CCM yaibuka kidedea Kiembesamaki
>Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imemtangaza Mahmoud Thabit Kombo (CCM), kuwa mshindi wa uwakilishi katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki uliofanyika jana mjini Zanzibar.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi23 Nov
CCM yaibuka kidedea Ulanga
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yMfIPcVvhDg/Uu6a6uIFU_I/AAAAAAAFKbo/uDfHsuWUvCs/s72-c/CCM+FLYER_THABIT+KOMBO.jpg)
News alert: CCM yachukua tena Jimbo la Kiembesamaki Yaibuka na Ushindi wa Asilimia 75.1
![](http://1.bp.blogspot.com/-yMfIPcVvhDg/Uu6a6uIFU_I/AAAAAAAFKbo/uDfHsuWUvCs/s1600/CCM+FLYER_THABIT+KOMBO.jpg)
9 years ago
VijimamboCCM YAIBUKA KIDEDEA JIJINI MWANZA
Na George Binagi-GB PazzoMgombea wa Chama cha Mapinduzi CCM Jimbo la Nyamagana Mkoani Mwanza ameibuka mshindi wa kiti cha Ubunge katika jimbo hilo kwa kupata kura 81,017 na hivyo kumbwaga aliekuwa mbunge wa jimbo hilo Ezekiel Wenje kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema aliepata kura 79,280.Matokeo hayo yalitangazwa na Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi Jimboni humo ambae pia ni Kaimu...
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Kafulila akwama Kigoma Kusini, CCM yaibuka kidedea
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Chelsea yaibuka kidedea
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RU-BxEuC-r5L49t1VgougKPalqMvqcRhN9mocdYJa4EkUFsm57mrH1Z8sarzMH5jz8AJmtylo3kEuxVFeUY-pN-1jCQToN6c/IMG20151101WA0008.jpg?width=650)
KAMPUNI YA MBONGO YAIBUKA KIDEDEA MAREKANI
11 years ago
Dewji Blog11 Aug
Tigo yaibuka kidedea Nanenane mkoani Lindi
Makamu wa Rais, Mohamed Gharib Bilal (kulia) akimzawadia tuzo Meneja wa Tigo Kanda ya Kusini Bw. Daniel Mainoya pale kampuni hiyo ya simu ilipoibuka mshindi wa nafasi ya kwanza kwa kundi la taasisi za mawasiliano katika maonesho ya Nanenane yaliyomalizika hivi karibuni mkoani Lindi.
Mainoya na mfanyakazi mwenzake Joe wakionyesha cheti cha ushiriki pamoja na kombe la mshindi wa nafasi ya kwanza kwa kundi la taasisi za mawasiliano katika maonesho ya Nanenane kitaifa yaliyomalizika hivi...
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Magazeti ya Mwananchi yaibuka tena kidedea uchaguzi