Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania Mkoa wa Mjini Bi Waridi Juma akisoma risala ya Wanawake wa Mkoa wa Mjini wakati wa mkutano na Mke wa Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM Dk Ali Mohamed Shein, Mama Mwanamwema Shein, uliofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya Mkoa wa Mjini Amani Zanzibar.Viongozi wa UWT Mkoa wa Mjini Unguja wakimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, wakati wa mkutano wake na Viongozi hao uliofanyika Afisi ya CCM Mkoa Amani Zanzibar.
Naibu Katibu Mkuu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania Mkoa wa Mjini Bi Waridi Juma akisoma risala ya Wanawake wa Mkoa wa Mjini wakati wa mkutano na Mke wa Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM Dk Ali Mohamed Shein, Mama Mwanamwema Shein, uliofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya Mkoa wa Mjini Amani Zanzibar.Viongozi wa UWT Mkoa wa Mjini Unguja wakimsikiliza Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, wakati wa mkutano wake na Viongozi hao uliofanyika Afisi ya CCM Mkoa Amani Zanzibar.Naibu Katibu Mkuu...

 

10 years ago

GPL

MAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI‏

Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akiwahutubia Viongozi wa Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Mjini Unguja na kuwaomba kumpigia Kura ya Ndio Mgombea wa Urais wa CCM Dk Ali Mohamed Shein na Mgombea Urais wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli na Wagombea wote wa CCM. Mke wa Rais wa Zanzibar akiwahutubia Viongozi wa UWT wa Mkoa wa Mjini Unguja wakati wa mkutano wake wa kampeni ya kumuombea...

 

11 years ago

Michuzi

Mama Mwanamwema Shein akabidhi madawati kwa Skuli ya Msingi Mgenihaji Wilaya ya Kati Unguja

MWAKILISHI wa Jimbo la Uzini Unguja Mhe. Mahammed Raza, akitowa maelezo kwa Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, wakatin wa kukuabidhi madawati kwa Skuli ya Msingi Mgenihaji Wilaya ya Kati Unguja.jumla ya madawati 100 na viti 100 vimekabidhiwa skuli hiyo jana. MKE wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akimkabidhi Madeski Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Mgenihaji Ndg.Ali Mohammed Nassor, hafla hiyo imefanyika...

 

10 years ago

Michuzi

Dkt. Shein afungua Mkutano wa Mabalozi wa Nyumba kumi Wilaya ya Mjini Unguja

Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar DK.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mbali mbali alipowasili viwanja vya Ukumbi wa Salama Hall Bwawani Mjini Unguja kuzungumza na Mabalozi wa Wilaya ya Mjini CCM katika kuimarisha Chama alipoanza ziara maalum kwa mikoa mitano ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]

 

10 years ago

Vijimambo

Mama Mwanamwema Shein Akabidhi Vifaa Dunga

Mwanafunzi wa Madrasa Tauin Mwera akisoma Quran kabla ya kuaza kwa hafla hiyo, iliofanyika katika viwanja vya Afisi ya Mkoa wa Kusini Unguja.Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akisalimiana na Viongozi wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja alipowasili katika viwanja vya Afisi ya CCM Mkua wa Kusini Unguja kukabidhi Vifaa hivyo.Mke wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, akiwa na Viongozi wa CCM wakati alipowasili katika...

 

5 years ago

Michuzi

UMOJA WA WAWAKILISHI WANAWAKE (UWAWAZA) WAMPONGEZA MAMA MWANAMWEMA SHEIN.


MWENYEKITI wa Wawawakilishi Wanawake Zanzibar (UWAWAZA)  ni Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Mgeni Hassan Juma akitowa pongeza kwa Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, kwa ushirikiano wake kikamilifu katika shughuli za maendeleo mbalimbali zikiwemo za Kijamii.(Picha na Ikulu) 

 

10 years ago

Vijimambo

Mama Mwanamwema Shein, Afutarisha Watoto wa Kijiji cha SOS Mombasa Zanzibar.

Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi akisalimiana na Mama Fatma Karume alipowasili katika viwanja vya Kijiji cha SOS kujumuika na Watoto hao katika futari aliowaandalia katika makaazi yao Mombasa.Watoto wa Kijiji cha SOS Zanzibar wakipata futari ilioandaliwa na Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein, katika makaaazi yao mombasa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein kila mwaka hujumuika na Watoto wa SOS na Mazizini katika futari...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mama Pinda afungua mkutano wa Baraza la UWT wilaya ya Mlele

PG4A6780

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimiana na baadhi ya wajumbe wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakati alipowasili kwenye shule ya Sekondari ya Mamba kufungua Mkutano wa Baraza hilo Desemba 28, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A6797

PG4A6786

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akijumuikana wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Wanawake la Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakati alipowasili kwenye shule ya sekondari ya Mamba kufungua Mkutano wa Baraza hilo,...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA PINDA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA UWT WILAYA YA MLELE,KATAVI


Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza wakati alipofungua Mkutano wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele Mkoani Katavi kwenye shule ya Sekondari ya Mamba Desemba 28, 2014.Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akisalimia na baadhi ya wajumbe wa Baraza la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mlele mkoani Katavi wakati alipowasili kwenye shule ya Sekondari ya Mamba kufungua Mkutano wa Baraza hilo Desemba 28, 2014.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani