Waziri wa Fedha afanya ukaguzi wa matumizi wa mashine za EFD katika maduka mkoani Dodoma
Mh.Waziri wa Fedha Saada M. Salum (MB) akimsikiliza msimamizi wa duka la Salome Furniture wakati akijitetea baada ya kukutwa anafanya biashara bila ya kutumia mashine ya EFD.
Mh.Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum amefanya ukaguzi wa ghafla katika baadhi ya maduka Mkoani Dodoma ili kuona kama maelekezo ya Serikali kuhusu matumizi ya mashine za EFD yanatekelezwa ipasavyo.
Katika ukaguzi huo ambao ulihusisha maduka ya kuuza thamani za majumbani,nguo na maduka ya kuuza bidhaa mchanganyiko (Min...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi20 Jun
MH.WAZIRI WA FEDHA SAADA M.SALUM AFANYA UKAGUZI WA MATUMIZI WA MASHINE ZA EFD KATIKA MADUKA MKOANI DODOMA.
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1249.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2173.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/3143.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
‘Hatujakataza matumizi mashine za EFD’
UONGOZI wa Jumuiya ya Wafanyabiasha nchini (JWT) umesema haujawakataza wafanyabiashara kutumia mashine za kielektroniki za EFD bali wanachohitaji ni maboresho katika mashine hizo. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es...
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Serikali yakanusha taarifa za upotoshaji kuhusu matumizi ya Mashine za Kielektroniki( EFD’s)
Kaimu Mkurugenzi Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Julius Mjanga akiwaeleza waandishi wa Habari(Hawapo Pichani) kuhusu Taaarifa za Upotoshaji kuwa matumizi ya mashine za kielektroniki(EFD’s) yamesitishwa ila mashine hizo zinaendelea kutumika kwa mujibu wa Sheria na wafanyabiashara wanapaswa kuendelea kuzitumia il kuisaidia serikali katika ukusanyaji wa Kodi. Kushoto ni Afisa Uhusiano Mkuu wa Mamlaka hiyo Bi Oliver Njunwa.
Baadhi ya Waandishi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pjKGvXXFOHs/U5n7ePx9FZI/AAAAAAAFqL4/vszfKHRIZJ8/s72-c/DSC_0805.jpg)
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA OMAR YUSSUF MZEE KUHUSU MAPENDEKEZO YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2014/15 KATIKA BARAZA LA WAWAKILISHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-pjKGvXXFOHs/U5n7ePx9FZI/AAAAAAAFqL4/vszfKHRIZJ8/s1600/DSC_0805.jpg)
10 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DODOMA MHE. CHIKU GALLAWA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI SOKO LA WAMACHINGA LA REHEMA NCHIMBI COMPLEX MJINI DODOMA AGOSTI 12, 2015
11 years ago
Dewji Blog12 May
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu afanya ziara Mkoani Dodoma
Wakurugenzi wa Ofisi ya Waziri Mkuu waki kagua moja ya Mradi uanao tekelezwa na ( CDA) Miradi hii nikatika mpango wa matokeo makubwa sasa (BRN).
Katibu Mkuu Ofisi ya waziri Mkuu Dkt : Florens M Turuka wa (katikati) akitoa maelekezo kwa Wakurugenzi wa OWM walipo tembelea eneo la mradi wa Makaburi ya Viongozi katika eneo la Mlimani.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa (CDA) Bw: Pascal Muragiri akitoa maelezo ya mradi wa Barabara unaotekelezwa na CDA kwa msaada wa Benki ya Dunia wanao...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ezWWJSUhBVM/XmJa6dQAkKI/AAAAAAALhkE/PWZs6rlamtE9U2XuH9q11akUblFzasW9ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
IGP SIRRO AFANYA ZIARA YA UKAGUZI KATIKA SHULE YA POLISI MOSHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ezWWJSUhBVM/XmJa6dQAkKI/AAAAAAALhkE/PWZs6rlamtE9U2XuH9q11akUblFzasW9ACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-LY-6CqEBRaU/XmJa6Ysd65I/AAAAAAALhkA/ycpZGCKv-YYnWAcCneLC31grjs6H6tA6ACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)