JOKATE, KIBA WAGEUKA GUMZO TAIFA

Waandishi Wetu MASTAA wa Bongo Fleva, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na mkali wa kibao cha Chekecha Cheketua, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’, juzikati waligeuka kivutio ndani ya Uwanja wa Taifa, Dar mara baada ya kuwasili wakiwa katika pozi la kimahaba, pasipo kujali macho kodo ya mashabiki wa soka waliofurika uwanjani hapo. Mtaa wa Bongo Fleva, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na mkali wa kibao cha...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MAHABA YA JOKATE, KIBA GUMZO KENYA
10 years ago
GPL
JOKATE, KIBA HAKUNA NDOA!
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Ali Kiba ampagawisha Jokate
NA CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Jokate Mwegelo, amemsifu msanii mwezake Ali Salehe ‘Ali Kiba’ kwa kutumbuiza muziki na ‘live Band’ kitu kinachoongeza mvuto kwenye maonyesho yake.
Akizungumza na MTANZANIA, Jokate alisema Ali Kiba ni mfano wa kuigwa kwa sababu muziki unakua na soko la kimataifa linahitaji wasanii wanaotumia ala za muziki wawapo jukwaani.
“Ali Kiba ni mfano wa kuigwa, wasanii tusipende kutumia CD kwenye majukwaa tunadumaza vipaji vyetu ni vyema...
10 years ago
GPL
JOKATE AMTAMBULISHA KIBA KWAO, AKATALIWA
10 years ago
GPL
JOKATE, KIBA PICHA SASA ZINAIVA
10 years ago
GPL
JOKATE: ALI KIBA NI KILA KITU KWANGU
10 years ago
GPL
JOKATE:: SIJAFUKUZWA NYUMBANI KWA ALI KIBA