Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto afia kisimani

WATU wawili wamefariki dunia katika matukio mawili tofauti jijini Dar es Salaam, likiwemo la mtoto Susan Shadrack (2) mkazi wa Majohe Kivule aliyetumbukia kisimani. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mtoto afa kisimani Dar

MTOTO Omar Said, mwenye umri wa miaka mitatu, amekutwa amekufa baada ya kutumbukia ndani ya kisima cha maji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto atumbukia kisimani, afa

MTOTO Omari Hamduni (3) mkazi wa Keko Magurumbasi jijini Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo alisema...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mtoto wa mwaka mmoja afariki dunia baada ya kutumbukia Kisimani Mbeya

msangi rp

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi.

Na Emanuel Madafa, Mbeya

Mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi saba  Promis Dank mkazi wa bwawani wilaya ya Chunya amefariki dunia njiani akiwa anapelekwa hospitali baada ya kutumbukia kisimani.

Tukio hilo limetokea Novemba  112  majira ya saa 12 asubuhi huko kitongoji cha Railway,  kata ya Bwawani, wilaya ya Chunya, mkoa wa Mbeya.

Inadaiwa kuwa, mtoto huyo baada ya kutumbukia kwenye kisima hicho ambacho kilikuwa wazi, aliokolewa akiwa hai...

 

11 years ago

Habarileo

Mtoto afia chooni, mwingine shimoni

WATOTO wawili wamekufa mkoani hapa, mmoja kwa kutumbukia chooni na mwingine kwa kuzama kwenye shimo lililokuwa na maji. Katika tukio la kwanza, mtoto John Mwapwani (3) alitumbukia chooni alipokwenda kujisaidia katika Mtaa wa Skanda, Kata ya Chemchem, Manispaa ya Tabora.

 

11 years ago

Habarileo

Anyonga kichanga na kumtumbukiza kisimani

POLISI mkoani hapa inamshikilia msichana wa miaka 18, aliyetajwa kwa jina la Rhoda Idetemya kwa tuhuma ya kumyonga mtoto wake wa miezi miwili.

 

11 years ago

Habarileo

Wafa kwa kukosa hewa kisimani

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Jacob MwaruandaWATU wawili wote wakazi wa kitongoji cha Chanji -Soweto mjini hapa, wamefariki dunia baada ya kukosa hewa wakiwa ndani ya kisima kirefu cha maji, walichokuwa wakichimba.

 

11 years ago

GPL

MREMBO AFIA GESTI ARUSHA

Stori: Joseph Ngilisho, Arusha
MREMBO mmoja ambaye alihu-dumu kwenye nyumba ya kulala wageni na baa (jina tunalo) iliyopo Tengeru, wilayani Arumeru, mkoani Arusha, Blandina Michael (33) amekutwa amekufa kwenye moja ya vyumba vya nyumba hiyo huku chanzo cha tukio hilo kikihusishwa na vitendo vya ushirikiana. Taarifa za awali zilimtuhumu mmiliki wa nyumba ya wageni moja ambaye pia anajihusisha na biashara za madini (jina tunalo)...

 

10 years ago

GPL

MREMBO MBONGO AFIA CHINA!

Imelda Mtema
Mrembo Mtanzania aliyejulikana kwa jina la Rehema Mohamed (30), anadaiwa kufia katika Mji wa Shanghai nchini China wiki mbili zilizopita baada ya kuugua kwa muda mrefu hadi mauti yalipomfika huku ndugu zake wakichanganyikiwa kutokana na taarifa za kifo hicho. Mwanadada Rehema Mohamed anayedaiwa kufia China. Habari zaidi kutoka kwa aliyekuwa rafiki wa karibu wa Rehema nchini China, (jina lake linahifadhiwa)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani