Mume ajiua kwa sumu ukweni
MFANYABIASHARA wa mjini Tarime mkoani Mara, Wilson Weso maarufu Kishimba (34) amekufa kwa kile alichodaiwa amekunywa sumu nyumbani kwa baba mkwe wake.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70vKeTcZWL2-XUEDUo0KEnBgMN8I7wA3Pgl8DiT7C-tdVozeuh0JAcqYdMnkesAMOoJAcxSUBkep6GF4rwRSXbcD/mume.gif?width=650)
MUME AFUKUZWA UKWENI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-lehIWbnAsgec-uWYQXYeXD8XKYCg1vrA6rvc-QSGeoxQHgXIs0Xe8yc3jtEzX8rPyMyKTN9SfBGVC4gWzbtO-0/Ajinyonga.jpg)
MUME AJINYONGA UKWENI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0JM2umRWL9d75HUfGEsnMb9LnVYJs1GdIDFWvy0ivr83yO3lRjZTjX9plQMUDoLc1isvapOQHCvCCASZxrhxS5w2cHOmONqt/Afaaz.jpg?width=650)
MUME WA MTU AFIA UKWENI KWAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ69yOhBnCt6I-aAkk2iVjXv*NRm*nOGv7ZBu60OpGM7vEVtFtMuoWC464IpCmQcJeIJjSuSTvbxN*2f*4hpyCApF/Mume.jpg?width=650)
MUME AMCHOMA KISU MKEWE, NAYE ANYWA SUMU
11 years ago
Habarileo10 Jun
Mfanyabiashara ajiua kwa risasi
MFANYABIASHARA wa madini, Richard Lucas (29) anadaiwa kujiua kwa kujipiga risasi kichwani baada ya kusababisha ajali mbili tofauti.
10 years ago
Vijimambo06 Apr
Polisi ajiua kwa kujipiga risasi.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Susan-06April2015.jpg)
Askari wa Kituo cha Polisi Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora, H 3416 PC Charles, amejiua kwa kujipiga risasi.
Baadhi ya wananchi wanaoishi jirani na kituo hicho cha polisi, Paulo Lazaro na Furahisha Felix, walisema tukio hilo lilitokea Aprili 4, mwaka huu, saa 1:00 usiku kituoni hapo.
“Suala hili limetushangaza, kwani sisi tulikuwa nyumbani. Ghafla tulisikia mlio wa bunduki katika kituo cha polisi. Tulipofika, tulimkuta askari huyo akiwa amekufa...
10 years ago
Mwananchi06 Apr
Polisi ajiua kwa risasi kituoni
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Mtumishi wa ndani ajiua kwa khanga
10 years ago
Habarileo18 Sep
Mwanafunzi ajiua kwa shuka hospitalini
KATIKA hali isiyotarajiwa, mwanafunzi wa Kidato cha Tano katika Shule ya Sekondari ya Wavulana Ihungo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, Ezra Gerald (19), amejinyonga hadi kufa kwa kutumia shuka ya hospitali, alikokuwa amelazwa kwa kile kinachoeleza alikuwa anasumbuliwa na homa ya matumbo.