Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUME AJINYONGA UKWENI

Na Gregory Nyankaira, Butiama, Mara.
Mkazi mmoja wa Kijiji cha Nyamisisi, Kata ya Kukirango, wilayani Butiama,  Ryakora Kurwijira (34) amejinyonga hadi kufa kwa kutumia shati lake akiwa ukweni baada ya kukataliwa na mkewe aliyekuwa akiishi naye. Marehemu Ryakora Kurwijira (kushoto) aliyejinyonga hadi kufa baada ya kuachwa na mkewe(wa pili kushoto). Habari zilizopatikana kutoka kwa ndugu wa karibu, zinaeleza kwamba marehemu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MPWA WA MAHITA AJINYONGA UKWENI

Na Dustan Shekidele,Morogoro
MTU mmoja aitwaye Said Mchuma anayedaiwa kuwa ni mpwa wa aliyekuwa Inspekta Jenerali wa Jeshi la Polisi nchini, IGP), Alhaj Omar Idd Mahita ameacha simanzi  baada ya kujinyonga ukweni kwa kutumia shuka. Tukio hilo limetokea mwishoni mwa wiki iliyopita Mtaa wa Tambuka, Kata ya Kingolwira Manispaa ya Morogoro. Inadaiwa kuwa, marehemu alichukua uamuzi huo baada ya miaka 7 tangu mkewe ambaye...

 

10 years ago

GPL

MUME AFUKUZWA UKWENI!

Richard Bukos, Dar
HII ni dunia ya mambo mengi! Mkazi wa Kigogo -Luhanga jijini Dar, aliyefahamika kwa jina la baba Juma, Jumamosi iliyopita alijikuta akitimuliwa ukweni sanjari na mkewe, Mwanahamisi Njama kwa madai amekuwa akishindwa kutoa ushirikiano wakati wa kuchangia chakula kwenye familia ya mkewe. Baba Juma akitimuliwa ukweni. Katika sakata hilo, baba Juma inasemekana amekuwa akiishi ukweni hapo ambapo masuala ya msosi...

 

9 years ago

GPL

MUME WA MTU AFIA UKWENI KWAKE

KALI ya wiki! Mfanyabiashara maarufu jijini Dar, Jagna Issa (35), mkazi wa Magomeni-Mwembechai anadaiwa kufia ukweni na kifo chake kuacha viulizo baada ya maiti yake kukutwa ndani ya kisima cha maji kwenye nyumba ya mkwewe aliyetajwa kwa jina moja la Amina. Marehemu Jagna Issa enzi za uhai wake. MJOMBA WA MAREHEMU ASIMULIA Akizungumza na gazeti hili mapema wiki hii juu ya mkasa huo wa kusikitisha, mjomba wa marehemu Jagna, Ally...

 

10 years ago

Habarileo

Mume ajiua kwa sumu ukweni

MFANYABIASHARA wa mjini Tarime mkoani Mara, Wilson Weso maarufu Kishimba (34) amekufa kwa kile alichodaiwa amekunywa sumu nyumbani kwa baba mkwe wake.

 

9 years ago

Mwananchi

Mume ajinyonga baada ya kumuua mkewe kwa panga

Mkazi wa Kijiji cha Malolo Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya, Chipunguli Mkisi (30) anadaiwa kumuua mkewe Neva Mwaweza (24) kwa kumcharanga mapanga kichwani kutokana na wivu wa mapenzi, kisha kujiua kujinyonga kwa kamba.

 

10 years ago

GPL

TALAKA YA AUNT YATUA UKWENI

Waandishi wetu
KHA! Kuna madai kwamba, Aunt Ezekiel alishaandikiwa talaka na ipo nyumbani kwa wazazi wa aliyekuwa mumewe, Sunday Demonte, Temeke Mwisho jijini Dar. Muingizaji wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel. Kwa mujibu wa chanzo, talaka hiyo iliandikwa na mumewe huyo baada ya kupata taarifa kwamba, mkewe huyo ana ujauzito unaodaiwa kuwa ni wa Mnenguaji wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moze Iyobo. “Hivi...

 

11 years ago

GPL

SHIJA AJITAMBULISHA UKWENI TENA

Na Hamida Hassan
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Deogratius Shija ameamua kuvunja ukimya na kujitambulisha ukweni.
Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, Jumamosi iliyopita, Shija alifunga safari hadi Bagamoyo nyumbani kwa wazazi wa mkewe mtarajiwa, Irene Ndosi na kujitambulisha kama taratibu za Kiafrika zinavyotaka. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Deogratius Shija. Alipotafutwa na paparazi wetu, Shija alikiri kwenda ukweni...

 

11 years ago

GPL

SHILOLE ADAIWA KUKATALIWA UKWENI

Stori: Jamila Said na Emelder Tarimo Haijakaa poa! Habari zinadai kwamba baadhi ya ndugu wa msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ambao ni wakwe wa staa wa muziki na filamu za Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ hawamtaki kwa madai kuwa ana umri mkubwa kuliko ndugu yao. Staa wa muziki na filamu za Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ Wakizungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, baadhi ya wanandugu hao...

 

10 years ago

GPL

TYLOR SWIFT KUPELEKWA UKWENI

Staa wa muziki wa Pop, Tylor Swift. NEW YORK, Marekani
BAADA ya kushinda tuzo za BillBoard nane kati ya 14 alizokuwa akiwania, staa wa muziki wa Pop, Tylor Swift anatarajiwa kupelekwa ukweni na mchumba wake, Calvin Harris. Tylor Swift akiwa na mpenzi wake Calvin Harris.
Chanzo kinafunguka kuwa Tylor na Calvin ambaye pia ni DJ wamepanga kwenda ukweni Juni mwaka huu.
“Calvin ataongozana na Tylor kwenye ziara ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani