Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBONGO AUAWA MAREKANI

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
MAMIA ya wananchi wa Manispaa ya Morogoro wakiongozwa na Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro, Mhashamu Telesphor Mkude wamejitokeza kumzika marehemu Method Clecence Mengi aliyeuawa kwa kuchomwa visu na watu wasiofahamika nchini Marekani. Mama akimuaga marehemu mwanaye, Method Clecence Mengi. Mengi alikumbwa na ukatili huo wa kuchomwa visu vitatu, tumboni viwili na kwenye paji la uso...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MBONGO AUAWA KWA SUMU UJERUMANI

Marehemu Robert John Mpwata (34) enzi za uhai wake. Na Makongoro Oging’, Issa Mnally/Uwazi MTU mmoja anayeaminika kuwa ni Mtanzania, Robert John Mpwata (34) anadaiwa kuuawa kwa kuwekewa sumu na mwili wake kukutwa chumbani kwake katika Mji wa Shorten nchini Ujerumani siku chache zilizopita. Habari kutoka kwa baadhi ya marafiki zake waliopo huko, zinasema Robert aliyekuwa mwanamichezo aliyecheza sarakasi, karate na judo,...

 

10 years ago

Vijimambo

MBONGO AUAWA KWA SUMU UJERUMANI, MZAZI AOMBA MSAADA WA NAULI KWENDA KUMZIKA MWANAE


Marehemu Robert John Mpwata (34) enzi za uhai wake.
Na Makongoro Oging’, Issa Mnally/Uwazi
MTU mmoja anayeaminika kuwa ni Mtanzania, Robert John Mpwata (34) anadaiwa kuuawa kwa kuwekewa sumu na mwili wake kukutwa chumbani kwake katika Mji wa Shorten nchini Ujerumani siku chache zilizopita.

Habari kutoka kwa baadhi ya marafiki zake waliopo huko, zinasema Robert aliyekuwa mwanamichezo aliyecheza sarakasi, karate na judo, aliwasiliana nao kwa njia ya simu mara kwa mara na walipata taarifa za kifo...

 

10 years ago

GPL

MODO MBONGO ANAYESUMBUA MAREKANI

Mwanamitindo wa kimataifa Mtanzania anayeishi nchini Marekani, Tausi Likokola akijiweka sawa kufanya mahojiano kupitia Global TV Online. UKIZUNGUMZIA wanamitindo watatu walioandika historia Tanzania hadi sasa katika fani hiyo kimataifa ni wazi utamtaja mwanamitindo mkongwe, Tausi Likokola, Mtanzania anayefanya shughuli zake nchini Marekani kwa muda mrefu ambaye kwa sasa yupo nchini kwa ajili ya kusalimia na pia kuzindua miradi...

 

9 years ago

GPL

KAMPUNI YA MBONGO YAIBUKA KIDEDEA MAREKANI

Dickson Mkama. KUMBE! Wabongo tunaweza, Kampuni ya DMK Global ya nchini Marekani inayomilikiwa na kijana wa Kitanzania , Dickson Mkama imefanikiwa kuibuka kidedea katika kinyang’anyiro cha Tuzo za African Entertainment Awards U.S.A katika kipengele cha Best Promoter. Tuzo aliyoshinda Mkama. Kampuni hiyo ambayo imekuwa ikifanya kazi za kuandaa shoo za wasanii kibao wa kibongo na hata nje ya Bongo, ilichukua tuzo hiyo Oktoba 31,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana mwingine mweusi auawa Marekani

Maandamano makubwa yametokea nchini Marekani katika mji wa St Louis ,baada ya askari kumpiga risasi kijana mweusi .

 

5 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al-Qaeda al-Raymi auawa na shambulio la Marekani

Qasim al-Raymi, Kiongozi wa kundi la AQAP tangu mwaka 2015, ameuawa na vikosi vya Marekani vilivyokuwa vikitekeleza operesheni zake nchini Yemen.

 

5 years ago

CCM Blog

RAIA WA CHINA MTAFITI WA CORONA AUAWA MAREKANI

Bing LiuHaki miliki ya pichaUNIVERSITY OF PITTSBURGHMauaji ya raia wa China, mtafiti wa masuala ya virusi vya corona kwenye ardhi ya Marekani yamesababisha nadharia mbalimbali duaniani kuwa kuna sababu iliyojificha kuhusu kifo chake.Bing Liu, profesa msaidizi mwenye miaka 37 katika Chuo Kikuu cha Tiba cha Pittsburgh, Marekani alipatikana akiwa amekufa nyumbani kwake siku ya Jumamosi.Wenzake walisema alikuwa karibu kupata "matokeo muhimu" ya tafiti kuhusu Covid-19, tukio lililosababisha kuwepo kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

ALAT yawa mbongo

JUMUIYA ya Serikali za Mitaa (ALAT) Taifa, imeitaka serikali kuu kutangaza kuzivunja serikali za mitaa iwapo wanaona hazihitajiki kutokana na kushindwa kuzitambua katika rasimu ya katiba mpya. Kwamba rasimu hiyo...

 

10 years ago

GPL

MREMBO MBONGO AFIA CHINA!

Imelda Mtema
Mrembo Mtanzania aliyejulikana kwa jina la Rehema Mohamed (30), anadaiwa kufia katika Mji wa Shanghai nchini China wiki mbili zilizopita baada ya kuugua kwa muda mrefu hadi mauti yalipomfika huku ndugu zake wakichanganyikiwa kutokana na taarifa za kifo hicho. Mwanadada Rehema Mohamed anayedaiwa kufia China. Habari zaidi kutoka kwa aliyekuwa rafiki wa karibu wa Rehema nchini China, (jina lake linahifadhiwa)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani