Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAFANYABIASHARA KARIAKOO DAR WAGOMEA MASHINE ZA EFD

Baadhi ya maduka yaliyoko  mitaa mbalimbali ya Kariakoo yakiwa yamefungwa. BAADHI ya wafanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam, wamegoma kufungua maduka wakidai warudishiwe mashine za mkono za awali badala ya zile za EFD, wakisema zinatumia ‘network’ na inapokuwa  haipo panakuwa na  usumbufu kwa wauzaji na wateja. Kamera ya  GPL imezunguka maeneo… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWANZA, MORO NAO WAGOMEA MASHINE ZA EFD

Wafanyabiashara jijini Mwanza na mkoani Morogoro nao wamefunga maduka leo ikiwa ni muendelezo wa kupinga matumizi ya Mashine za Elektroniki za Kutolea Risiti (EFD). Tayari, wafanyabiashara miji ya Iringa, Songea na Mara wametoa msimamo wa kugomea matumizi ya mashine hizo na kuazimia kufunga biashara zao kama njia ya kupinga matumizi yake. Jijini Dar wafanyabiashara wa maduka ya Kariakoo bado wameendelea na mgomo huo ulioanza jana....

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara wazijadili mashine za EFD’s

KATIBU wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania, Sued Chemuchemu, amesema matumizi ya mashine za EFD’s ni  kandamizi kwa wafanyabiashara kwa sababu wakati wa kutungwa kwa sheria ya matumizi yake hakuna mfanyabiashara...

 

10 years ago

Michuzi

Wafanyabiashara Washauriwa Kutumia Mashine za EFD

Na Beatrice Lyimo- Maelezo.
Kampuni ya COMPULYNX Tanzania inayoshughulika na usambazaji wa mashine za Electronic Fiscal Device (EFD) imewashauri wafanya biashara nchini kutumia mashine hizo ipasavyo kwani husaidia kukuza pato la Taifa.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Bw Sailesh Savani wakati akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
“Wafanyabiashara wasiwe waoga kutumia mashine za EFD kwani huleta uhalali wa pande zote mbili ikiwemo Serikali...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wagomea EFD’s Dar

SIKU chache baada ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kutangaza kuanza uhakiki wa matumizi ya mashine za EFDs, wafanyabiashara wa maduka Kariakoo Dar es...

 

11 years ago

Michuzi

Adam Mlima asisitiza umuhim wa mashine za EFD kwa wafanyabiashara nchini.

 Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima (kushoto) akizungumza na Mkuu wa mkoa wa Mara John Tuppa (kulia) mara baada ya kuwasili katika ofisi za makao makuu ya mkoa wa Mara.  Kamishna wa Kodi za Ndani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Patrick Kasera akifafanua kwa wafanyabiashara wa mkoani Mara juu ya mashine za EFDs na kusema kuwa mashine hizo kazi yake kuu ni kutunza kumbukumbu za biashara hasa manunuzi na uuzaji na sio mfumo wa kodi kama ilivyopokelewa mwanzoni na wafanyabiashara nchini.  Naibu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali wafunguka mashine za EFD

HIVI karibuni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) chini ya Idara ya Elimu kwa Mlipa Kodi Mkoa wa Temeke, Dar es Salaam, waliendesha semina ya siku tatu kwa wafanyabiashara. Lengo lilikuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Hatujakataza matumizi mashine za EFD’

UONGOZI wa Jumuiya ya Wafanyabiasha nchini (JWT) umesema haujawakataza wafanyabiashara kutumia mashine za kielektroniki za EFD bali wanachohitaji ni maboresho katika mashine hizo. Akizungumza na Tanzania Daima  jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TRA: Mashine za EFD haziepukiki

WAKATI wafanyabiashara maeneo mbalimbali nchini wakiendelea na mgomo kupinga kununua mashine za EFDs, Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini, (TRA), Rished Bade, amesisitiza kuwa mashine hizo haziepukiki na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani