MCHUMBA WA SHILOLE AKATALIWA UKWENI
![](http://api.ning.com:80/files/gLRz0qCeA0XqLMKNAL*SZnlvXmuG3ejpsltrJLV*tjefzVIaWfYb2pskd2yBKl5qNWgnKK4ydEJSAYnz8mje-W-eCDG*DrEx/shilole.jpg)
Stori: Musa Mateja, Tabora OHOOO! Mchumba wa staa wa Mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shishi Baby’, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukataliwa ‘ukweni’ kwao, Tabora. Mchumba wa staa wa Mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shishi Baby’, Naftari Mlawa ‘Nuh…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo Movies14 Jul
SHILOLE akataliwa ukweni kisa umri wake kuwa mkubwa kuliko mpenzi wake.
Habari zinadai kwamba baadhi ya ndugu wa msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda ambao ni wakwe wa staa wa muziki na filamu za Kibongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ hawamtaki kwa madai kuwa ana umri mkubwa kuliko ndugu yao.
Wakizungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, baadhi ya wanandugu hao (majina yanahifadhiwa) walisema umri wa Shilole siyo wa kuishi na ndugu yao, Mziwanda kwani hawaendani.
“Ukweli ni kwamba mapenzi hayaingiliwi lakini tunaumia kuona ndugu yetu katika penzi zito na...
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini
Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.
Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CofJGVEYokU99-Ep1IJCAt3BIk-znLz4*1pbVw6MwmsOGZ3SHmIGn3G7rL1FvRjImSku8tq2g*TEoeKn9bdymrN/shilole.jpg)
SHILOLE ADAIWA KUKATALIWA UKWENI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp20bHHoxzl70UA4J9JYtoB6Wm7aiP67ZyYEQoqmg75HJ9qvDU8dsXsuSHQHR-OTfWIaeVeKxUBGM7egCbqGeeNeY/shilole.jpg)
SHILOLE, MCHUMBA’KE WAZICHAPA!
10 years ago
Vijimambo28 Jan
Shilole Amchapa Kofi Mchumba Wake Nuh Mziwanda
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/thumbnails/SHILOLE1231.jpg)
Jumamosi iliyopita ndani ya Tamasha la Kiboko yao lililofanyika Leaders Club, ilishuhudiwa live Msanii Shilole akimchezeshea kichapo mchumba wake Nuh Mziwanda kwa madai kuwa Nuh alikua hataki kuondoka nae eneo la tukio, mchekeshaji Steve Nyerere alijitokeza kuamulia ugomvi na...
10 years ago
Bongo Movies27 Jan
VIJIMAMBO: Shilole Amchapa Kofi Mchumba Wake Nuh Mziwanda
Kwa mijibu wa Gazeti la Marokocho, mwanamziki na mwigizaji wa filamu hapa Bongo, zuwena Mohammed “Shilole” alimpiga makofi mchuma wake Nuh Mziwanda mbele ya umati wa watu. Gazati la Makolokocho liliripoti kama ifuatavyo;
Jumamosi iliyopita ndani ya Tamasha la Kiboko yao lililofanyika Leaders Club, Gazeti la Makorokocho lilishudia live Msanii Shilole akimchezeshea kichapo mchumba wake Nuh Mziwanda kwa madai kuwa Nuh alikua hataki kuondoka nae eneo la tukio, mchekeshaji Steve Nyerere...
10 years ago
Bongo Movies25 Feb
Shilole na Mchumba Wake Nuh Mziwanda Wachafua Hali ya Hewa Mtandaoni!!
Mwigizaji na mwanamziki, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ambae ni mama wa watoto wawili wa kike , akiwa na mchumba wake Nuh wamechafua hali ya hewa baada ya kutupia picha yao inayowaonyesha wakiwa watupu.
Nuh Mziwanda ndio alioibandika picha hiyo kwenye ukursa wake kwenye mtandao wa instagram na baada ya kuona wengi wanamshabulia aliamua kuibandua. Kwa kiufupi picha hii haina maadili na ukizingatia mwanadada Shilole ni mama na sijui watoto wake watajifunza nini hapa.
Wapo walioona kuwa kitendo...
11 years ago
Michuzi18 Feb
KIJANA MTANASHATI ATAFUTA MCHUMBA WA KUOA: Ona picha yake na sifa za mchumba huyo anayemtaka apo chini
![](https://4.bp.blogspot.com/-yF_B61RPSXE/UwNobcg0nQI/AAAAAAAABqg/22IqbDfuLN4/s1600/OSCAR.jpg)
Master Oscar John
Mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nimekulia katika maadili ya kidini na malezi mazuri ya kifamia, napenda nichukue fursa hii nitangaze nafasi ya mchumba ambaye kama ata kidhi vigezo vyangu atakuwa ndio mke wangu wa ndoa. Kifupi mi ni mtaalam wa IT naishi Dar es salaam. Mchumba ninaye mtaka ni vema awe amekulia malezi ya kidini kwa sababu mimi ni mcha Mungu na napenda kusali kwa hiyo napenda na yeye awe hivyo, malezi yangu ni ya dini ya kikristo ni vema na yeye akawa...
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Shibuda akataliwa Tadea
![Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/John-Shibuda.jpg)
Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama cha Tadea Wilaya ya Nyasa, Joachim Mwingila, amesema hawataki Mbunge wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda ajiunge na chama hicho.
Akizungumza Dar es Salaam jana alisema, Shibuda ni mamluki anayetumwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenda kuvivuruga vyama vya upinzani.
“Shibuda ametangaza kwamba, mwakani hataki kugombea ubunge kupitia Chadema baada ya kusema hivyo akadai atagombea kupitia chama...