Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shibuda akataliwa Tadea

Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda

Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MWENYEKITI wa Chama cha Tadea Wilaya ya Nyasa, Joachim Mwingila, amesema hawataki Mbunge wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda ajiunge na chama hicho.

Akizungumza Dar es Salaam jana alisema, Shibuda ni mamluki anayetumwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenda kuvivuruga vyama vya upinzani.

“Shibuda ametangaza kwamba, mwakani hataki kugombea ubunge kupitia Chadema baada ya kusema hivyo akadai atagombea kupitia chama...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wanachama Tadea wadai Shibuda kauziwa chama

Baadhi ya wafuasi wa Chama cha Tanzania Democratic Alliance (Tadea), wameibuka na kuutuhumu uongozi wa chama hicho kwa ‘kukivuruga na kukiuza’ kwa Mbunge wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tadea walia na msajili wa vyama

MWENYEKITI Mstaafu wa Chama cha Tanzania Democratic Alliance (Tadea), Joachim Mwingira, amempa siku 30 Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi, achukue hatua na kumaliza mgororo wa uongozi uliopo...

 

10 years ago

Daily News

Tadea party engulfed by political turmoil


Tadea party engulfed by political turmoil
Daily News
TANZANIA Democratic Alliance (Tadea) has called upon the Registrar of Political Parties to intervene in the current standoff that has engulfed the party. Addressing a press conference on Sunday in Dar es Salaam, the TADEA Acting national chairman who ...

 

10 years ago

GPL

MCHUMBA WA SHILOLE AKATALIWA UKWENI

Stori: Musa Mateja, Tabora
OHOOO! Mchumba wa staa wa Mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shishi Baby’, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukataliwa ‘ukweni’ kwao, Tabora. Mchumba wa staa wa Mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shishi Baby’, Naftari Mlawa ‘Nuh…

 

11 years ago

Mwananchi

Wajumbe Tadea waachwa kwenye ‘mataa’ Dar

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama cha Tadea kutoka mikoa mbalimbali wameushutumu uongozi wa chama hicho kwa kuwatelekeza baada ya kumalizika kwa kikao hicho cha juu na kuwafanya waishi maisha magumu jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

GPL

BABA DIAMOND AKATALIWA KUMUONA TIFFAH

Gladness Mallya MSHTUKO! Baada ya hivi karibuni staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kupata mtoto wa kike, Latifah Nasibu ‘Princes Tiffah’ kupitia kwa mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, baba mzazi wa mwanamuziki huyo, Abdul Jumaa ‘Baba D’ amekataliwa kumuona mjukuu wake huyo, Risasi Mchanganyiko lina habari kamili.  ....Soma...

 

9 years ago

GPL

CHUCHU AKATALIWA KWA AKINA RAY

Brighton Masalu Yamemkuta! Staa wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans anadaiwa kukataliwa na baadhi ya ndugu wa mwandani wake, Vincent Kigosi ‘Ray’ hivyo kuzidi kufifia kwa penzi lao. Staa wa sinema za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ akiwa na mpenzi wake Chuchu Hans. Kwa mujibu wa mmoja wa mashosti wa Chuchu, kwa sasa mwanamama huyo yupo kwenye kipindi kigumu kwa sababu ndugu wa Ray (kaka na dada) hawamkubali kwa sababu...

 

9 years ago

GPL

JOKATE AMTAMBULISHA KIBA KWAO, AKATALIWA

Musa mateja Imevuja! Gumzo la ndoa ya staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Mbongo-Fleva Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ inadaiwa kupigwa zengwe kama ilivyowahi kutokea kwa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kufuatia madai ya mwanadada huyo kumtambulisha jamaa huyo kwao kisha kukataliwa.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1TLfgK2 ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Felix Mabula akataliwa na wagombea Ubunge na Udiwani wa Chadema jimbo la Hanan’g

DSC06033

Mgombea Ubunge Jimbo la Hanang Derick Magoma akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) juu ya kutokua na imani na Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo hilo ambaye ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Hanang Felix Mabula madai ambayo wamewasilisha kwa tume ya uchaguzi iteue Msimamizi ili kufanikisha uchaguzi huru na wa haki.Kushoto ni Mwenyekiti wa Chadema Hanan`g  Isack Joseph  na kulia ni Mgombea udiwani kata ya Endasiwold John Farayo. (Habari picha na Woinde Shizza).

Wagombea wa Nafasi za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani