WAFANYABIASHARA KARIAKOO DAR WAGOMEA MASHINE ZA EFD
Baadhi ya maduka yaliyoko mitaa mbalimbali ya Kariakoo yakiwa yamefungwa. BAADHI ya wafanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam, wamegoma kufungua maduka wakidai warudishiwe mashine za mkono za awali badala ya zile za EFD, wakisema zinatumia ‘network’ na inapokuwa  haipo panakuwa na  usumbufu kwa wauzaji na wateja. Kamera ya  GPL imezunguka maeneo… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMWANZA, MORO NAO WAGOMEA MASHINE ZA EFD
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Wafanyabiashara wazijadili mashine za EFD’s
KATIBU wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania, Sued Chemuchemu, amesema matumizi ya mashine za EFD’s ni kandamizi kwa wafanyabiashara kwa sababu wakati wa kutungwa kwa sheria ya matumizi yake hakuna mfanyabiashara...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o3RCa1NBb3k/VV8W5hnrGWI/AAAAAAAHZAA/g_QnzTDGwI0/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Wafanyabiashara Washauriwa Kutumia Mashine za EFD
Kampuni ya COMPULYNX Tanzania inayoshughulika na usambazaji wa mashine za Electronic Fiscal Device (EFD) imewashauri wafanya biashara nchini kutumia mashine hizo ipasavyo kwani husaidia kukuza pato la Taifa.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Bw Sailesh Savani wakati akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
“Wafanyabiashara wasiwe waoga kutumia mashine za EFD kwani huleta uhalali wa pande zote mbili ikiwemo Serikali...
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Wagomea EFD’s Dar
SIKU chache baada ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi kutangaza kuanza uhakiki wa matumizi ya mashine za EFDs, wafanyabiashara wa maduka Kariakoo Dar es...
11 years ago
Michuzi03 Feb
Adam Mlima asisitiza umuhim wa mashine za EFD kwa wafanyabiashara nchini.
![](https://2.bp.blogspot.com/-qHurNV60oEY/Uu427IuivBI/AAAAAAACoFk/tb_8pCCMulw/s1600/113.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-A3bWdi8imd4/Uu423oBk4lI/AAAAAAACoE8/GizaFVkp7VA/s1600/33.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-cKBcNE-N-aE/Uu422l84d4I/AAAAAAACoE4/jcgc8DZ5l3o/s1600/24.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Wajasiriamali wafunguka mashine za EFD
HIVI karibuni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) chini ya Idara ya Elimu kwa Mlipa Kodi Mkoa wa Temeke, Dar es Salaam, waliendesha semina ya siku tatu kwa wafanyabiashara. Lengo lilikuwa...
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
‘Hatujakataza matumizi mashine za EFD’
UONGOZI wa Jumuiya ya Wafanyabiasha nchini (JWT) umesema haujawakataza wafanyabiashara kutumia mashine za kielektroniki za EFD bali wanachohitaji ni maboresho katika mashine hizo. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
TRA: Mashine za EFD haziepukiki
WAKATI wafanyabiashara maeneo mbalimbali nchini wakiendelea na mgomo kupinga kununua mashine za EFDs, Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini, (TRA), Rished Bade, amesisitiza kuwa mashine hizo haziepukiki na...