Mtoto afia chooni, mwingine shimoni
WATOTO wawili wamekufa mkoani hapa, mmoja kwa kutumbukia chooni na mwingine kwa kuzama kwenye shimo lililokuwa na maji. Katika tukio la kwanza, mtoto John Mwapwani (3) alitumbukia chooni alipokwenda kujisaidia katika Mtaa wa Skanda, Kata ya Chemchem, Manispaa ya Tabora.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo518 Jul
Ray C aokoe wanaokaribia kutumbukia shimoni, awaache walio shimoni tayari?
10 years ago
Habarileo30 Aug
Mbaroni kwa kumfukia mtoto shimoni
FAIDA Mohammed Salum (28) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumtupa mtoto mchanga aliyejifungua siku moja tu na kumfukia shimoni eneo la Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba.
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Mtoto afia kisimani
WATU wawili wamefariki dunia katika matukio mawili tofauti jijini Dar es Salaam, likiwemo la mtoto Susan Shadrack (2) mkazi wa Majohe Kivule aliyetumbukia kisimani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala,...
9 years ago
GPLODAMA: NATAMANI MTOTO MWINGINE
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Mtoto mwingine akatwa kiganja Sumbawanga
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Mtoto mwingine Albino akatwa mkono
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq9MrZ7-oTw3dPCRRzbEk2ZyWTM*kDLdQpEEz8Asp-Bu8AstWMQTQB5xgwEMGaaMm9StoXwuEpveD9i*Y6SztFWC/mtoto.jpg)
MTOTO MWINGINE ATEKWA, AUAWA, AKATWA NYETI
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
Breaking News…#Ukatili tena: Mtoto mwingine mwenye Albinism akatwa mkono, mama mtu ajeruhiwa vibaya
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda (katikati) akizungumza na waandishi wa habari. (Picha na maktaba).
Na modewji blog
Mtoto Baraka Cosmas Rusambo mwenye umri wa miaka sita mwenye ulemavu wa ngozi (Albinism), amekatwa mkono wa kulia katika tukio lilitokea Jumamosi usiku tarehe7 Machi kwenye kijiji cha Kiseta, Kata ya Kiseta, Tarafa ya Kiseta wilayani Sumbawanga vijijini, mkoani Rukwa.
Picha ya mtoto Baraka Cosmas Rusambo, akiwa wodini akipatiwa matibabu ya jeraha la...
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Masatu: Simba imo shimoni