Saccos yapunguza riba kwa wanachama wake
Chama cha Akiba na Mikopo cha Mazombe Saccos Ltd, Wilaya ya Kilolo, mkoani hapa, kimepunguza riba ya mikopo kwa wanachama wake kutoka asilimia tatu kwa mwezi hadi 2.5.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Saccos hazijapunguza manyanyaso ya riba kwa wajasiriamali wadogo
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
MRT SACCOS yaonya wanachama wake
CHAMA cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha walimu Moshi vijijini (MRT SACCOS) kimetoa siku 40 kwa baadhi ya wanachama wake kurejesha fedha za mikopo na wasipofanya hivyo watafungiwa kupata...
11 years ago
Tanzania Daima08 May
Benki yapunguza riba mikopo ya nyumba
BENKI ya Afrika Tanzania imetoa ofa ya miezi sita ya punguzo la riba ya mkopo wa nyumba kutoka asilimia 18 hadi 16, ili kuwawezesha wananchi wengi kumiliki nyumba. Akizungumza na...
5 years ago
MichuziSACCOS ZATAKIWA KUWEKEZA MIKOPO KWA WANACHAMA WAO
10 years ago
Dewji Blog21 Dec
Hazina SACCOS yakadhi hati za viwanja ambavyo ni rasmi zaidi kwa 150 kwa wanachama
![02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/024.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/SHIGONGO-TCRA-SACCOS-8.jpg)
SHIGONGO ATOA SEMINA YA UJASIRIAMALI KWA WANACHAMA WA TCRA SACCOS
9 years ago
StarTV10 Nov
Wanachama SACCOS Kigoma wanusurika kupigana
Wanachama wa Chama cha Ushirika cha Jikomboe SACCOS katika halmashauri ya wilaya ya Kigoma wamenusurika kupigana baada ya kuhitilafiana juu ya kuendelea ama kutoendelea kufanyika kwa mkutano maalumu uliolenga kujadili ubadhilifu wa zaidi ya shilingi milioni 300 unaodaiwa kufanywa na baadhi ya viongozi wa chama hicho. Wanachama hao ambao ni watumishi chini ya Ofisi ya Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya hiyo wameingia katika mzozo huo baada ya katazo la kutofanyika kwa mkutano huo...
10 years ago
Dewji Blog24 Nov
Wanachama wa SACCOS ya Katoro, Geita watembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya wanachama wa SACCOS ya Katoro , Geita waliotembelea Bunge mjini Dodoma Novemba 24, 2014 kwa mwaliko wa Mbunge wao, Lolesia Bukwimba. (Pichana Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wa SACCOS ya Katoro, Geita waliotembelea Bunge mjini Dodoma kwa mwaliko wa Mbunge wao wa jimbo la Busanda Lolesia Bukwimba (wapili kushoto kwake) Novemba 24, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri...