Rais kikwete akutana na Makamu wa Rais wa China pamoja na Mmiliki wa kampuni ya Dangote
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo wakati akizungumza na makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mh. Li Yuanchao ikulu jijini Dar es Salaam leo.
-Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na mmiliki wa kampuni kubwa ya kuzalisha saruji DANGOTE Industries Ltd Alhaji Aliko Dangote ikulu jijini Dar es Salaam leo (picha na Freddy Maro)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Rais Kikwete akutana na Makamu wa Rais wa kampuni ya Viettel Group Ikulu Dar
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa Rais wa Kampuni ya Viettel Group ya nchini Vietnam Bwana Le Dang Dung ikulu jijini Dar es Salaam leo(picha na Freddy Maro).
Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu, Juni 30, 2014, amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe kutoka kampuni ya simu ya Viettel kutoka Vietnam ukiongozwa na Bwana Le Dang Dung ambaye ni Makamu wa Rais wa Kundi la makampuni ya Viettel...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-opK39gMHe98/UvTXKm6YruI/AAAAAAAFLl4/ddike4NRDho/s72-c/unnamed+(60).jpg)
Rais Kikwete akutana na Rais wa Kampuni ya TBEA ya China,pia afanya mazungumzo na Lord Mandelson
![](http://2.bp.blogspot.com/-opK39gMHe98/UvTXKm6YruI/AAAAAAAFLl4/ddike4NRDho/s1600/unnamed+(60).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-U8dJSU1-nY0/UvTXKxUEPyI/AAAAAAAFLl8/hhntsNi5e4Q/s1600/unnamed+(61).jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal amaliza ziara yake ya siku tatu, nchini China, akutana na mwenyeji wake makamu wa Rais wa China
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao, wakati alipowasili kwenye Ukumbi Maalum kwa watu wa China. ‘Peoples Great Hall’, jijini Beijing China kwa ajili ya mazungumzo rasmi, alipoalikwa kwenye chakula cha jioni na Makamu wa Rais wa China baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini humo.Mei 20, 2015. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMALIZA ZIARA YAKE YA SIKU TATU, NCHINI CHINA, AKUTANA NA MWENYEJI WAKE MAKAMU WA RAIS WA CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5m-J1xgXhfQ/VV2y4J3QVqI/AAAAAAAHYys/pZHTR_Y2wxU/s640/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3HP3JF8HoSQ/VN4ANxctzXI/AAAAAAAHDiM/MmwsQdw9RVA/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA UONGOZI WA KAMPUNI YA NARI YA CHINA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3HP3JF8HoSQ/VN4ANxctzXI/AAAAAAAHDiM/MmwsQdw9RVA/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_WBoAkp9RIQ/VN4AN0EgmFI/AAAAAAAHDiQ/3T1Dy1C5kyY/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fEOiv5rZMeA/VN4AN3I4kbI/AAAAAAAHDiU/OGshjVrT6Fo/s1600/4.jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, kwenye mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, Jijini Johannesburg
![](http://4.bp.blogspot.com/-AkL0QtdmB4A/VmK0CsPBvsI/AAAAAAACmgc/UUSipBl0myQ/s640/1A.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, wakati walipokutana kwenye Mkutano wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, wakati wakitembelea Mabanda ya maonesho ya mkutano huo uliofanyika Jijini Johannesburg Afrika ya Kusini jana Dec 4, 2015. ambapo Dkt. Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano huo kama Rais Mstaafu mwalikwa. Mkutano huo unamalizika leo . (Picha Zote na OMR).
![](http://2.bp.blogspot.com/-eOQXFKY8Vuo/VmK0CY4NgMI/AAAAAAACmgY/FF5YsBNaPQU/s640/2..jpg)
Makamu...
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akutana na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete, kwenye mkutano wa tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, Jijini Johannesburg
![](http://4.bp.blogspot.com/-AkL0QtdmB4A/VmK0CsPBvsI/AAAAAAACmgc/UUSipBl0myQ/s640/1A.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, wakati walipokutana kwenye Mkutano wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China, wakati wakitembelea Mabanda ya maonesho ya mkutano huo uliofanyika Jijini Johannesburg Afrika ya Kusini jana Dec 4, 2015. ambapo Dkt. Jakaya Kikwete alihudhuria mkutano huo kama Rais Mstaafu mwalikwa. Mkutano huo unamalizika leo . (Picha Zote na OMR).
![](http://2.bp.blogspot.com/-eOQXFKY8Vuo/VmK0CY4NgMI/AAAAAAACmgY/FF5YsBNaPQU/s640/2..jpg)
Makamu...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-w9MDJhISCYY/VZLDMTq1bxI/AAAAAAADvEc/K5ttL2Ha1Wo/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA UJUMBE WA KAMPUNI YA TBEA YA CHINA, IKULU DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-w9MDJhISCYY/VZLDMTq1bxI/AAAAAAADvEc/K5ttL2Ha1Wo/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cqeu_M5R-Js/VZLDNmVGkYI/AAAAAAADvEg/d__13CuWQRo/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-seGYYUBAxvA/VZLDNodYeJI/AAAAAAADvEk/j_3mSJclKUo/s640/3.jpg)