BABA DIAMOND AKATALIWA KUMUONA TIFFAH

Gladness Mallya MSHTUKO! Baada ya hivi karibuni staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kupata mtoto wa kike, Latifah Nasibu ‘Princes Tiffah’ kupitia kwa mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, baba mzazi wa mwanamuziki huyo, Abdul Jumaa ‘Baba D’ amekataliwa kumuona mjukuu wake huyo, Risasi Mchanganyiko lina habari kamili. ....Soma...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo522 Sep
Diamond akanusha kuwalipisha pesa wanaotaka kumuona Tiffah uso kwa uso
10 years ago
GPL
TIFFAH SI MTOTO WA DIAMOND
9 years ago
GPL
DIAMOND: ZARI AMEMHARIBU TIFFAH!
10 years ago
GPL
DIAMOND AMUAIBISHA MAMA TIFFAH
10 years ago
GPL
TIFFAH AWAGOMBANISHA DIAMOND, ZARI
10 years ago
Mtanzania21 Sep
Tiffah wa Diamond na Zari awekwa wazi
NA CHRISTOPHER MSEKENA
SHEREHE za watoto wa mastaa katika fani mbalimbali nchini zinaendelea kushika chati, baada ya mtoto wa staa wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, Lattifah Abdul ‘Tiffah’ kufanyiwa sherehe kubwa jana.
Sherehe hiyo ilifanyika nyumbani kwa msanii huyo Tegeta kama baadhi ya mastaa waliowawahi kuwafanyia sherehe watoto wao walipozaliwa akiwemo, Zamaradi Mketema, Aunt Ezekiel, Mboni Masimba, Hbaba, Flora Mvungi na wengine wengi.
Wazazi wake wameweza kumficha sura...
10 years ago
AllAfrica.Com20 Aug
Diamond Responds to Tiffah's Paternity Suit
Entertainment Express
AllAfrica.com
Tanzanian music star Diamond Platnumz has revealed that no one has approached him to conduct DNA tests on his newborn daughter, Princess Tiffah. The Bongo Flava icon said he has not been issued with a court order asking him to do paternity tests on ...
Diamond Platnumz Takes Sides With Baby Mama, Zari On Paternity Test SagaEntertainment Express
all 2