MKWIRU NA USHIRIKA WAKE ONE TEAM KUIPAISHA TIMU YA MWAMBISI SEK KUPATA UZOEFU GERMAN
![](https://1.bp.blogspot.com/-D4wuv3aa3jg/XmPoCuaUs2I/AAAAAAALh04/9BasTJjC0JEz5XaL3b9-94eJxMvCC0bNwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI, PWANI
WADAU wa michezo kutoka German One Team kwa ushirika na Ibrahim Mkwiru ,wameeleza ndoto yao ya kuchukua timu ya mpira wa miguu ya wanafunzi wa kike, katika shule ya sekondari ya Mwambisi kwenda nchini Ujeruman kuchota uzoefu na timu nyingine za shule za sekondari nchini humo ili kuwa na uzoefu.
Aidha ushirika huo,umeeleza mpira wa miguu sio kwa ajili ya watoto wa kiume pekee hivyo watoto wa kike wanapaswa kujiandaa kuucheza kuanzia mashuleni ili kuweza kuchukuliwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VWxnGNC2ztE/XmIy33k_hiI/AAAAAAALhd4/nWHg9nhUBakQkoDT3sskKEkg_EjrBQq0gCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MKWIRU AIPA SOMO LA UFUGAJI NYUKI NA MIZINGA SEKONDARI YA MWAMBISI-MWALIMU SIMBA
Shule ya sekondari Mwambisi ,Kongowe Kibaha mkoani Pwani ,imebuni mradi wa ufugaji nyuki na mizinga kwa ajili ya asali ili kujipatia kipato pamoja na kufundisha wanafunzi somo la stadi za maisha kupitia mradi huo.
Aidha shule hiyo, inatunza mazingira kwa kupanda miti maeneo ya shule na kuotosha miche ya miti mbalimbali ambapo kwa mwaka huu wameotesha miche 10,000.
Akizungumzia ubunifu huo ,mwalimu mkuu wa shule ya sekondari Mwambisi Joseph Simba alisema ,kwasasa...
11 years ago
Mwananchi10 Feb
TFF ingefanya haya kupata uzoefu
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Kwesi Appiah kupata uzoefu Liverpool
5 years ago
CCM Blog26 May
''IRAN IPO TAYARI KUZIPA NCHI ZA AFRIKA UZOEFU WAKE WA KUKABILIANA NA CORONA''
![](https://media.parstoday.com/image/4bsd258255ab6b1byob_800C450.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zEPteeozpoo/U5ib1O3LSqI/AAAAAAAFp04/hUqnEU8WYmo/s72-c/download+(3).jpg)
DCI MNGULU KUONGOZA TIMU YA WAPELELEZI KUCHUNGUZA TUHUMA ZA WIZI KATIKA VYAMA VYA USHIRIKA MKOANI TABORA
![](http://1.bp.blogspot.com/-zEPteeozpoo/U5ib1O3LSqI/AAAAAAAFp04/hUqnEU8WYmo/s1600/download+(3).jpg)
IGP Mangu amemteua Kamishna wa Polisi Issaya Mngulu (pichani) ambaye ni Mkurugenzi wa upelelezi wa makosa ya jinai hapa nchini kuongoza timu. Timu hiyo ya upelelezi kutoka makao makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es salaam tayari...
11 years ago
Dewji Blog14 Jul
David Beckham aonyesha wazi ushabiki wake kwa Argentina baada ya kuwavisha watoto wake jezi za timu hiyo
Family outing: David Beckham and his three sons Brooklyn, Cruz and Romeo were all in attendance – with the boys all wearing Argentina kits.
Family ties: Beckham’s youngest son Cruz was also showing his support for Argentina in the team’s dark blue away kit.
Switched allegiances: David Beckham was in the crowd for the final with his young sons, including Romeo, 11, who was wearing an Argentina shirt.
Stars of the game: Former Brazilian internationals Kaka and Pele with Beckham before the...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZZP1O7zYqsg/Xkv70V5Yf7I/AAAAAAALeBM/TY--U8eCei4x-pBYRLmoC5RC1KEoptLsQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200217-WA0023.jpg)
USHIRIKA WA CHAURU WADAI WANACHAMA WAKE MIL.153-SADALA
CHAMA Cha Ushirika Wa Wakulima Wa Umwagiliaji -Ruvu,Chalinze mkoani Pwani (CHAURU), kinadai baadhi ya wanachama wake kiasi cha sh.milioni 153 ,madeni yanayochangia kushuka kwa mapato.
Kutokana na deni hilo, ushirika huo umeagiza kila mwanachama anaedaiwa ahakikishe analipa deni lake, hadi ifikapo Novemba mwaka huu.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZZP1O7zYqsg/Xkv70V5Yf7I/AAAAAAALeBM/TY--U8eCei4x-pBYRLmoC5RC1KEoptLsQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200217-WA0023.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bxClpY8tVZ8/U10idS-cBZI/AAAAAAAFdeg/84zXUVvuDjc/s72-c/unnamed+(35).jpg)
Timu 72 kushiriki Ester Cup 2014, mshindi kupata sh 1.5 million
![](http://2.bp.blogspot.com/-bxClpY8tVZ8/U10idS-cBZI/AAAAAAAFdeg/84zXUVvuDjc/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-c-jeWLHJdWc/U10ifbhVa4I/AAAAAAAFdeo/pDWheOwZwzg/s1600/unnamed+(36).jpg)
Jumla ya timu 72 zitashiriki katika mashindano ya soka ya Ester Cup ambayo huandaliwa na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, kwa tiketi ya vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Ester Bulaya.
Mashindano hayo, yanafanyika mwaka huu kwa msimu wa nne...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wLvlG0P4Zf8/XuG7j46sAlI/AAAAAAAEHlg/Pm3R3n-AeLAWBZva6ZIPX7gwBnej6MovQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-8-2-768x458.jpg)
MRAJIS AWATAKA MAAFISA USHIRIKA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wLvlG0P4Zf8/XuG7j46sAlI/AAAAAAAEHlg/Pm3R3n-AeLAWBZva6ZIPX7gwBnej6MovQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-8-2-768x458.jpg)
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege (wa sita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa ushirika na wajumbe wa bodi ya Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Simiyu(SIMCU) mara baada ya kuhitimisha kikao na wajumbe hao wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani humo Juni 09, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PICHA-1-4.jpg)
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege(kushoto) akizungumza na Maafisa Ushirika wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake mkoani humo Juni 09, 2020
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10