MRT SACCOS yaonya wanachama wake
CHAMA cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha walimu Moshi vijijini (MRT SACCOS) kimetoa siku 40 kwa baadhi ya wanachama wake kurejesha fedha za mikopo na wasipofanya hivyo watafungiwa kupata...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Saccos yapunguza riba kwa wanachama wake
9 years ago
StarTV10 Nov
Wanachama SACCOS Kigoma wanusurika kupigana
Wanachama wa Chama cha Ushirika cha Jikomboe SACCOS katika halmashauri ya wilaya ya Kigoma wamenusurika kupigana baada ya kuhitilafiana juu ya kuendelea ama kutoendelea kufanyika kwa mkutano maalumu uliolenga kujadili ubadhilifu wa zaidi ya shilingi milioni 300 unaodaiwa kufanywa na baadhi ya viongozi wa chama hicho. Wanachama hao ambao ni watumishi chini ya Ofisi ya Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya hiyo wameingia katika mzozo huo baada ya katazo la kutofanyika kwa mkutano huo...
5 years ago
MichuziSACCOS ZATAKIWA KUWEKEZA MIKOPO KWA WANACHAMA WAO
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/SHIGONGO-TCRA-SACCOS-8.jpg)
SHIGONGO ATOA SEMINA YA UJASIRIAMALI KWA WANACHAMA WA TCRA SACCOS
10 years ago
Dewji Blog24 Nov
Wanachama wa SACCOS ya Katoro, Geita watembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya wanachama wa SACCOS ya Katoro , Geita waliotembelea Bunge mjini Dodoma Novemba 24, 2014 kwa mwaliko wa Mbunge wao, Lolesia Bukwimba. (Pichana Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wa SACCOS ya Katoro, Geita waliotembelea Bunge mjini Dodoma kwa mwaliko wa Mbunge wao wa jimbo la Busanda Lolesia Bukwimba (wapili kushoto kwake) Novemba 24, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri...
10 years ago
Dewji Blog21 Dec
Hazina SACCOS yakadhi hati za viwanja ambavyo ni rasmi zaidi kwa 150 kwa wanachama
![02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/024.jpg)
11 years ago
Habarileo24 Jan
CCM yaonya mawaziri wake
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimelihadharisha Baraza jipya la Mawaziri hasa mawaziri waliolalamikiwa na kurejeshwa, kuwa wanapaswa kuwajibika ipasavyo vinginevyo chama hakitasita kuwachukulia hatua. Aidha, kimetetea uamuzi wake wa kufanya ziara mikoani na kukosoa baadhi ya watendaji wakiwamo mawaziri na kusisitiza kuwa uamuzi huo ulitokana na mkutano mkuu wa chama hicho na una lengo la kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya chama hicho na si malengo binafsi.
10 years ago
GPLPROF LIPUMBA KIZIMBANI NA WANACHAMA WAKE