Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda akutana na wananchi wa Mlele

IMGL6981 2

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  akifafanua jambo kwa kutumia  kompyuta ndogo (Ipad) wakati alipozungumza  na wanafamilia wa Mzee Katinda wa kitongoji cha Tupindo wilayani Mlele akiwa katika mapumziko mafupi nyumbani kwake  Kibaoni, Katavi julai 22, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGL6966

Mke wa Waziri Mama Tunu Pinda  akiwaonyesha picha mbalimbali alizopiga vijana wa kabila la Kisukuma aliokutana nao nyumbani kwa Mzee  Katinda katika kitongoji cha Tupindo wilayani Mlele  ambako yeye na Waziri...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU PINDA KUTANA NA WANANCHI WA MLELE

 Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  akifafanua jambo kwa kutumia  kompyuta ndogo (Ipad) wakati alipozungumza  na wanafamilia wa Mzee Katinda wa kitongoji cha Tupindo wilayani Mlele akiwa katika mapumziko mafupi nyumbani kwake  Kibaoni, Katavi julai 22, 2015. Watoto  wa familia ya  mzee Katinda wa  Kitongoji cha Tupindo wilayani Mlele  wakicheza ngoma ya Kisukuma mbele ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda .   Mheshiiwa Pinda yuko katika mapumziko mafupi kijijini kwake Kibaoni, katavi. 7027  Waziri Mkuu,...

 

10 years ago

Michuzi

PINDA AZUNGUMZA NA VIJANA WA MLELE

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na vijana kutoka kata za Kibaoni na Usevya wilayani Mlele mkoani  Katavi waliomtembelea nyumbani kwake Kibaoni  leo akiwa kwenye mapumziko na Krismas na Mwaka mpya. Katikati  mwenye miwani ni Mzee Chrisant MzindakayaPicha na PMO

 

10 years ago

Dewji Blog

Mama Pinda afungua mkutano wa Baraza la UWT wilaya ya Mlele

PG4A6780

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na baadhi ya wajumbe wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakati alipowasili kwenye shule ya Sekondari ya Mamba kufungua Mkutano wa Baraza hilo Desemba 28, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A6797

PG4A6786

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akijumuikana wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Wanawake la Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakati alipowasili kwenye shule ya sekondari ya Mamba kufungua Mkutano wa Baraza hilo,...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA PINDA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA UWT WILAYA YA MLELE,KATAVI


Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza wakati alipofungua Mkutano wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele Mkoani Katavi kwenye shule ya Sekondari ya Mamba Desemba 28, 2014.Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimia na baadhi ya wajumbe wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakati alipowasili kwenye shule ya Sekondari ya Mamba kufungua Mkutano wa Baraza hilo Desemba 28, 2014.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Dewji Blog

Shughuli mbalimbali za Waziri Mkuu Pinda na mkewe Tunu wilayani Mlele

PG4A7542

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika  picha ya pamoja na wanafunzi  wa shule ya sekondari ya Usevya wakati alipoitembelea na kuzungumza na walimu na wanafunzi wa shule hiyo Januari 1, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A7551

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Mama Tunu Pinda akiwa katika  picha ya pamoja na walimu wa shule ya sekondari ya Usevya wakati alipoitembelea na kuzungumza na walimu na wanafunzi wa shule hiyo Januari 1, 2015.

PG4A7037

Mke wa Waziri Mkuu, Mama  Tunu Pinda  akionyesha DVD...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU MHE MIZENGO PINDA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA ELIMU WILAYANI MLELE

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa amekalia oja ya madwati mapya ya plastiki yaliyowekwa kwenye moja ya madara ya shuley amsingi ya Kakuni  wilayani Mlele akiwa katika mapumziko mafupi kijijini kwake Kibaoni Julai 16, 2015Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda akikagua ujenzi wa nyumba za walimu katika shule ya msingi ya Kakuni wilayani Mlele Julai 16, 2015. Picha na PMO

 

11 years ago

Michuzi

MH. PINDA APOKEA MSAADA WA MABATI KWA AJILI YA SHULE YA MSINGI KAKAUNI,WILAYANI MLELE

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea mabati 350 yenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 15 kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ya GEPF, Bw. Daidi Msangi (wapili kulia) kwa jili ya kuezezeka madarasa mawili na jengo la utawala la shule ya Msingi ya Kakauni wilayani Mlele May 26,2014. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa katavi Dr. Rajabu Rutengwe. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mwanasiasa Mkongwe, Dr. Chrisant Mzindakaya (kushoto) na mbunge wa Sumbawanga Mjini, Aeshi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda akutana na Dangote

PG4A0988

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mwekezaji kutoka Nigeria anayejenga kiwanda cha saruji mkoani Mtwara, Bw.Aliko Dangote (kulia kwake) na ujumbe wake, ofisini kwake jijini Dar es salaam Aprili 30, 2015. Watatu kushoto ni Balozi wa Nigeria nchini, Dkt. Ishaya Samaila Majanbu.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A0995

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na Mwekezaji kutoka Nigeria anayejenga kiwanda cha saruji mkoani Mtwara, Bw.Aliko Dangote (kulia kwake) na ujumbe wake...

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda akutana na Balozi wa Ujerumani

PG4A7500

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na Balozi wa Ujerumani nchini, Egon Kochanke kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam Julai 28, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A7512

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na Balozi wa Ujerumani nchini, Egon Kochanke kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam Julai 28, 2014. Kulia ni Naibu  Balozi wa Ujerumani nchini, Hans Koeppel. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A7504

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani