PINDA AZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO NA MIKOANI
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na viongozi wa Jumuiya za Wafanyabiashara wa kati wa Kariakooo na Mikoani kuhusu mgogoro wa matumizi ya mashine za TRA, Ofisini kwake jijini Dar es salaam Feb 12, 2014- usiku.Kulia kwake ni Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, Adam Malima.
Baadhi ya viongozi wa Jumuiya za wafanyabiashara wa kati wa Kariakoo na Mkoani wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipozungumza nao kuhusu mgogoro wa matumizi ya mashine za TRA, Ofisini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Zf7js0lkpBquKw8uz*0K1S9TpuFVnOFxVWS675g1yHAf0qmLt8TbkKOguv83KDrk0qs-PFGS94lc4cRRaD2bdgRsQYPg*B29/IMG20140908WA0005.jpg)
WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAHAIRISHA MGOMO
10 years ago
Mtanzania02 Sep
Mgomo wa wafanyabiashara watikisa Kariakoo
![Baadhi ya maduka Kariakoo yakiwa yamefungwa baada ya maofisa wa TRA kuanza uhakiki wa watumiaji wa mashine za risiti za kielektroniki (EFD) jijini Dar es Salaam. Picha na John Dande](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Kariakoo.jpg)
Baadhi ya maduka Kariakoo yakiwa yamefungwa baada ya maofisa wa TRA kuanza uhakiki wa watumiaji wa mashine za risiti za kielektroniki (EFD) jijini Dar es Salaam. Picha na John Dande
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
WAFANYABIASHARA wa maduka ya soko la Kariakoo wameanza mgomo kwa muda usiojulikana kuanzia jana, sambamba na kuishinikiza Serikali kupunguza kodi ya asilimia 18 wanayotozwa kupitia mashine za kielektroniki (EFDs).
Wamefikia hatua hiyo ikiwa ni siku moja baada ya TRA kutangaza...
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Wafanyabiashara shimoni Kariakoo walilia taa
WAFANYABIASHARA wa soko kuu la Kariakoo eneo la shimoni, wameutaka uongozi wa soko hilo kuboresha miundombinu ya taa na viyoyozi ili kunusuru afya zao. Wakizungumza na Tanzania Daima kwa nyakati...
10 years ago
GPLWAFANYABIASHARA KARIAKOO DAR WAGOMEA MASHINE ZA EFD
9 years ago
CCM Blog03 Dec
10 years ago
Habarileo30 Jan
Pinda aahidi kumshughulikia Katibu Tarafa Kariakoo Dar
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameagiza watendaji katika Manispaa na Jiji waliohusika kunyang’anya mali za wafanyabiashara mbalimbali kwa kisingizio cha kusafisha jiji na kugawana badala ya kupeleka kunakoruhusiwa kuchukuliwa hatua huku akiahidi kumshughulikia Katibu Tarafa wa Kariakoo, jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Dewji Blog14 Jul
Pinda azungumza na Watanzania London
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akitia saini kitabu cha wageni baada ya kuwasili kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo mjini London kabla ya kuzungumza na watanzania Julai 11, 2014. Kushoto ni Mkewe Tunu na kulia ni Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Carol Chipeta. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya Watanzania waliohudhuria mkutano kati yao na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo mjini Londoni Julai 11, 2014...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WR_yoC4qSBU/VJ1pNdYO--I/AAAAAAAG56s/zOSYtGsKlUU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
PINDA AZUNGUMZA NA VIJANA WA MLELE
![](http://1.bp.blogspot.com/-WR_yoC4qSBU/VJ1pNdYO--I/AAAAAAAG56s/zOSYtGsKlUU/s1600/unnamed%2B(2).jpg)