Pinda akutana na Dangote
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mwekezaji kutoka Nigeria anayejenga kiwanda cha saruji mkoani Mtwara, Bw.Aliko Dangote (kulia kwake) na ujumbe wake, ofisini kwake jijini Dar es salaam Aprili 30, 2015. Watatu kushoto ni Balozi wa Nigeria nchini, Dkt. Ishaya Samaila Majanbu.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na Mwekezaji kutoka Nigeria anayejenga kiwanda cha saruji mkoani Mtwara, Bw.Aliko Dangote (kulia kwake) na ujumbe wake...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi30 Apr
WAZIRI MKUU PINDA AKUTANA NA DANGOTE
![da1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/da1.jpg)
![da2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/da2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5NQA0jp_LwU/VC-YX5k6PKI/AAAAAAAGnqc/o7F3KbR_DME/s72-c/8%2B(1).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA MFANYABIASHARA ALIKO DANGOTE
![](http://4.bp.blogspot.com/-5NQA0jp_LwU/VC-YX5k6PKI/AAAAAAAGnqc/o7F3KbR_DME/s1600/8%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rUADb5tKNxc/VC-YYBuxiCI/AAAAAAAGnqg/YdEJURzhLNM/s1600/9qq.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zOu7yBOWXuY/U2x8UfkG8QI/AAAAAAAFgd0/g4qPhIstuks/s72-c/da1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MFANYABIASHARA MAARUFU WA NIGERIA ALHAJ ALIKO DANGOTE JIJINI ABUJA
![](http://3.bp.blogspot.com/-zOu7yBOWXuY/U2x8UfkG8QI/AAAAAAAFgd0/g4qPhIstuks/s1600/da1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-W2rgOv0PJnU/U2x8Ub-UWJI/AAAAAAAFgds/G-Z1Gz2CsD4/s1600/da2.jpg)
11 years ago
MichuziRais kikwete akutana na Makamu wa Rais wa China pamoja na Mmiliki wa kampuni ya Dangote
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
Pinda akutana na wafanyabiashara wa Qatar
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya wafanyabiashara wa Qatar wanaokusudia kuwekeza Tanzania katika mkutano na wafanyabiashara hao uliofanyika kwenye hoteli ya Sheraton mjini Doha Desemba 22, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya wafanyabiashara wa Qatar wanaokusudia kuwekeza Tanzania katika mkutano uliofanyika kwenye hoteli ya Sheraton mjini Doha Desemba 22, 2014. Alikuwa katika ziara ya kaikazi nchini humo. (Picha na...
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Pinda akutana na wananchi wa Mlele
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akifafanua jambo kwa kutumia kompyuta ndogo (Ipad) wakati alipozungumza na wanafamilia wa Mzee Katinda wa kitongoji cha Tupindo wilayani Mlele akiwa katika mapumziko mafupi nyumbani kwake Kibaoni, Katavi julai 22, 2015. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu).
Mke wa Waziri Mama Tunu Pinda akiwaonyesha picha mbalimbali alizopiga vijana wa kabila la Kisukuma aliokutana nao nyumbani kwa Mzee Katinda katika kitongoji cha Tupindo wilayani Mlele ambako yeye na Waziri...
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Pinda akutana na Balozi wa Ujerumani
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi wa Ujerumani nchini, Egon Kochanke kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam Julai 28, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Balozi wa Ujerumani nchini, Egon Kochanke kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam Julai 28, 2014. Kulia ni Naibu Balozi wa Ujerumani nchini, Hans Koeppel. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).