Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USHIRIKA WA CHAURU WADAI WANACHAMA WAKE MIL.153-SADALA

NA MWAMVUA MWINYI,PWANI
CHAMA Cha Ushirika Wa Wakulima Wa Umwagiliaji -Ruvu,Chalinze mkoani Pwani (CHAURU), kinadai baadhi ya wanachama wake kiasi cha sh.milioni 153 ,madeni yanayochangia kushuka kwa mapato.

Kutokana na deni hilo, ushirika huo umeagiza kila mwanachama anaedaiwa ahakikishe analipa deni lake, hadi ifikapo Novemba mwaka huu. Akizungumzia matokeo ya ukaguzi na mapato na matumizi wakati wa mkutano mkuu wa ushirika huo ,mwenyekiti wa CHAURU ,Sadala Chacha alisema ,wadaiwa walikopa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

USHIRIKA WA CHAURU WAHITAJI BIL.11 KUNUNUA MASHINE YA KUONDOLEA MAJI KWENYE MASHAMBA

NA MWAMVUA MWINYI,PWANI

USHIRIKA wa Umwagiliaji Ruvu (CHAURU) unaofanya kilimo katika mashamba ya Ruvu ,Kata ya Vigwaza Bagamoyo, Pwani, Unahitaji sh .bilioni. 11 kwa ajili ya kununua mashine ya kuondoa maji kwenye mashamba ya wanachama wake.
Hatua hiyo inalenga kuondokana na changamoto ya mashamba kuingia maji, hasa nyakati za mvua hali inayosababisha kushindwa kuendeleza kilimo.
Hayo yalibainishwa na Mwenyekiti wa CHAURU Sadala Chacha, alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanachama Tadea wadai Shibuda kauziwa chama

Baadhi ya wafuasi wa Chama cha Tanzania Democratic Alliance (Tadea), wameibuka na kuutuhumu uongozi wa chama hicho kwa ‘kukivuruga na kukiuza’ kwa Mbunge wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Kibaha wadai mil. 30/-

KATIBU wa Chama cha Walimu (CWT) Wilaya ya Kibaha, Elizabeth Thomas, amesema walimu wanakatishwa tamaa ya kufanya kazi kwa bidii kutokana na uhakiki wa madai yao kutokwenda haraka. Thomas alibainisha...

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Jokate amfanyia interview ex wake Diamond, mashabiki wadai wanaoneana aibu!

Msimu wa pili wa kipindi cha The One Show cha TV1 umeanza. Kinachofanyika kwa sasa ni kurekodiwa kwa vipindi hivyo vitakavyoanza kurushwa hivi karibuni. Jokate Mwegelo na Diamond wakiwa kwenye studio za TV1 Leo, watangazaji wa kipindi hicho, Ezden Jumanne na Jokate Mwegelo walikuwa wakimhoji Diamond Platnumz. Diamond ameshare picha kwenye Instagram akiwa amekaa kwenye […]

 

5 years ago

Michuzi

MRAJIS AWATAKA MAAFISA USHIRIKA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA


Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege (wa sita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa ushirika na wajumbe wa bodi ya Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Simiyu(SIMCU) mara baada ya kuhitimisha kikao na wajumbe hao wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani humo Juni 09, 2020.
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege(kushoto) akizungumza na Maafisa Ushirika wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake mkoani humo Juni 09, 2020

 

5 years ago

Michuzi

MKWIRU NA USHIRIKA WAKE ONE TEAM KUIPAISHA TIMU YA MWAMBISI SEK KUPATA UZOEFU GERMAN

 NA MWAMVUA MWINYI, PWANI

WADAU wa michezo kutoka German One Team kwa ushirika na Ibrahim Mkwiru ,wameeleza ndoto yao ya kuchukua timu ya mpira wa miguu ya wanafunzi wa kike, katika shule ya sekondari ya Mwambisi kwenda nchini Ujeruman kuchota uzoefu na timu nyingine za shule za sekondari nchini humo ili kuwa na uzoefu.

Aidha ushirika huo,umeeleza mpira wa miguu sio kwa ajili ya watoto wa kiume pekee hivyo watoto wa kike wanapaswa kujiandaa kuucheza kuanzia mashuleni ili kuweza kuchukuliwa na...

 

10 years ago

GPL

PROF LIPUMBA KIZIMBANI NA WANACHAMA WAKE

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Lipumba na wanachama wengine wakiwa eneo la mahakama. MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, kujibu tuhuma za kukiuka agizo la jeshi la polisi na kuandamana. Lipumba na wanachama  wengine 32  wanatuhumiwa kufanya… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MRT SACCOS yaonya wanachama wake

CHAMA cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha walimu Moshi vijijini (MRT SACCOS) kimetoa siku 40 kwa baadhi ya wanachama wake kurejesha fedha za mikopo na wasipofanya hivyo watafungiwa kupata...

 

10 years ago

Michuzi

SHIWATA WAGAWA MASHAMBA KWA WANACHAMA WAKE

Msanii Maarufu nchini Ahmed Olotu 'Mzee Chilo' wa kwanza kulia akimsikiliza mwenyekita wa SHIWATA Cassim Taalib wa pili kushoto  walipokuwa wakigawa mashamba kwa ajili ya wanachama waoWatakaohamia kijiji cha wasanii kupewa bustani bure

Na Mwandishi Wetu

MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) umetoa bure kwa wanachama wake wanaomiliki nyumba katika kijiji chao cha Mwanzega Mkuranga ya eneo la kulima bustani.

Mwenyekiti wa SHIWATA,Cassim Taalib aliwaambia waandishi wa habari Dar es Salaam jana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani