Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ray C aokoe wanaokaribia kutumbukia shimoni, awaache walio shimoni tayari?

Harakati za Rehema Chalamila aka Ray C ama ‘kiuno bila mfupa’ kama alivyokuwa akijulikana zamani za kukiokoa kizazi kipya cha vijana wa Tanzania dhidi ya matumizi ya dawa za kulevya, zinakumbana na majaribu mazito. Tangu muimbaji huyo wa zamani aokoke kutoka katika shimo la umauti lililojichimba kutokana na kuathirika kwake na dawa hizo kiasi cha […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Masatu: Simba imo shimoni

 Beki wa zamani wa Simba, George Masatu amesema viongozi wa klabu hiyo wameitumbukiza timu yao shimoni na sasa inasubiri kufukiwa kutokana na kutokuwa na uamuzi na misingi mizuri ya timu kwa kuruhusu kutawaliwa na wachezaji wa kigeni.

 

9 years ago

Mwananchi

Watoto watumbukia shimoni, wafa

Watoto wawili wamefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye shimo lililojaa maji ambalo lilichimbwa na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kwa ajili ya kusimika nguzo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachimbaji sita wa mgodi watoka shimoni

Wachimbaji sita waliokuwa wamenasa shimboni nchini Afrika kusini watoka shimoni na kukwepa kukamatwa

 

11 years ago

Habarileo

Mtoto afia chooni, mwingine shimoni

WATOTO wawili wamekufa mkoani hapa, mmoja kwa kutumbukia chooni na mwingine kwa kuzama kwenye shimo lililokuwa na maji. Katika tukio la kwanza, mtoto John Mwapwani (3) alitumbukia chooni alipokwenda kujisaidia katika Mtaa wa Skanda, Kata ya Chemchem, Manispaa ya Tabora.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara shimoni Kariakoo walilia taa

WAFANYABIASHARA wa soko kuu la Kariakoo eneo la shimoni, wameutaka uongozi wa soko hilo kuboresha miundombinu ya taa na viyoyozi ili kunusuru afya zao. Wakizungumza na Tanzania Daima kwa nyakati...

 

10 years ago

Habarileo

Mbaroni kwa kumfukia mtoto shimoni

FAIDA Mohammed Salum (28) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumtupa mtoto mchanga aliyejifungua siku moja tu na kumfukia shimoni eneo la Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba.

 

11 years ago

Habarileo

Aliyekufa na mganga wa jadi shimoni azikwa humohumo

KIKOSI cha uokoaji kimeshindwa kuupata mwili wa Zuberi Kaima (45) ambaye yeye pamoja na mganga wa jadi, Sophiani Khamis (60) walisadikiwa kufa kwa kukosa hewa kwenye shimo walilokuwa wakichimba dhahabu.

 

11 years ago

GPL

GARI LATUMBUKIA SHIMONI, VIJANA WAZIPIGA KUGOMBEA MGAO WA KULINASUA

Shimo ambalo limekuwa kero kwa watumiaji wa barabara hiyo. Gari  la serikali likiwa limekwama kwenye shimo hilo. Muonekano wa shimo ulivyo.…

 

11 years ago

Mwananchi

Mzimu wa walio tayari usiachwe, utaiua EAC

‘Mzimu’ wa Muungano wa walio tayari umetulizwa na marais wa nchi za Afrika Mashariki (EAC), baada ya kukubaliana kuwa nchi zote wanachama zitashirikishwa kwenye vikao vyote vinavyohusu masuala ya jumuiya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani