Wanachama Tadea wadai Shibuda kauziwa chama
Baadhi ya wafuasi wa Chama cha Tanzania Democratic Alliance (Tadea), wameibuka na kuutuhumu uongozi wa chama hicho kwa ‘kukivuruga na kukiuza’ kwa Mbunge wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Shibuda akataliwa Tadea
![Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/John-Shibuda.jpg)
Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama cha Tadea Wilaya ya Nyasa, Joachim Mwingila, amesema hawataki Mbunge wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda ajiunge na chama hicho.
Akizungumza Dar es Salaam jana alisema, Shibuda ni mamluki anayetumwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenda kuvivuruga vyama vya upinzani.
“Shibuda ametangaza kwamba, mwakani hataki kugombea ubunge kupitia Chadema baada ya kusema hivyo akadai atagombea kupitia chama...
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Zanzibar Kupitia Chama cha TADEA Mhe Juma Ali Khatib
10 years ago
Mtanzania15 Aug
Shibuda kuanzisha chama chake
![Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/John-Shibuda.jpg)
Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda
Fredy Azzah na Esther Mbussi, Dodoma
MBUNGE wa Maswa Magharibi, John Shibuda, amesema anajipanga kuanzisha chama chake au kuhamia chama mbadala ili kuwatumikia wananchi wa Maswa kisiasa baada ya kuondoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Amesema anawaomba radhi wananchi wa jimbo lake kwa kuinadi na kuwaletea Chadema kama chama mbadala kumbe ni bati lililotoboka na kupakwa rangi na wakati huo huo wakamfanya mgambo wakati yeye alitoka Chama...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZZP1O7zYqsg/Xkv70V5Yf7I/AAAAAAALeBM/TY--U8eCei4x-pBYRLmoC5RC1KEoptLsQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200217-WA0023.jpg)
USHIRIKA WA CHAURU WADAI WANACHAMA WAKE MIL.153-SADALA
CHAMA Cha Ushirika Wa Wakulima Wa Umwagiliaji -Ruvu,Chalinze mkoani Pwani (CHAURU), kinadai baadhi ya wanachama wake kiasi cha sh.milioni 153 ,madeni yanayochangia kushuka kwa mapato.
Kutokana na deni hilo, ushirika huo umeagiza kila mwanachama anaedaiwa ahakikishe analipa deni lake, hadi ifikapo Novemba mwaka huu.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZZP1O7zYqsg/Xkv70V5Yf7I/AAAAAAALeBM/TY--U8eCei4x-pBYRLmoC5RC1KEoptLsQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200217-WA0023.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/viirmOBcoEHoLK7ABVaqf26msbIVPF6W2lqFuOFfQQlYEDD3wJnGLJh2ISmBhPO2-UoyuIpYDOEWiMKq4ls8QQfx57ir7HyO/1.jpg?width=650)
WANACHAMA WA CHAMA CHA MAWAKALA WA FORODHA TANZANIA WAJIUNGA NA PSPF
10 years ago
GPLCHAMA CHA ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY ‘ACT’ CHAPOKEA WANACHAMA WAPYA
10 years ago
GPLCHAMA CHA CCM IRINGA CHAWASHANGAA CHADEMA KUZUIA WANACHAMA WAKE KUNYWA MAZIWA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-D1hPAFcmS60/XuovOqcMFDI/AAAAAAALuQw/xJyAC0eAX8gmp706mfVHD2hjqLYfy89aACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.34%2BPM.jpeg)
MWENYEKITI WA UVCCM ATINGA LONGIDO,AWAHIMIZA WANACHAMA KUWA NA UMOJA.MSHIKAMANO KUJENGA CHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-D1hPAFcmS60/XuovOqcMFDI/AAAAAAALuQw/xJyAC0eAX8gmp706mfVHD2hjqLYfy89aACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.34%2BPM.jpeg)
KUTOKA ARUSHA
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi na Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Komred Kheri James ameendelea na Ziara ya Kikazi katika Wilaya ya Longindo.
Pamoja na Mambo mengine Ndg Mwenyekiti amehimiza Umuhimu wa Kukijenga Chama kusimamia Serikali kuwatumikia Wananchi pamoja na Kuimarisha Umoja na mshikamano ndani ya Jumuiya Na Chama kipindi hiki muhimu tunachoelekea katika Uchaguzi Mkuu Mwaka 2020.
tukutaneKazini
![](https://1.bp.blogspot.com/-DeNp5ljc8po/XuovQ0ZfnrI/AAAAAAALuQ4/uM3AZlPjZtcSA4moSKVNnbF8SVdeC56igCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.35%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-z-DlaGPg3aE/XuovPvIYcZI/AAAAAAALuQ0/z1uqquD86FYpxrXCOnZIH-oNePK1aVr5QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.35%2BPM%2B%25282%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DY0Xz1lNoSE/XuovRfkBlJI/AAAAAAALuQ8/soaKLbVIF2UhkNZEgQaURal5rNKULnslwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.35%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-vAU2HIE17T4/XuovRseJwDI/AAAAAAALuRA/7vN7rWV2uck0VEH4O7ZgaDN4PEIk2EyVgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.36%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-niRMINpiiwc/XuovSmHf63I/AAAAAAALuRE/hrZVEJGlcdMa2rU1sdxwKIhnKkXDsywLQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.36%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-VHwBBBYP5aw/XuovTdQ5fkI/AAAAAAALuRI/Lx78tLZK0R81n-Rk0TYdlNtZgW4RYUPEwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B3.57.37%2BPM.jpeg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-H2VnfbRnnyo/VcHbRbky-RI/AAAAAAABTLE/ZuBFuuMHJzs/s72-c/breaking%2Bnews.jpg)
BREAKING NEWS: MKUTANO WA PROF. LIPUMBA WAHAIRISHWA BAADA YA WANACHAMA KUZINGIRA OFISI YA CHAMA HICHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-H2VnfbRnnyo/VcHbRbky-RI/AAAAAAABTLE/ZuBFuuMHJzs/s640/breaking%2Bnews.jpg)