Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hazina SACCOS yakadhi hati za viwanja ambavyo ni rasmi zaidi kwa 150 kwa wanachama

01

Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (wa pili kulia) akiwasili viwanja vya Mkumbusho ya Taifa mwishoni mwa wiki jijini Dar es salaam wakati wa ufunguzi wa  Mkutano Mkuu wa Mwaka wa siku mbili (Disemba 20-21) wa wanachama wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Hazina, mkutano huo unaongozwa na kauli mbiu isemayo “Viwanja Rasmi Suluhisho la Makazi Bora”. Wa kwanza kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Hazina Eligius Mwankenja.   02 Waziri wa Fedha Saada Mkuya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Saccos yapunguza riba kwa wanachama wake

Chama cha Akiba na Mikopo cha Mazombe Saccos Ltd, Wilaya ya Kilolo, mkoani hapa, kimepunguza riba ya mikopo kwa wanachama wake kutoka asilimia tatu kwa mwezi hadi 2.5.

 

5 years ago

Michuzi

SACCOS ZATAKIWA KUWEKEZA MIKOPO KWA WANACHAMA WAO

 Mrajisi Msaidizi anayesimamia vyama vya ushirika wa Kifedha kutoka Dodoma Josephat Kisamalala akisisitiza jambo wakati wa mafunzo hayo AFISA Ushirika kutoka Tume ya Maendeleo ya Ushirika Dodoma Boniphace Moshi akizungumza wakati mafunzo hayo MRAJISI Msaidizi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa Tanga Jackline Senzige akizungumza wakati wa mafunzo hayo Sehemu ya washiriki kwenye mafunzo hayo Sehemu ya washiriki kwenye kikao hicho wakifuatilia matukio mbalimbaliVYAMA vya Ushirika wa Akiba na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Zoezi la utiaji saini hati kwa wateja wa viwanja Lindi kwa Dar es Salaam lafikia tamati leo Mei 29

DSCN0345Afisa Ardhi wa Lindi, Mpoki Daimon (kushoto mwenhye t shit) akitoa maelezo kwa mteja aliyefika kutia saini hati ya katika zoezki hilo linalomalizika Ijumaa ya leo katika ofisi za UTT-PID, jijini Dar es Salaam.

Na Mwandishi Wetu 

Zoezi la utiaji saini hati kwa wateja wa viwanja Lindi kwa Dar es Salaam kwa  uratibu wa Manispaa ya Lindi  kwa ushirikiano na Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyo chini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID), ambao ndio wawezeshaji wakuu wa mradi huo Ijumaa ya...

 

9 years ago

GPL

SHIGONGO ATOA SEMINA YA UJASIRIAMALI KWA WANACHAMA WA TCRA SACCOS

Eric Shigongo akifundisha somo la Sheria 10 zilizothibitishwa za jinsi ya kutoka kwenye umasikini hadi mafanikio kwa wanachama wa TCRA Saccos. Baadhi ya wafanyakazi na wanachama wa TCRA Saccos wakimsikiliza kwa makini somo la…

 

10 years ago

Dewji Blog

CCM Singida yabomoa CHADEMA kwa kukomba wanachama wake 150

DSC00412

Katibu wa itikadi na uenezi wilaya ya Singida vijijini, Halima Ng’imba, akikabidhi kadi za CCM kwa waliokuwa wanachama wa CHADEMA 150 waliohamia CCM. DSC00417 DSC00422 Katibu wa itikadi na uenezi wilaya ya Singida vijijini, Halima Ng’imba, akihutubia kwenye mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na wakazi wa kata ya Misughaa.Mkutano huo uliofanyikia kwenye kijiji cha Sakaa,uliitishwa maalum kwa ajili ya wanachama 150 kutoka CHADEMA kuhamia CCM. DSC00407 Kikundi cha burudani cha CCM cha kijiji cha Sakaa kata ya...

 

10 years ago

Habarileo

DC: Pelekeni hati za viwanja kwa watendaji

Paul Makonda.MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amewataka wakazi wa wilaya hiyo kupeleka kivuli cha hati au nyaraka inayotoa uhalali wa umiliki wa ardhi, shamba ama kiwanja kwa watendaji wao wa kata, lengo likiwa ni kuzuia migogoro ya ardhi ambayo imekuwa kero kubwa katika wilaya hiyo.

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA WANAWAKE TANZANIA (TWB) YATOA HATI ZA VIWANJA KWA WATEJA WAKE

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki  ya Wanawake  Tanzania (TWB), Magareth Chacha  (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichai) wakati wa hafla ya kukabidhi hati za viwanja kwa wateja walionunua na waliomaliza kulipa mikopo yao, Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja Masoko wa Benki hiyo, Aaron Nyanda na Mwanasheria wa Ardhi Plan Ltd, Musa Maghimbi. (Picha na Francis Dande)   Mkurugenzi Mtendaji wa Benki  ya Wanawake  Tanzania (TWB), Magareth Chacha  (wa pili kushoto) akimkabidhi...

 

11 years ago

Michuzi

mtandao wa wasanii tanzania (Shiwata) kugawa viwanja bure kwa wanachama wake mkuranga


WILAYA ya Mkuranga katika mkoa wa Pwani imepanga kupeleka Mwenge wa uhuru katika kijiji cha wasanii kilichopo MWANZEGA, Mkuranga Julai 22, mwaka huu, Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Cassim  Taalib amesema 

Bw. Taalib kasema kuwa mwenge utapokelewa kutoka wilaya ya Rufiji katikia kijiji cha Kiparang’anda na baadaye utakwenda moja kwa moja katika kijiji cha wasanii na wanamichezo cha Mwanzega ambako utawasili saa 7 mchana.
Alisema kutokana na ujio wa ugeni huo mkubwa SHIWATA...

 

10 years ago

Michuzi

GEPF YAONGEZA HUDUMA YA MAFAO ZAIDI KWA WANACHAMA WAKE

Meneja Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa GEPF, Aloyce Ntukamazima akitoa mada kwa maofisa na mameneja wa Rasilimali Watu nchini, kuhusu mafao na maendeleo ya mfuko huo, kwa sasa mfuko huo pamoja na mambo mengine wanachama wake wananufaika na Fao la Elimu, Fao la kuanza maisha kwa waajiriwa wapya, Fao la Kujikimu na Fao la Uzazi. Baadhi ya maofisa na mameneja wa Rasilimali Watu nchini, wakimsikiliza Meneja Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa GEPF, Aloyce Ntukamazima , alipokuwa akiwasilisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani