KAMPUNI YA MBONGO YAIBUKA KIDEDEA MAREKANI
![](http://api.ning.com:80/files/RU-BxEuC-r5L49t1VgougKPalqMvqcRhN9mocdYJa4EkUFsm57mrH1Z8sarzMH5jz8AJmtylo3kEuxVFeUY-pN-1jCQToN6c/IMG20151101WA0008.jpg?width=650)
Dickson Mkama. KUMBE! Wabongo tunaweza, Kampuni ya DMK Global ya nchini Marekani inayomilikiwa na kijana wa Kitanzania , Dickson Mkama imefanikiwa kuibuka kidedea katika kinyang’anyiro cha Tuzo za African Entertainment Awards U.S.A katika kipengele cha Best Promoter. Tuzo aliyoshinda Mkama. Kampuni hiyo ambayo imekuwa ikifanya kazi za kuandaa shoo za wasanii kibao wa kibongo na hata nje ya Bongo, ilichukua tuzo hiyo Oktoba 31,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Dec
Filamu ya Tanzania ‘Dogo Masai’ yaibuka kidedea tuzo za Marekani
![1388978_981417838583880_2039616900_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1388978_981417838583880_2039616900_n-300x194.jpg)
Wakati ambapo kiwanda cha filamu Tanzania kinaendelea kudoda, kuna habari njema kutoka wa filamu ya ‘Dogo Masai.’ Filamu hiyo ya Kitanzania imeshinda tuzo tatu.
Hii ni taarifa zaidi:
Ninaitwa Timoth Conrad Kachumia Director, Producer na Writer wa filamu Tanzania. Ninayofuraha kuwajulisha watanzania kuwa nimefanikiwa kushinda California Viewers Choice Awards 2015, tuzo 2 ikiwa ni Best Feature Film pamoja na Best Director kupitia filamu ya DOGO MASAI, vile vile kutoka katika filamu hiyo hiyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2ppY0ZK4Sr*rGcq0gC8O95aNasze4ZzfzD4TzISwARdaC7ydIu8JTdpZRSWMHIzL5GgfFfp0Yhq8wmMtSuVGdR*y/china.jpg?width=650)
MBONGO ALIYEBAKWA HADI KUFA CHINA... MAZITO YAIBUKA!
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Chelsea yaibuka kidedea
11 years ago
Mwananchi03 Feb
CCM yaibuka kidedea Kiembesamaki
9 years ago
Mwananchi23 Nov
CCM yaibuka kidedea Ulanga
9 years ago
VijimamboCCM YAIBUKA KIDEDEA JIJINI MWANZA
Na George Binagi-GB PazzoMgombea wa Chama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Nyamagana Mkoani Mwanza ameibuka mshindi wa kiti cha Ubunge katika jimbo hilo kwa kupata kura 81,017 na hivyo kumbwaga aliekuwa mbunge wa jimbo hilo Ezekiel Wenje kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema aliepata kura 79,280.Matokeo hayo yalitangazwa na Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Jimboni humo ambae pia ni Kaimu...
11 years ago
MichuziTPDC yaibuka kidedea kwenye maonesho ya Sabasaba
Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC) limeibuka kidedea na kukabidhiwa kikombe cha ushindi katika kundi la mashirika ya petroli na mafuta nchini baada ya kuyabwaga chini mashirika megine mengi yaliyokuwa yanawania kikombe hicho katika maonesho ya kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo jijini Dar es Salaam.
Kikombe hicho kilikabidhiwa na mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa maonesho hayo Makamu wa Pili wa Rais wa...
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Magazeti ya Mwananchi yaibuka tena kidedea uchaguzi