Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MODO MBONGO ANAYESUMBUA MAREKANI

Mwanamitindo wa kimataifa Mtanzania anayeishi nchini Marekani, Tausi Likokola akijiweka sawa kufanya mahojiano kupitia Global TV Online. UKIZUNGUMZIA wanamitindo watatu walioandika historia Tanzania hadi sasa katika fani hiyo kimataifa ni wazi utamtaja mwanamitindo mkongwe, Tausi Likokola, Mtanzania anayefanya shughuli zake nchini Marekani kwa muda mrefu ambaye kwa sasa yupo nchini kwa ajili ya kusalimia na pia kuzindua miradi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MBONGO AUAWA MAREKANI

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
MAMIA ya wananchi wa Manispaa ya Morogoro wakiongozwa na Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro, Mhashamu Telesphor Mkude wamejitokeza kumzika marehemu Method Clecence Mengi aliyeuawa kwa kuchomwa visu na watu wasiofahamika nchini Marekani. Mama akimuaga marehemu mwanaye, Method Clecence Mengi. Mengi alikumbwa na ukatili huo wa kuchomwa visu vitatu, tumboni viwili na kwenye paji la uso...

 

9 years ago

GPL

KAMPUNI YA MBONGO YAIBUKA KIDEDEA MAREKANI

Dickson Mkama. KUMBE! Wabongo tunaweza, Kampuni ya DMK Global ya nchini Marekani inayomilikiwa na kijana wa Kitanzania , Dickson Mkama imefanikiwa kuibuka kidedea katika kinyang’anyiro cha Tuzo za African Entertainment Awards U.S.A katika kipengele cha Best Promoter. Tuzo aliyoshinda Mkama. Kampuni hiyo ambayo imekuwa ikifanya kazi za kuandaa shoo za wasanii kibao wa kibongo na hata nje ya Bongo, ilichukua tuzo hiyo Oktoba 31,...

 

10 years ago

Vijimambo

MSANII WA BONGO FLAVA TOKA UGIRIKI ANAYESUMBUA PANDE HIZO


Kijana michael jackson kwa umaarufu wake hapa nchini Ugiriki lakini jina lake kamili ni juma ramadhani amabaye anayekuja kwa kasi kali mno hapa jijini Athens kwa nyimbo zake za bongo fleva na utoa show mbali mbali kwenye kumbi za hapa Ugiriki hususani kwenye fest vall na n.k hivi sasa kijana huyuu amepata wadhamini kadha kutoka nchi za nje akisubili mipango yake tutazidi kuwaeleza baadae na hata baadhi ya waimbaji wa kibongo waliowahi kuja hapa wanamjuwa kwa machachali yake anapokuwa...

 

10 years ago

GPL

BARNABA: WAIFU WANGU NI MODO MKALII!

MAMBO vipi msomaji wa safu hii ya Mpaka Home, tumekutana tena katika maeneo yetu ya kujidai. Ni sehemu pekee ya kuweza kujua maisha halisi ya mastaa nyumbani kwa mastaa wetu Bongo. Mwanamuziki Barnaba akiwa kwenye studio yake ya nyumbni.
Wiki hii nimetia timu mitaa ya Mwananyamala-Komakoma, kumsaka kijana machachari, anayesumbua kwa kuwa na sauti kali ya kumtoa nyoka pangoni, si mwingine bali ni Barnaba Elias.
Nyumbani...

 

11 years ago

GPL

EE! MUNGU: MFANYABIASHARA WA MAGARI ANASWA AKITAKA KUMLAWITI MODO MAARUFU

Stori: Waandishi Wetu
EEH Mungu! Unaweza kukataa lakini ni ukweli kwamba dunia imekwisha! Mambo yanayotendeka kila kukicha juu ya ardhi yanathibitisha hilo. OFM walivyomnasa mfanyabiashara wa magari (kushoto) chumbani akitaka kumlawiti modo maarufu . Mfanyabiashara maarufu wa magari jijini Dar es Salaam aliyefahamika kwa jina la Juvenali amekumbwa… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

ALAT yawa mbongo

JUMUIYA ya Serikali za Mitaa (ALAT) Taifa, imeitaka serikali kuu kutangaza kuzivunja serikali za mitaa iwapo wanaona hazihitajiki kutokana na kushindwa kuzitambua katika rasimu ya katiba mpya. Kwamba rasimu hiyo...

 

10 years ago

GPL

MREMBO MBONGO AFIA CHINA!

Imelda Mtema
Mrembo Mtanzania aliyejulikana kwa jina la Rehema Mohamed (30), anadaiwa kufia katika Mji wa Shanghai nchini China wiki mbili zilizopita baada ya kuugua kwa muda mrefu hadi mauti yalipomfika huku ndugu zake wakichanganyikiwa kutokana na taarifa za kifo hicho. Mwanadada Rehema Mohamed anayedaiwa kufia China. Habari zaidi kutoka kwa aliyekuwa rafiki wa karibu wa Rehema nchini China, (jina lake linahifadhiwa)...

 

11 years ago

GPL

MBONGO ABAKWA CHINA, AFA

Stori: Mwandishi Wetu
AMA kweli dunia hadaa, ulimwengu shujaa! Kumeibuka mchezo mchafu, kuna Watanzania wanawachukua warembo nchini na kuwapeleka China kwa ahadi kwamba wanakwenda kufanya kazi saluni, wakifika kule wanawanyang’anya paspoti na kuwauza kwa wanaume (ukahaba), sasa yamemkuta Mbongo aitwaye Sabrina au Habiba, Ijumaa Wikienda lina mkasa wa kusikitisha. Habari za uhakika kutoka kwa chanzo chetu nchini humo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani