Shibuda akataliwa Tadea
Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama cha Tadea Wilaya ya Nyasa, Joachim Mwingila, amesema hawataki Mbunge wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda ajiunge na chama hicho.
Akizungumza Dar es Salaam jana alisema, Shibuda ni mamluki anayetumwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenda kuvivuruga vyama vya upinzani.
“Shibuda ametangaza kwamba, mwakani hataki kugombea ubunge kupitia Chadema baada ya kusema hivyo akadai atagombea kupitia chama...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Wanachama Tadea wadai Shibuda kauziwa chama
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Tadea walia na msajili wa vyama
MWENYEKITI Mstaafu wa Chama cha Tanzania Democratic Alliance (Tadea), Joachim Mwingira, amempa siku 30 Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi, achukue hatua na kumaliza mgororo wa uongozi uliopo...
10 years ago
Daily News25 Aug
Tadea party engulfed by political turmoil
Daily News
TANZANIA Democratic Alliance (Tadea) has called upon the Registrar of Political Parties to intervene in the current standoff that has engulfed the party. Addressing a press conference on Sunday in Dar es Salaam, the TADEA Acting national chairman who ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gLRz0qCeA0XqLMKNAL*SZnlvXmuG3ejpsltrJLV*tjefzVIaWfYb2pskd2yBKl5qNWgnKK4ydEJSAYnz8mje-W-eCDG*DrEx/shilole.jpg)
MCHUMBA WA SHILOLE AKATALIWA UKWENI
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Wajumbe Tadea waachwa kwenye ‘mataa’ Dar
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HD0RdVTwp0CnmHooJLIs3trngBtXL8zjnVCmL4W7XbQUqfiO8okDXaaC-OnsXmonL7BkDw-CawomgXbIHv*bxyFz57Tr3j18/B.Diamond.gif?width=650)
BABA DIAMOND AKATALIWA KUMUONA TIFFAH
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/s7s9Z08DG1x1H38DbZ5QoeAvqRMWF9qw81lC6XpI0Eo862*gFpdACO2TVB7d39Pem1d3*YafqMzzcBpGp9*WeEpTFHqMK4qE/CHUCHU.jpg?width=650)
CHUCHU AKATALIWA KWA AKINA RAY
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1Cog*54TGXGpWl5s*PAI4hk6CKJn0rRyIk57LO-8jbBNxAeN0sCgwjsrgtyO3DK660bprpl8YyEJdjYEIXfXGGF*i/FRONTWIKIENDA.gif?width=650)
JOKATE AMTAMBULISHA KIBA KWAO, AKATALIWA
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Felix Mabula akataliwa na wagombea Ubunge na Udiwani wa Chadema jimbo la Hanan’g
Mgombea Ubunge Jimbo la Hanang Derick Magoma akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya kutokua na imani na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo ambaye ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Hanang Felix Mabula madai ambayo wamewasilisha kwa tume ya uchaguzi iteue Msimamizi ili kufanikisha uchaguzi huru na wa haki.Kushoto ni Mwenyekiti wa Chadema Hanan`g Isack Joseph na kulia ni Mgombea udiwani kata ya Endasiwold John Farayo. (Habari picha na Woinde Shizza).
Wagombea wa Nafasi za...