Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BABA DIAMOND AKATALIWA KUMUONA TIFFAH

Gladness Mallya MSHTUKO! Baada ya hivi karibuni staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kupata mtoto wa kike, Latifah Nasibu ‘Princes Tiffah’ kupitia kwa mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, baba mzazi wa mwanamuziki huyo, Abdul Jumaa ‘Baba D’ amekataliwa kumuona mjukuu wake huyo, Risasi Mchanganyiko lina habari kamili.  ....Soma...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Diamond akanusha kuwalipisha pesa wanaotaka kumuona Tiffah uso kwa uso

Kwa umaarufu alionao mtoto wa Diamond na Zari, Latiffah Nasib Abdul au kama baba yake anavyopenda kumuita Tiffah, ni wazi kwamba mashabiki wengi wa staa huyo wangependa kumuona ama kumbeba mtoto huyo aliyejipatia umaarufu toka siku yake ya kwanza duniani. Hiyo inatokana pia na uamuzi wa wazazi wake kutomuonesha mapema sura yake hadi Jumapili iliyopita, […]

 

9 years ago

GPL

TIFFAH SI MTOTO WA DIAMOND

Mwandishi wetu Kazi ipo! Siku chache baada ya kuliona jua, mtoto wa kike ‘baby girl’ wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ aliyempata kupitia kwa mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Latifah a.k.a Princess Tiffah anazidi kuwa gumzo. ...Soma zaidi===>http://goo.gl/VD59sx

 

9 years ago

GPL

DIAMOND: ZARI AMEMHARIBU TIFFAH!

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’
Musa mateja Kila kitu ukizidisha ni sumu! Ndivyo ilivyotokea kwa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambaye anadaiwa kumtupia lawama mzazi mwenzake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kuwa amemharibu mtoto wao, Latifah Nasibu ‘Princes Tiffah’ kwa kumzidishia vikorombwezo vya urembo, Ijumaa Wikienda limetonywa.  Zarinah Hassan ‘Zari The...

 

9 years ago

GPL

DIAMOND AMUAIBISHA MAMA TIFFAH


Mwandishi wetu Kitendo cha mwanamuziki wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kudaiwa kutupia mtandaoni video inayomuonesha mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ au Mama Tiffah akioga bafuni, kimetafsiriwa kuwa ni kumuabisha mzazi mwenziye huyo. NI NDANI YA WHITE HOUSE Video hiyo ya hivi karibuni, inadaiwa Diamond aliitupia kwenye akaunti yake ya Mtandao wa Instagram kisha kuitoa...

 

9 years ago

GPL

TIFFAH AWAGOMBANISHA DIAMOND, ZARI

Mwandishi Wetu
MVUTANO! Ndivyo unavyoweza kusema baada mastaa wapendanao, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kujikuta wakipishana kauli kutokana na mvutano wa kibiashara unaohusu Sherehe ya Arobaini ya mtoto wao mchanga, Latiffah Nasibu ‘Tiffah’ ambaye amedhaminiwa Sh. Mil. 40 na makampuni mbalimbali yanayojishughulisha na bidhaa za watoto, Ijumaa...

 

9 years ago

Mtanzania

Tiffah wa Diamond na Zari awekwa wazi

DIAMOND...NA CHRISTOPHER MSEKENA

SHEREHE za watoto wa mastaa katika fani mbalimbali nchini zinaendelea kushika chati, baada ya mtoto wa staa wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond’, Lattifah Abdul ‘Tiffah’ kufanyiwa sherehe kubwa jana.

Sherehe hiyo ilifanyika nyumbani kwa msanii huyo Tegeta kama baadhi ya mastaa waliowawahi kuwafanyia sherehe watoto wao walipozaliwa akiwemo, Zamaradi Mketema, Aunt Ezekiel, Mboni Masimba, Hbaba, Flora Mvungi na wengine wengi.

Wazazi wake wameweza kumficha sura...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Diamond Responds to Tiffah's Paternity Suit


Entertainment Express
Diamond Responds to Tiffah's Paternity Suit
AllAfrica.com
Tanzanian music star Diamond Platnumz has revealed that no one has approached him to conduct DNA tests on his newborn daughter, Princess Tiffah. The Bongo Flava icon said he has not been issued with a court order asking him to do paternity tests on ...
Diamond Platnumz Takes Sides With Baby Mama, Zari On Paternity Test SagaEntertainment Express

all 2

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani