Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MREMBO MBONGO AFIA CHINA!

Imelda Mtema
Mrembo Mtanzania aliyejulikana kwa jina la Rehema Mohamed (30), anadaiwa kufia katika Mji wa Shanghai nchini China wiki mbili zilizopita baada ya kuugua kwa muda mrefu hadi mauti yalipomfika huku ndugu zake wakichanganyikiwa kutokana na taarifa za kifo hicho. Mwanadada Rehema Mohamed anayedaiwa kufia China. Habari zaidi kutoka kwa aliyekuwa rafiki wa karibu wa Rehema nchini China, (jina lake linahifadhiwa)...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MREMBO AMCHOMA VISU MBONGO SAUZI

Stori: Mayasa Mariwata na Shani ramadhani
WIVU wa mapenzi bwana! Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la David Patrick Chagu (pichani) aliyekuwa akiishi Jimbo la George nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’  amekumbwa na mauti kwa kuchomwa visu na mpenziwe aliyefahamika kwa jina moja la Monica. Waombolezaji na mama wa marehemu, Rose Ndunguru (wa pili kulia) wakiwa katika hali ya simanzi. Tukio hilo lilitokea Oktoba...

 

11 years ago

GPL

MREMBO AFIA GESTI ARUSHA

Stori: Joseph Ngilisho, Arusha
MREMBO mmoja ambaye alihu-dumu kwenye nyumba ya kulala wageni na baa (jina tunalo) iliyopo Tengeru, wilayani Arumeru, mkoani Arusha, Blandina Michael (33) amekutwa amekufa kwenye moja ya vyumba vya nyumba hiyo huku chanzo cha tukio hilo kikihusishwa na vitendo vya ushirikiana. Taarifa za awali zilimtuhumu mmiliki wa nyumba ya wageni moja ambaye pia anajihusisha na biashara za madini (jina tunalo)...

 

11 years ago

GPL

MBONGO ABAKWA CHINA, AFA

Stori: Mwandishi Wetu
AMA kweli dunia hadaa, ulimwengu shujaa! Kumeibuka mchezo mchafu, kuna Watanzania wanawachukua warembo nchini na kuwapeleka China kwa ahadi kwamba wanakwenda kufanya kazi saluni, wakifika kule wanawanyang’anya paspoti na kuwauza kwa wanaume (ukahaba), sasa yamemkuta Mbongo aitwaye Sabrina au Habiba, Ijumaa Wikienda lina mkasa wa kusikitisha. Habari za uhakika kutoka kwa chanzo chetu nchini humo...

 

11 years ago

GPL

MBONGO ALIYEBAKWA HADI KUFA CHINA... MAZITO YAIBUKA!

Stori: Shakoor Jongo na Gabriel Ng’osha
KATIKA Gazeti la Ijumaa Wikienda la juzi Jumatatu, Toleo Namba 354 ukurasa wake wa mbele kuna habari yenye kichwa kisemacho; MBONGO ABAKWA CHINA, AFA! Sabrina enzi za uhai wake. Katika habari hiyo, kulisindikizwa na vichwa vidogo vilivyosomeka; Wabakaji ni Wanigeria watano, maiti yake yakutwa haina figo, moyo!
Habari hiyo ilimhusu Mtanzania aliyejulikana kwa… ...

 

10 years ago

GPL

MBONGO AUAWA MAREKANI

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
MAMIA ya wananchi wa Manispaa ya Morogoro wakiongozwa na Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro, Mhashamu Telesphor Mkude wamejitokeza kumzika marehemu Method Clecence Mengi aliyeuawa kwa kuchomwa visu na watu wasiofahamika nchini Marekani. Mama akimuaga marehemu mwanaye, Method Clecence Mengi. Mengi alikumbwa na ukatili huo wa kuchomwa visu vitatu, tumboni viwili na kwenye paji la uso...

 

11 years ago

Tanzania Daima

ALAT yawa mbongo

JUMUIYA ya Serikali za Mitaa (ALAT) Taifa, imeitaka serikali kuu kutangaza kuzivunja serikali za mitaa iwapo wanaona hazihitajiki kutokana na kushindwa kuzitambua katika rasimu ya katiba mpya. Kwamba rasimu hiyo...

 

10 years ago

GPL

MODO MBONGO ANAYESUMBUA MAREKANI

Mwanamitindo wa kimataifa Mtanzania anayeishi nchini Marekani, Tausi Likokola akijiweka sawa kufanya mahojiano kupitia Global TV Online. UKIZUNGUMZIA wanamitindo watatu walioandika historia Tanzania hadi sasa katika fani hiyo kimataifa ni wazi utamtaja mwanamitindo mkongwe, Tausi Likokola, Mtanzania anayefanya shughuli zake nchini Marekani kwa muda mrefu ambaye kwa sasa yupo nchini kwa ajili ya kusalimia na pia kuzindua miradi...

 

10 years ago

GPL

MBONGO MOVIE BUNGENI ANUSURIKA KIFO

Stori: Hamida Hassan
Mwakilishi wa wasanii katika Bunge Maalum la Katiba (BMK), Paul Mtenda juzikati alinusurika kifo baada ya gari lake kugongana uso kwa uso na lingine katika eneo la Dumila mkoani Morogoro wakati akirejea jijini Dar es Salaam kutoka Dodoma. Mwakilishi wa wasanii katika Bunge Maalum la Katiba (BMK), Paul Mtenda. “Namshukuru Mungu sikuumia kwa sababu nilikuwa nimefunga mkanda, lakini kile kilikuwa ni...

 

10 years ago

GPL

MBONGO AUAWA KWA SUMU UJERUMANI

Marehemu Robert John Mpwata (34) enzi za uhai wake. Na Makongoro Oging’, Issa Mnally/Uwazi MTU mmoja anayeaminika kuwa ni Mtanzania, Robert John Mpwata (34) anadaiwa kuuawa kwa kuwekewa sumu na mwili wake kukutwa chumbani kwake katika Mji wa Shorten nchini Ujerumani siku chache zilizopita. Habari kutoka kwa baadhi ya marafiki zake waliopo huko, zinasema Robert aliyekuwa mwanamichezo aliyecheza sarakasi, karate na judo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani