SHILOLE ADAIWA KUKATALIWA UKWENI
![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CofJGVEYokU99-Ep1IJCAt3BIk-znLz4*1pbVw6MwmsOGZ3SHmIGn3G7rL1FvRjImSku8tq2g*TEoeKn9bdymrN/shilole.jpg)
Stori: Jamila Said na Emelder Tarimo Haijakaa poa! Habari zinadai kwamba baadhi ya ndugu wa msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ambao ni wakwe wa staa wa muziki na filamu za Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ hawamtaki kwa madai kuwa ana umri mkubwa kuliko ndugu yao. Staa wa muziki na filamu za Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ Wakizungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, baadhi ya wanandugu hao...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gLRz0qCeA0XqLMKNAL*SZnlvXmuG3ejpsltrJLV*tjefzVIaWfYb2pskd2yBKl5qNWgnKK4ydEJSAYnz8mje-W-eCDG*DrEx/shilole.jpg)
MCHUMBA WA SHILOLE AKATALIWA UKWENI
11 years ago
Bongo Movies14 Jul
SHILOLE akataliwa ukweni kisa umri wake kuwa mkubwa kuliko mpenzi wake.
Habari zinadai kwamba baadhi ya ndugu wa msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ambao ni wakwe wa staa wa muziki na filamu za Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ hawamtaki kwa madai kuwa ana umri mkubwa kuliko ndugu yao.
Wakizungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, baadhi ya wanandugu hao (majina yanahifadhiwa) walisema umri wa Shilole siyo wa kuishi na ndugu yao, Mziwanda kwani hawaendani.
“Ukweli ni kwamba mapenzi hayaingiliwi lakini tunaumia kuona ndugu yetu katika penzi zito na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO619snggPyYQQrvmM8b8hwZmcb2SltnvZDke72BUwws0T9ON9aXbMYD26NcV4Z4vWVx1IPFnsxBgUvZ*DQqIpXv/shilole.jpg)
SHILOLE ADAIWA KUTAPELI LAKI MBILI
10 years ago
CloudsFM04 Mar
Tifu laibuka tena! Shilole adaiwa kutaka kumpasua na chupa Nuh Mzuwanda.
Staa wa Bongo Fleva na Bongo Movie,Shilole amedaiwa kutaka kumpiga tena mpenzi wake ambaye pia ni msanii Nuh Mziwanda kwa chupa hivi karibuni wakiwa kwenye sherehe ya kuzaliwa meneja wa msanii Kajala,aitwaye Lamata iliyofanyika pande za Samaki Samaki,Posta,jijini Dar.
Katika tukio hilo habari zinasema kuwa Shilole alikuwa amelewa sana na kwamba walikuwa wamekaa sehemu tofauti na Nuh Mziwanda,ghafla sehemu aliyokuwa amekaa Nuh na wasanii wengine ilirushwa chupa ambayo ilikuwa ikimlenga msanii...
10 years ago
Bongo Movies01 Dec
TETESI: Eti Shilole hakwenda ubelgiji kufanya shoo kama alivyodai. Adaiwa kupelekwa kula bata na mzee mmoja mwenye pesa ya kutosha
<span 1.6em;"="">Kweli mjini kuna mambo. Hivi majuzi mwanadada Shilole aliuga umma kuwa anaenda ubeligiji kupiga show ya muziki, lakini wachunguzi wa mambo wametutonya kuwa jambo hili si kweli bali mrembo huyu amepelekwa nchini ubeligiji kula bata tu na mzee mmoja hivi mwenye hela zake za kutosha, na show ilikuwa kama njia ya kuzuga wananchi tu ili mpango wake huo usijulikane kirahisi hasa na mpenzi wake Nuh mziwanda ambaye ameachwa nchini bila kujua nini kinaendelea.
WACHUNGUZI...
9 years ago
Habarileo11 Oct
Ajinyonga kwa kukataliwa tendo la ndoa na mkewe
WATU wawili wamekufa mkoani Ruvuma katika matukio mawili tofauti, likiwemo la mkazi mmoja kujinyonga kwa kutumia kamba ya miti baada ya kukataliwa tendo la ndoa na mkewe.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/pGq8KulVrEk/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAh92Nn5-xKrvxXM6tMarG-Ir8P0aMBGPKaDy-wi*t5y6baPFzM*MbAEuK3R52VnM3XmSvt-zl16hn7tu1LURJkY/3.jpg?width=650)
SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA
10 years ago
Bongo517 Sep
Nicki Minaj aalikwa kuzungumza na wanafunzi wa shule nyingine baada ya kukataliwa na ile aliyosoma