Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAHAIRISHA MGOMO

Wafanyabiashara wa Kariakoo wakiwa katika mgomo wa kutumia mashine za Kodi za TRA (EFD).
Wafanyabiashara hao wakiwasikiliza viongozi wao (hawapo pichani)  (STORI/PICHA NA GLOBAL WHATSAPP +255 753 715 779) Wafanyabiashara wa Kariakoo waliokuwa katika mgomo…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mgomo wa wafanyabiashara watikisa Kariakoo

Baadhi ya maduka Kariakoo yakiwa yamefungwa baada ya maofisa wa TRA kuanza uhakiki wa watumiaji  wa mashine za risiti za kielektroniki (EFD) jijini Dar es Salaam. Picha na John Dande

Baadhi ya maduka Kariakoo yakiwa yamefungwa baada ya maofisa wa TRA kuanza uhakiki wa watumiaji wa mashine za risiti za kielektroniki (EFD) jijini Dar es Salaam. Picha na John Dande

NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

WAFANYABIASHARA wa maduka ya soko la Kariakoo wameanza mgomo kwa muda usiojulikana kuanzia jana, sambamba na kuishinikiza Serikali kupunguza kodi ya asilimia 18 wanayotozwa kupitia mashine za kielektroniki (EFDs).

Wamefikia hatua hiyo ikiwa ni siku moja baada ya TRA kutangaza...

 

11 years ago

Michuzi

PINDA AZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO NA MIKOANI


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza  na viongozi wa  Jumuiya  za Wafanyabiashara wa kati wa Kariakooo na Mikoani kuhusu mgogoro wa matumizi  ya mashine za TRA, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Feb 12, 2014- usiku.Kulia kwake ni Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, Adam Malima.  Baadhi ya viongozi wa Jumuiya za wafanyabiashara wa kati wa Kariakoo na Mkoani  wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipozungumza nao kuhusu mgogoro wa matumizi  ya mashine  za TRA, Ofisini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara shimoni Kariakoo walilia taa

WAFANYABIASHARA wa soko kuu la Kariakoo eneo la shimoni, wameutaka uongozi wa soko hilo kuboresha miundombinu ya taa na viyoyozi ili kunusuru afya zao. Wakizungumza na Tanzania Daima kwa nyakati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgomo wa wafanyabiashara watikisa

WAFANYABIASHARA wa maduka kwenye mikoa mbalimbali nchini wamegoma kufungua maduka yao kwa madai kuwa serikali imeshindwa kusikiliza kilio chao cha kutaka mashine za kielektroniki (EFD) zishushwe bei. Mashine hizo zinatolewa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wafanyabiashara wasitisha mgomo


NA WAANDISHI WETU
BIASHARA katika Jiji la Dar es Salaam, zimeanza kurejea kwenye hali yake ya kawaida baada ya juzi baadhi ya wafanyabiashara wa maduka kugoma na kuyafunga, wakipinga matumizi ya mashine za risiti za kielektroniki (EFD).
Mgomo huo uliodumu kwa saa kadhaa, ulileta usumbufu mkubwa kwa wafanyabiashara wadogo na wananchi waliofika kwa ajili ya kupata huduma mbalimbali, hususan maeneo ya Kariakoo.
Hata hivyo, wafanyabiashara hao walisitisha mgomo huo baada ya kufikiwa kwa maazimio...

 

10 years ago

GPL

WAFANYABIASHARA KARIAKOO DAR WAGOMEA MASHINE ZA EFD

Baadhi ya maduka yaliyoko  mitaa mbalimbali ya Kariakoo yakiwa yamefungwa. BAADHI ya wafanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam, wamegoma kufungua maduka wakidai warudishiwe mashine za mkono za awali badala ya zile za EFD, wakisema zinatumia ‘network’ na inapokuwa  haipo panakuwa na  usumbufu kwa wauzaji na wateja. Kamera ya  GPL imezunguka maeneo… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara Songea waendelea na mgomo

WAFANYABIASHARA  ya  maduka  katika  Halmashauri  ya Manispaa  ya  Songea, mkoani  Ruvuma, wameingia  katika  siku  ya  tatu  ya  mgomo  usiokuwa   na  kikomo, hali ambayo imesababisha  adha  kubwa  kwa  wakazi  wa  manispaa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ndugai aibukia sakata la mgomo wa wafanyabiashara

>Naibu Spika, Job Ndugai ambaye alipotea bungeni wakati wa mjadala moto wa sakata la akaunti ya Tegeta Escrow na kuzua maswali mengi, jana ameibukia katika sakata la wafanyabiashara baada ya wabunge kuwasha moto kutaka Serikali isikilize madai yao na kumwachia mwenyekiti wa jumuiya yao, Johnson Minja aliyenyimwa dhamana.

 

10 years ago

Michuzi

MGOMO WA WAFANYABIASHARA WATIKISA MKOANI KILIMANJARO


Baadhi ya wafanyabiashara wakiwa nje ya maduka yao mara baada ya kuamua kuyafunga kwa kile wanaochodai kufanya mgomo kwa lengo la kumuunga mkono Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara Johnson Minja ambaye kesi yake inasikilizwa mkoani Dodoma.

Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa baadhi ya maduka yaliyoko Double road.

Maduka yaliyopo katika jengo la Halmashauri ya manispaa ya Moshi lenye ghorofa mbili pia hali ilikuwa hivi.

Pilika pilika zilizozoeleka katika kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani