MBONGO AUAWA KWA SUMU UJERUMANI
![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avrXzm08GwqemSc1ug8c3HY-q*f8IOg4u6Gc879AcM8dwY2i2hmcgLsTEMdM9wWe9aDAyeXUbSnLlZcK5uKvjkoe/1048004_554434027953116_1424099829_o.jpg?width=650)
Marehemu Robert John Mpwata (34) enzi za uhai wake. Na Makongoro Oging’, Issa Mnally/Uwazi MTU mmoja anayeaminika kuwa ni Mtanzania, Robert John Mpwata (34) anadaiwa kuuawa kwa kuwekewa sumu na mwili wake kukutwa chumbani kwake katika Mji wa Shorten nchini Ujerumani siku chache zilizopita. Habari kutoka kwa baadhi ya marafiki zake waliopo huko, zinasema Robert aliyekuwa mwanamichezo aliyecheza sarakasi, karate na judo,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo10 Feb
MBONGO AUAWA KWA SUMU UJERUMANI, MZAZI AOMBA MSAADA WA NAULI KWENDA KUMZIKA MWANAE
![](http://api.ning.com/files/nLML9an*avrXzm08GwqemSc1ug8c3HY-q*f8IOg4u6Gc879AcM8dwY2i2hmcgLsTEMdM9wWe9aDAyeXUbSnLlZcK5uKvjkoe/1048004_554434027953116_1424099829_o.jpg?width=650)
Marehemu Robert John Mpwata (34) enzi za uhai wake.
Na Makongoro Oging’, Issa Mnally/Uwazi
MTU mmoja anayeaminika kuwa ni Mtanzania, Robert John Mpwata (34) anadaiwa kuuawa kwa kuwekewa sumu na mwili wake kukutwa chumbani kwake katika Mji wa Shorten nchini Ujerumani siku chache zilizopita.
Habari kutoka kwa baadhi ya marafiki zake waliopo huko, zinasema Robert aliyekuwa mwanamichezo aliyecheza sarakasi, karate na judo, aliwasiliana nao kwa njia ya simu mara kwa mara na walipata taarifa za kifo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-k71jSit-lPpoMdA3Tme9A156BOtxAXoieun5anJteI8ZM0bkYlcfwq3I7YOwN6Nc2dvMuP537oABkAGh-*l3YN/FRONTI.jpg)
BINTI WA PROFESA AUAWA KWA SUMU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYp-5RWP*gQYjyQDGpZVN6WHqh4WwJAPu3ygsiGFVa4o-In4*3EBnJCRXd908lmWbrTnN-6aExxIxumy6KCtVSkg/mbongo.jpg)
MBONGO AUAWA MAREKANI
10 years ago
Habarileo01 Oct
Mume ajiua kwa sumu ukweni
MFANYABIASHARA wa mjini Tarime mkoani Mara, Wilson Weso maarufu Kishimba (34) amekufa kwa kile alichodaiwa amekunywa sumu nyumbani kwa baba mkwe wake.
10 years ago
Vijimambo01 Nov
Simba saba wauawa kwa sumu
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2507220/highRes/865179/-/maxw/600/-/opxkdcz/-/simba.jpg)
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Binti nusura ajiue kwa sumu
9 years ago
Habarileo18 Aug
Mama aua mwanawe kwa sumu
MKAZI wa Chuo, tarafa ya Shimbi Kwandele wilayani Rombo, Kilimanjaro, Fidensia Salvatory (27) anashikiliwa na Polisi mkoani hapa kwa tuhuma za kumuua kwa kumnywesha sumu mwanawe wa miezi sita kwa madai ya kukerwa na wakwe zake.
11 years ago
Habarileo26 Feb
Hausigeli afa kwa kunywa sumu
MFANYAKAZI wa ndani aliyetambuliwa kwa jina la Debora Makenda (18), amekufa baada ya kunywa sumu, ambayo ni dawa ya kuoshea mifugo.
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Nidhamu mbaya mkopo ni sumu kwa wakopaji
LICHA ya mkopo kuwa msaada mkubwa kwa wananchi, wakiwemo wafanyabiashara lakini hugeuka shubiri kwa baadhi ya wakopaji ambao wamekuwa hawana nidhamu ya mkopo. Ukweli ni kwamba hata kwenye maeneo tunamoishi...