PINDA AZUNGUMZA NA VIJANA WA MLELE
![](http://1.bp.blogspot.com/-WR_yoC4qSBU/VJ1pNdYO--I/AAAAAAAG56s/zOSYtGsKlUU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na vijana kutoka kata za Kibaoni na Usevya wilayani Mlele mkoani Katavi waliomtembelea nyumbani kwake Kibaoni leo akiwa kwenye mapumziko na Krismas na Mwaka mpya. Katikati mwenye miwani ni Mzee Chrisant MzindakayaPicha na PMO
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Pinda akutana na wananchi wa Mlele
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akifafanua jambo kwa kutumia kompyuta ndogo (Ipad) wakati alipozungumza na wanafamilia wa Mzee Katinda wa kitongoji cha Tupindo wilayani Mlele akiwa katika mapumziko mafupi nyumbani kwake Kibaoni, Katavi julai 22, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu).
Mke wa Waziri Mama Tunu Pinda akiwaonyesha picha mbalimbali alizopiga vijana wa kabila la Kisukuma aliokutana nao nyumbani kwa Mzee Katinda katika kitongoji cha Tupindo wilayani Mlele ambako yeye na Waziri...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA KUTANA NA WANANCHI WA MLELE
10 years ago
Dewji Blog28 Dec
Mama Pinda afungua mkutano wa Baraza la UWT wilaya ya Mlele
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na baadhi ya wajumbe wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakati alipowasili kwenye shule ya Sekondari ya Mamba kufungua Mkutano wa Baraza hilo Desemba 28, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akijumuikana wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Wanawake la Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakati alipowasili kwenye shule ya sekondari ya Mamba kufungua Mkutano wa Baraza hilo,...
10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Shughuli mbalimbali za Waziri Mkuu Pinda na mkewe Tunu wilayani Mlele
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Usevya wakati alipoitembelea na kuzungumza na walimu na wanafunzi wa shule hiyo Januari 1, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Mama Tunu Pinda akiwa katika picha ya pamoja na walimu wa shule ya sekondari ya Usevya wakati alipoitembelea na kuzungumza na walimu na wanafunzi wa shule hiyo Januari 1, 2015.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akionyesha DVD...
10 years ago
MichuziMAMA PINDA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA UWT WILAYA YA MLELE,KATAVI
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza wakati alipofungua Mkutano wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele Mkoani Katavi kwenye shule ya Sekondari ya Mamba Desemba 28, 2014.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
MichuziMH. PINDA APOKEA MSAADA WA MABATI KWA AJILI YA SHULE YA MSINGI KAKAUNI,WILAYANI MLELE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lqTxCyFtXvU/VajptaiFIOI/AAAAAAAHqOw/_01YYUMfxmc/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
WAZIRI MKUU MHE MIZENGO PINDA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA ELIMU WILAYANI MLELE
![](http://2.bp.blogspot.com/-lqTxCyFtXvU/VajptaiFIOI/AAAAAAAHqOw/_01YYUMfxmc/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4qEWaERQEac/VajptX7MJTI/AAAAAAAHqOs/tlRZXdFnipI/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
10 years ago
MichuziMH. PINDA AZUNGUMZA NA WATANZANIA LONDON
11 years ago
Dewji Blog14 Jul
Pinda azungumza na Watanzania London
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akitia saini kitabu cha wageni baada ya kuwasili kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo mjini London kabla ya kuzungumza na watanzania Julai 11, 2014. Kushoto ni Mkewe Tunu na kulia ni Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Carol Chipeta. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya Watanzania waliohudhuria mkutano kati yao na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwenye ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza uliopo mjini Londoni Julai 11, 2014...