa wa Dodoma katika matukio mawili tofauti.

 

9 years ago

Habarileo

Watoto wafa katika ajali ya basi

WATOTO wawili wamekufa papo hapo na watu wengine 53 wamejeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wanasafiria kuacha njia na kupinduka kijiji cha Pida, wilaya ya Butiama mkoani Mara.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watoto wafa kwa chanjo Syria

Taaarifa kutoka syria zinasema zaidi ya watoto kumi na mbili wamekufa na wengine kuugua baada ya kupewa chonjo ya surua.

 

11 years ago

GPL

WATOTO WAWILI FAMILIA MOJA WAFA PAMOJA

Stori: Juma Kapipi, Tabora
INAUMA sana! Watoto wawili wa kiume wa familia moja, Daniel Paul (8) na mdogo wake, Emmanuel Paul (3), wamepoteza maisha wakiwa pamoja baada ya kuteketea kwa moto ndani ya nyumba. Miili ya watoto wawili, Daniel Paul na mdogo wake, Emmanuel Paul ikitolewa eneo la tukio. Katika tukio lililojiri majira ya saa 1:00 asubuhi, maeneo ya Mtaa wa Rufita, Mwanza-Road mjini hapa baada ya nyumba waliyokuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto waliotoroka Dar, wafa maji Bukoba

WATOTO wawili wakazi wa jijini Dar es Salaam wamefariki dunia juzi walipokuwa wakiogelea kwenye Ziwa Victoria, eneo la gati la Kishimba mjini Bukoba. Kamanda wa Polisi mkoani Kagera, George Mayunga,...

 

9 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT: AJALI YAUWA WATU WATANO LUDEWA,WATUMBUKIA MTONI

Globu ya Jamii imepata taarifa kutoka Wilayani Ludewa kuwa kumetokea ajali ya gari katika kata ya Lugarawa ambayo imepelekea vifo vya watu watano leo mchana,walikuwa wakitoka Lugarawa kwenda Shaurimoyo gari ikatumbukia katika mto Lugarawa (kama ionekavyo pichani).Habari zaidi tutawaletea kadiri ya zitakavyopatikana.
Mungu aziliaze roho za marehemu mahali pema peponi-Amina

 

10 years ago

Mwananchi

Masatu: Simba imo shimoni

 Beki wa zamani wa Simba, George Masatu amesema viongozi wa klabu hiyo wameitumbukiza timu yao shimoni na sasa inasubiri kufukiwa kutokana na kutokuwa na uamuzi na misingi mizuri ya timu kwa kuruhusu kutawaliwa na wachezaji wa kigeni.

 

10 years ago

Habarileo

Mbaroni kwa kumfukia mtoto shimoni

FAIDA Mohammed Salum (28) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumtupa mtoto mchanga aliyejifungua siku moja tu na kumfukia shimoni eneo la Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani