JOKATE AMTAMBULISHA KIBA KWAO, AKATALIWA

Musa mateja Imevuja! Gumzo la ndoa ya staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Mbongo-Fleva Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ inadaiwa kupigwa zengwe kama ilivyowahi kutokea kwa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kufuatia madai ya mwanadada huyo kumtambulisha jamaa huyo kwao kisha kukataliwa.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1TLfgK2 ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies17 Aug
Jokate Amtambulisha Ali Kiba Apigwa Chini Kwao
Imevuja! Gumzo la ndoa ya staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Mbongo-Fleva Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ inadaiwa kupigwa zengwe kama ilivyowahi kutokea kwa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kufuatia madai ya mwanadada huyo kumtambulisha jamaa huyo kwao kisha kukataliwa.
MINONG’ONO
Habari kutoka chanzo cha kuaminika ambacho ni mtu wa karibu wa wawili hao, tukio hilo lilijiri hivi karibuni ambapo wawili hao walihudhuria kwenye harusi ya dada wa Jokate hivyo kuibua...
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Ali Kiba ampagawisha Jokate
NA CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Jokate Mwegelo, amemsifu msanii mwezake Ali Salehe ‘Ali Kiba’ kwa kutumbuiza muziki na ‘live Band’ kitu kinachoongeza mvuto kwenye maonyesho yake.
Akizungumza na MTANZANIA, Jokate alisema Ali Kiba ni mfano wa kuigwa kwa sababu muziki unakua na soko la kimataifa linahitaji wasanii wanaotumia ala za muziki wawapo jukwaani.
“Ali Kiba ni mfano wa kuigwa, wasanii tusipende kutumia CD kwenye majukwaa tunadumaza vipaji vyetu ni vyema...
10 years ago
GPL
JOKATE, KIBA HAKUNA NDOA!
10 years ago
GPL
JOKATE, KIBA WAGEUKA GUMZO TAIFA
10 years ago
GPL
JOKATE, KIBA PICHA SASA ZINAIVA
10 years ago
GPL
MAHABA YA JOKATE, KIBA GUMZO KENYA
10 years ago
GPL
JOKATE:: SIJAFUKUZWA NYUMBANI KWA ALI KIBA
10 years ago
GPL
JOKATE: ALI KIBA NI KILA KITU KWANGU