Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgomo wa wafanyabiashara watikisa Kariakoo

Baadhi ya maduka Kariakoo yakiwa yamefungwa baada ya maofisa wa TRA kuanza uhakiki wa watumiaji  wa mashine za risiti za kielektroniki (EFD) jijini Dar es Salaam. Picha na John Dande

Baadhi ya maduka Kariakoo yakiwa yamefungwa baada ya maofisa wa TRA kuanza uhakiki wa watumiaji wa mashine za risiti za kielektroniki (EFD) jijini Dar es Salaam. Picha na John Dande

NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

WAFANYABIASHARA wa maduka ya soko la Kariakoo wameanza mgomo kwa muda usiojulikana kuanzia jana, sambamba na kuishinikiza Serikali kupunguza kodi ya asilimia 18 wanayotozwa kupitia mashine za kielektroniki (EFDs).

Wamefikia hatua hiyo ikiwa ni siku moja baada ya TRA kutangaza...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mgomo wa wafanyabiashara watikisa

WAFANYABIASHARA wa maduka kwenye mikoa mbalimbali nchini wamegoma kufungua maduka yao kwa madai kuwa serikali imeshindwa kusikiliza kilio chao cha kutaka mashine za kielektroniki (EFD) zishushwe bei. Mashine hizo zinatolewa...

 

10 years ago

Michuzi

MGOMO WA WAFANYABIASHARA WATIKISA MKOANI KILIMANJARO


Baadhi ya wafanyabiashara wakiwa nje ya maduka yao mara baada ya kuamua kuyafunga kwa kile wanaochodai kufanya mgomo kwa lengo la kumuunga mkono Mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara Johnson Minja ambaye kesi yake inasikilizwa mkoani Dodoma.

Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa baadhi ya maduka yaliyoko Double road.

Maduka yaliyopo katika jengo la Halmashauri ya manispaa ya Moshi lenye ghorofa mbili pia hali ilikuwa hivi.

Pilika pilika zilizozoeleka katika kituo kikuu cha mabasi mjini Moshi...

 

10 years ago

GPL

WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAHAIRISHA MGOMO

Wafanyabiashara wa Kariakoo wakiwa katika mgomo wa kutumia mashine za Kodi za TRA (EFD).
Wafanyabiashara hao wakiwasikiliza viongozi wao (hawapo pichani)  (STORI/PICHA NA GLOBAL WHATSAPP +255 753 715 779) Wafanyabiashara wa Kariakoo waliokuwa katika mgomo…

 

11 years ago

Mwananchi

Mgomo wa daladala watikisa Arusha

Mgomo wa mabasi yanayofanya safari zake kati ya Moshi na Arusha, jana ulitikisa miji hiyo kwa saa nane mfululizo, huku baadhi ya daladala za katikati ya Mji wa Moshi nazo zikishiriki mgomo huo.

 

10 years ago

GPL

MGOMO WA MADEREVA WATIKISA DAR

Mabasi yaendayo mikoani yakiwa Stendi ya Ubungo yamepaki. Wasafiri wakiwa hawajui hatma ya safari yao eneo la Ubungo. Hali halisi ya Ubungo ilivyokuwa asubuhi leo.…

 

10 years ago

Habarileo

Mgomo wa magari watikisa Bukoba, kisa rushwa trafiki

WAMILIKI wa magari yanayofanya ruti za Bukoba na wilaya nyingine na madereva, wameendelea kugoma wakishinikiza Serikali ikutane nao.

 

10 years ago

Michuzi

MGOMO WA MADEREVA WA VYOMBO VYA USAFIRISHAJI WATIKISA NCHI LEO

Madereva wa Vyombo vya Usafirishaji katika maeneo mbalimbali hapa nchini, leo wameingia katika Mgomo wa kutotoa huduma hiyo, kwa kile kinachoelezwa Madereva hao kutakiwa kurudi vyuoni kwa mafunzo zaidi ya usalama barabarani.
Hali ya mgomo huo, umepelekea adha kubwa kwa abiria wa vyombo hivyo, hasa wale waliokuwa wakielekea mikoani, kwani katika Stendi kuu ya Mabasi ya Ubungo jijini Dar es salaam, hakuna basi hata moja lililoondoka huku daladala nazo zikiwa hazionekani kabisa vituoni.
Uongozi...

 

11 years ago

Michuzi

PINDA AZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO NA MIKOANI


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza  na viongozi wa  Jumuiya  za Wafanyabiashara wa kati wa Kariakooo na Mikoani kuhusu mgogoro wa matumizi  ya mashine za TRA, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Feb 12, 2014- usiku.Kulia kwake ni Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, Adam Malima.  Baadhi ya viongozi wa Jumuiya za wafanyabiashara wa kati wa Kariakoo na Mkoani  wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipozungumza nao kuhusu mgogoro wa matumizi  ya mashine  za TRA, Ofisini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara shimoni Kariakoo walilia taa

WAFANYABIASHARA wa soko kuu la Kariakoo eneo la shimoni, wameutaka uongozi wa soko hilo kuboresha miundombinu ya taa na viyoyozi ili kunusuru afya zao. Wakizungumza na Tanzania Daima kwa nyakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani