‘Hatujakataza matumizi mashine za EFD’
UONGOZI wa Jumuiya ya Wafanyabiasha nchini (JWT) umesema haujawakataza wafanyabiashara kutumia mashine za kielektroniki za EFD bali wanachohitaji ni maboresho katika mashine hizo. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Serikali yakanusha taarifa za upotoshaji kuhusu matumizi ya Mashine za Kielektroniki( EFD’s)
Kaimu Mkurugenzi Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Julius Mjanga akiwaeleza waandishi wa Habari(Hawapo Pichani) kuhusu Taaarifa za Upotoshaji kuwa matumizi ya mashine za kielektroniki(EFD’s) yamesitishwa ila mashine hizo zinaendelea kutumika kwa mujibu wa Sheria na wafanyabiashara wanapaswa kuendelea kuzitumia il kuisaidia serikali katika ukusanyaji wa Kodi. Kushoto ni Afisa Uhusiano Mkuu wa Mamlaka hiyo Bi Oliver Njunwa.
Baadhi ya Waandishi wa...
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Waziri wa Fedha afanya ukaguzi wa matumizi wa mashine za EFD katika maduka mkoani Dodoma
Mh.Waziri wa Fedha Saada M. Salum (MB) akimsikiliza msimamizi wa duka la Salome Furniture wakati akijitetea baada ya kukutwa anafanya biashara bila ya kutumia mashine ya EFD.
Mh.Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum amefanya ukaguzi wa ghafla katika baadhi ya maduka Mkoani Dodoma ili kuona kama maelekezo ya Serikali kuhusu matumizi ya mashine za EFD yanatekelezwa ipasavyo.
Katika ukaguzi huo ambao ulihusisha maduka ya kuuza thamani za majumbani,nguo na maduka ya kuuza bidhaa mchanganyiko (Min...
10 years ago
Michuzi20 Jun
MH.WAZIRI WA FEDHA SAADA M.SALUM AFANYA UKAGUZI WA MATUMIZI WA MASHINE ZA EFD KATIKA MADUKA MKOANI DODOMA.
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1249.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2173.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/3143.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Wajasiriamali wafunguka mashine za EFD
HIVI karibuni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) chini ya Idara ya Elimu kwa Mlipa Kodi Mkoa wa Temeke, Dar es Salaam, waliendesha semina ya siku tatu kwa wafanyabiashara. Lengo lilikuwa...
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Wafanyabiashara wazijadili mashine za EFD’s
KATIBU wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania, Sued Chemuchemu, amesema matumizi ya mashine za EFD’s ni kandamizi kwa wafanyabiashara kwa sababu wakati wa kutungwa kwa sheria ya matumizi yake hakuna mfanyabiashara...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
TRA: Mashine za EFD haziepukiki
WAKATI wafanyabiashara maeneo mbalimbali nchini wakiendelea na mgomo kupinga kununua mashine za EFDs, Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini, (TRA), Rished Bade, amesisitiza kuwa mashine hizo haziepukiki na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o3RCa1NBb3k/VV8W5hnrGWI/AAAAAAAHZAA/g_QnzTDGwI0/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Wafanyabiashara Washauriwa Kutumia Mashine za EFD
Kampuni ya COMPULYNX Tanzania inayoshughulika na usambazaji wa mashine za Electronic Fiscal Device (EFD) imewashauri wafanya biashara nchini kutumia mashine hizo ipasavyo kwani husaidia kukuza pato la Taifa.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Bw Sailesh Savani wakati akiongea na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
“Wafanyabiashara wasiwe waoga kutumia mashine za EFD kwani huleta uhalali wa pande zote mbili ikiwemo Serikali...
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
MASHINE ZA EFD: Tulipe kodi, serikali iwajibike
SERIKALI zote duniani huendeshwa kwa mapato. Kama hazina mapato zinakuwa zimefilisika na kuingia kwenye orodha ya mataifa yaliyofilisika. Kufilisika kwa taifa huja kwa viashiria vingi sana, kwanza serikali kuwa na...
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Serikali isirudi nyuma kuhusu mashine za EFD