Wafanyabiashara shimoni Kariakoo walilia taa
WAFANYABIASHARA wa soko kuu la Kariakoo eneo la shimoni, wameutaka uongozi wa soko hilo kuboresha miundombinu ya taa na viyoyozi ili kunusuru afya zao. Wakizungumza na Tanzania Daima kwa nyakati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo518 Jul
Ray C aokoe wanaokaribia kutumbukia shimoni, awaache walio shimoni tayari?
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Mgomo wa wafanyabiashara watikisa Kariakoo
![Baadhi ya maduka Kariakoo yakiwa yamefungwa baada ya maofisa wa TRA kuanza uhakiki wa watumiaji wa mashine za risiti za kielektroniki (EFD) jijini Dar es Salaam. Picha na John Dande](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Kariakoo.jpg)
Baadhi ya maduka Kariakoo yakiwa yamefungwa baada ya maofisa wa TRA kuanza uhakiki wa watumiaji wa mashine za risiti za kielektroniki (EFD) jijini Dar es Salaam. Picha na John Dande
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
WAFANYABIASHARA wa maduka ya soko la Kariakoo wameanza mgomo kwa muda usiojulikana kuanzia jana, sambamba na kuishinikiza Serikali kupunguza kodi ya asilimia 18 wanayotozwa kupitia mashine za kielektroniki (EFDs).
Wamefikia hatua hiyo ikiwa ni siku moja baada ya TRA kutangaza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Zf7js0lkpBquKw8uz*0K1S9TpuFVnOFxVWS675g1yHAf0qmLt8TbkKOguv83KDrk0qs-PFGS94lc4cRRaD2bdgRsQYPg*B29/IMG20140908WA0005.jpg)
WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAHAIRISHA MGOMO
11 years ago
Michuzi13 Feb
PINDA AZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO NA MIKOANI
10 years ago
GPLWAFANYABIASHARA KARIAKOO DAR WAGOMEA MASHINE ZA EFD
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0h0pqw5kCM/Xp2P0NvasWI/AAAAAAALnhM/asDGLaPP6JwnaOpX3n0ZbCSK9fPMhzPUgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5479.jpg)
BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19
Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0h0pqw5kCM/Xp2P0NvasWI/AAAAAAALnhM/asDGLaPP6JwnaOpX3n0ZbCSK9fPMhzPUgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5479.jpg)
BODI YA USHAURI TAA YAIANGUKIA SERIKALI ISAIDIE TAA KATIKA KIPINDI HIKI CHA JANGA LA COVID 19
Na Bahati Mollel,TAA
BODI ya Ushauri (MAB) ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imeiangukia serikali iisaidie TAA kuigharama huduma mbalimbali za uendeshaji kwenye viwanja vya ndege kutokana na kuathiriwa kwa asilimia 100 na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID19), inayoambukizwa na virusi vya corona.
Mwenyekiti wa MAB, Dkt. Masatu Chiguma, ametoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki kwenye kikao cha dharura cha Bodi hiyo, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jengo la Watu Mashuhuri...
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Libeneke jipya la habari za Kariakoo ‘Kariakoo Digital’
Naomba kutambulisha kwenu tovuti mpya ya www.kariakootz.com inayofahamika kama Kariakoo Digital Ambayo imejikita katika kukusanya orodha ya maduka ya wafanyabiashara wa Kariakoo pamoja na bidhaa wanazouza, mawasiliano yao na mitaa wanayopatikana na kuyaweka sehemu moja ili kukupa urahisi wa kutafuta bidhaa unayohitaji.
Sasa unawaweza kuokoa muda na pesa zako kwa kutumia tovuti hii mpya ya www.kariakootz.com kupata orodha ya maduka mengi yanayouza bidhaa kariakoo kisha unaweza kuwasiliana...