Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shilole na Mchumba Wake Nuh Mziwanda Wachafua Hali ya Hewa Mtandaoni!!

Mwigizaji na mwanamziki,  Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ambae ni mama wa watoto wawili wa kike , akiwa na mchumba wake Nuh wamechafua hali ya hewa baada ya kutupia picha yao inayowaonyesha wakiwa watupu.

Nuh Mziwanda ndio alioibandika picha hiyo kwenye ukursa wake kwenye mtandao wa instagram na baada ya kuona wengi wanamshabulia aliamua kuibandua. Kwa kiufupi picha hii haina maadili na ukizingatia mwanadada Shilole ni mama na sijui watoto wake watajifunza nini hapa.

Wapo walioona kuwa kitendo...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Shilole Amchapa Kofi Mchumba Wake Nuh Mziwanda

Kwa mujibu wa Gazeti la Marokocho, mwanamziki na mwigizaji wa filamu hapa Bongo, Zuwena Mohammed “Shilole” alimpiga kofi mchuma wake Nuh Mziwanda mbele ya umati wa watu. Gazati la Makolokocho liliripoti kama ifuatavyo;
Jumamosi iliyopita ndani ya Tamasha la Kiboko yao lililofanyika Leaders Club, ilishuhudiwa live Msanii Shilole akimchezeshea kichapo mchumba wake Nuh Mziwanda kwa madai kuwa Nuh alikua hataki kuondoka nae eneo la tukio, mchekeshaji Steve Nyerere alijitokeza kuamulia ugomvi na...

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO: Shilole Amchapa Kofi Mchumba Wake Nuh Mziwanda

Kwa mijibu wa Gazeti la Marokocho, mwanamziki na mwigizaji wa filamu hapa Bongo, zuwena Mohammed “Shilole” alimpiga makofi mchuma wake Nuh Mziwanda mbele ya umati wa watu. Gazati la Makolokocho liliripoti kama ifuatavyo;

Jumamosi iliyopita ndani ya Tamasha la Kiboko yao lililofanyika Leaders Club, Gazeti la Makorokocho lilishudia live Msanii Shilole akimchezeshea kichapo mchumba wake Nuh Mziwanda kwa madai kuwa Nuh alikua hataki kuondoka nae eneo la tukio, mchekeshaji Steve Nyerere...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive gossip: Nuh Mziwanda wa Shilole, ‘achafua’ hali ya hewa kwenye mtandao wa Instagram

 

 

sadNuh Mziwanda akiwa na mchumba wake, Shilole

..Maneno  ya ‘Sadd na Sadness’, ‘Women na Woman’ yamtatiza

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Huenda hii ikawa ni tabia endelevu kwa baadhi ya mastaa wa Bongo hasa wasanii wa filamu, muziki na watu maalufu kwa kung’ang’ania kuutukuza ‘Umagharibi’, hasa kwa kupenda kutumia lugha ya  Kiingereza ambacho mara zote kimekuwa kikiwatoa jacho..

Hivi sasa Nuh Mziwanda ambaye mwenye mahusiano ya uchumba na  mwimbaji Shilole ameibua mijadara huku wengi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena

LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,

 je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??

 

Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema

 

“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”

 

Kwanza kabisa...

 

9 years ago

Bongo5

Shilole naye achora Tattoo ya jina la mpenzi wake Nuh Mziwanda (Picha)

Couple ya Shilole na Nuh Mziwanda sasa ni ngoma droo upande wa kuchora Tattoo za majina yao kwenye miili yao. Nuh ndiye aliyeanza kuchora tattoo kwenye mikono yake yote miwili. Tattoo ya kwanza ilikuwa ya jina la Shishi Bybee, na baadaye alikuja kuongeza Tattoo ya pili yenye sura ya Shishi. Mpenzi wake Shilole naye ameamua […]

 

11 years ago

GPL

WEMA, DIAMOND WACHAFUA HALI YA HEWA

Stori: Musa Mateja na Shakoor Jongo JAMBO limezua jambo. Pamoja na kuanza kwa kishindo safari yake ya kuelekea Afrika Kusini ‘Sauz’ kwa ajili ya fainali za kuwania Tuzo za MTV Africa (MAMA), mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na baby wake, Wema Isaac Sepetu wamechafua hali ya hewa, Ijumaa Wikienda lilikuwa linarandaranda ndani ya nyumba. Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz 'akijidai' ndani...

 

11 years ago

Habarileo

Mtikila, Mkosamali wachafua hali ya hewa

MWENYEKITI wa chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila na Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCR Mageuzi) ‘wamechafua hali ya hewa bungeni’ wakilalamikia kutopewa nafasi ya kuchangia azimio la kupitisha rasimu ya kanuni ya kuliongoza bunge hilo Maalum la Katiba.

 

10 years ago

Mtanzania

Watuhumiwa ugaidi wachafua hali ya hewa kortini

Watuhumiwa wa kesi ya ugaidi, akiwamo Sheikh Farid Hadi Ahmed (kushoto), wakitoka kwenye chumba cha mahakama baada ya kesi yao kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Picha na Jumanne Juma

Watuhumiwa wa kesi ya ugaidi, akiwamo Sheikh Farid Hadi Ahmed (kushoto), wakitoka kwenye chumba cha mahakama baada ya kesi yao kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Picha na Jumanne Juma

NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM

KIONGOZI wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Sheikh Farid Hadi Ahmed (43), ametoa shutuma nzito dhidi ya Jeshi la Polisi akidai kuwa limewafanyia ukatili kwa kuwapiga, hali inayowafanya baadhi yao wajisaidie damu.

Sheikh...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani