Mama Pinda afungua mkutano wa Baraza la UWT wilaya ya Mlele
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na baadhi ya wajumbe wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakati alipowasili kwenye shule ya Sekondari ya Mamba kufungua Mkutano wa Baraza hilo Desemba 28, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akijumuikana wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Wanawake la Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakati alipowasili kwenye shule ya sekondari ya Mamba kufungua Mkutano wa Baraza hilo,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAMA PINDA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA UWT WILAYA YA MLELE,KATAVI
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza wakati alipofungua Mkutano wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele Mkoani Katavi kwenye shule ya Sekondari ya Mamba Desemba 28, 2014.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
9 years ago
VijimamboMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA
10 years ago
Dewji Blog08 Nov
Pinda afungua baraza kuu la vijana Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza wakati alipofungua semina ya Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa kwenye ukumbi wa CCM White House mjini Dodoma Novemba 7, 2014. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
9 years ago
MichuziMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI
9 years ago
GPLMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI
10 years ago
Michuzi13 Oct
PINDA AFUNGUA KITUO CHA POLISI WILAYA YA UYUI
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/91etWLOcDV20llhI_Lq8qK-Tfiswr16xfCCEDnUgld4vRitecodVl-DzixbqJyhuVCm2_rFD7NEai16HHNfmVjp1x4FIWGw1FCJMfo-wZAuqo3mXnfZGu7G51JE=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/PG4A5299.jpg)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/CXeF17U035CloUv7aQ9GTvb49iRtnENwZE1bMLK275HqdSNzEzgqG8_-Bz4EfjJzAtbUwLGqEzA0JMITcXMzIjJpZYH65KhhdT2hUan0i_xz7VE0qnu9drquSus=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/PG4A5302.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-t9X_szdB1Lw/VEoKVzwavEI/AAAAAAAGtD0/fF_aSjW-ZyI/s72-c/DSC_0018.jpeg)
Mama Tunu Pinda Mgeni rasmi katika Mkutano wa akina mama wa Kitanzania waishio Uingereza
Mama Tunu Pinda alihudhuria Mkutano huo kwa mualiko wa mwenyeji wake Mrs Joyce Kallaghe Mke wa Balozi wa Tanzania Uk, Peter Kallaghe.
Mtoa mada aliyeongozana na Mama Tunu , alikuwa ni Mama Anna Matinde , mwanamke Mjasiriamali mahiri na aliyebobea ambaye ana kofia mbalimbali za Uwakilishi wa...
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
PINDA afungua mkutano wa REPOA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifunga Mkutano wa Taasisi ya Research on Poverty Alleviation in Tanzania (REPOA) kwenye hoteli ya Bahari Beach Jijini Dar es salaam Machi 25, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AFYmA9ULVIQ/VMvu8LbFMWI/AAAAAAACWjU/ETpQxUJqO6I/s72-c/balozi2.jpg)
BALOZI IDDI AFUNGUA MKUTANO WA 18 WA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-AFYmA9ULVIQ/VMvu8LbFMWI/AAAAAAACWjU/ETpQxUJqO6I/s640/balozi2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pgv-C4vSRe8/VMvuznE0uCI/AAAAAAACWjM/hDweJUVl2DQ/s640/balozi.jpg)