Jokate Amtambulisha Ali Kiba Apigwa Chini Kwao
Imevuja! Gumzo la ndoa ya staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Mbongo-Fleva Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ inadaiwa kupigwa zengwe kama ilivyowahi kutokea kwa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kufuatia madai ya mwanadada huyo kumtambulisha jamaa huyo kwao kisha kukataliwa.
MINONG’ONO
Habari kutoka chanzo cha kuaminika ambacho ni mtu wa karibu wa wawili hao, tukio hilo lilijiri hivi karibuni ambapo wawili hao walihudhuria kwenye harusi ya dada wa Jokate hivyo kuibua...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
JOKATE AMTAMBULISHA KIBA KWAO, AKATALIWA
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Ali Kiba ampagawisha Jokate
NA CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Jokate Mwegelo, amemsifu msanii mwezake Ali Salehe ‘Ali Kiba’ kwa kutumbuiza muziki na ‘live Band’ kitu kinachoongeza mvuto kwenye maonyesho yake.
Akizungumza na MTANZANIA, Jokate alisema Ali Kiba ni mfano wa kuigwa kwa sababu muziki unakua na soko la kimataifa linahitaji wasanii wanaotumia ala za muziki wawapo jukwaani.
“Ali Kiba ni mfano wa kuigwa, wasanii tusipende kutumia CD kwenye majukwaa tunadumaza vipaji vyetu ni vyema...
10 years ago
GPL
JOKATE:: SIJAFUKUZWA NYUMBANI KWA ALI KIBA
10 years ago
GPL
JOKATE: ALI KIBA NI KILA KITU KWANGU
9 years ago
Bongo Movies15 Nov
Bozi Namchukia Jokate kwa Sababu ya Kuwa na Ali Kiba!
KAMA kawaida ya kolamu hii kuwaletea wasanii mbalimbali na kuwabananisha na maswali kedekede ambayo yamekuwa yakiwaumiza vichwa wasomaji wa gazeti hili kwa kushindwa kuelewa undani wake.
Alhamisi ya leo tunaye msanii wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ ambaye amefungukia mswali mbalimbali kama ifuatavyo:
Msomaji: Nakukubali sana hauna makuu, ila nilisikia umetembea na mastaa wengi, ni kweli na huwa unatumia kinga?
Bozi: Kama ulivyosikia ndivyo ilivyo, kinga ni muhimu huwa nazingatia sana...
5 years ago
Michuzi
ALI KIBA KUMTAMBULISHA MSANII MPYA CHINI YA KINGS MUSIC RECORDS
Mkurugenzi wa Lebo ya Kings Music Records Ali Saleh Kiba amewataka mashabiki wa muziki kukaa tayari kumpokea msanii wake mpya Tommy Flavour.
Ni takribani siku tatu zimepita toka msanii huyo kupoteza wasanii wake wawili Cheedy na Killy tz walioamua kuondoka kwenye lebo ya Kings Music Records.
Akiandika katika mtandao wake wa Kijamii, Ali Kiba amesema kuwa Ijumaa hii atamtambulisha msanii mpya chini ya lebo ya Kings Music Records na kuwataka mashabiki...
10 years ago
Michuzi
ALI KIBA NA ABDU KIBA WALIVYOWARUSHA WASHINGTON DC..WAKISINDIKIZWA NA AJ UBAO !



Kwa picha zaidi BOFYA HAPA