Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena
LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,
je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??
Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema
“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”
Kwanza kabisa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IRWi3RrNXdU/UzRYSTQplMI/AAAAAAAFW1E/_xLM1DrneB4/s72-c/MMG20589.jpg)
10 years ago
Bongo Movies25 Feb
Shilole na Mchumba Wake Nuh Mziwanda Wachafua Hali ya Hewa Mtandaoni!!
Mwigizaji na mwanamziki, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ambae ni mama wa watoto wawili wa kike , akiwa na mchumba wake Nuh wamechafua hali ya hewa baada ya kutupia picha yao inayowaonyesha wakiwa watupu.
Nuh Mziwanda ndio alioibandika picha hiyo kwenye ukursa wake kwenye mtandao wa instagram na baada ya kuona wengi wanamshabulia aliamua kuibandua. Kwa kiufupi picha hii haina maadili na ukizingatia mwanadada Shilole ni mama na sijui watoto wake watajifunza nini hapa.
Wapo walioona kuwa kitendo...
10 years ago
Bongo Movies06 Mar
Una nini cha kusema kuhusu kauli hii ya Sintah juu ya Shilole na Nuh Mziwanda?
“Jamani jamani mnaosema ooh umasikini mmbaya kwanini Shilole anamdhalilisha bwana yake, jamani kwani huyo ‘so calle’ Nuh or ‘whatever’ his name is kalazimishwa?? unajua siku hizi mapenzi yamemekuwa ‘free’ sana yaani ukiona mtu anakupa vitasa mara humuelewi yanini kun'ga'gania ‘as if’ umezaliwa naye, mtu uliyemjua ukubwani nae akupe shida ‘BIG NO i would rather stay single for the rest of my life’, kwanza sio adhabu kuwa ‘single’ kuliko kuwa katika ‘unhealthy relationship’ ...
Mnaomuonea...
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Jamani Kaka Cheni …Ndiyo Nini Sasa?!-7
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Eee…nani? Kaanguka? Nakuja…nakuja sasa hivi,” alisema Suu na nikasikia kitanda kikilia, kuashira anatoka kitandani. Nikachukia sana maana na mimi nilikuwa pazuri.
Suu alifungua mlango huku akimwambia kaka Cheni…
“Baby acha niende tu. Nitarudi baadaye…”
TAMBAA NAYO SASA…
Kaka Cheni alijitahidi kumshawishi demu wake asiondoke, lakini wapi! Akasema lazima aende. Na mimi nikawa namwombea kwa mungu wangu demu wake asiondoke ili nifaidi maana nilishakuwa moto.
“Hapana...
11 years ago
KwanzaJamii04 Jun
MASKINI TEMBO WETU, WAMEKOSA NINI JAMANI?
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Jamani Kaka Cheni …Ndiyo Nini Sasa?!-6
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Anko, Mwanamaua anasema amesahau kitambaa chake cha kichwani chumbani kwako kitandani, kasema nipe nimpelekee ataulizwa na mama yake asiporudi nacho…halafu kasema hujamwambia usiku wa leo aje au asije maana simu yake ina matatizo ya chaja.”
SHUKA NAYO MWENYEWE SASA…
Nilimwona baba akitetemeka, akamkazia macho kaka Cheni, akasimama maana alikaa…
“Cheni,” aliita mama akitoka ndani na si baba…
“Abee…” kaka Cheni alichanganyikiwa, ilibidi aitike kama mwanamke, kama...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Jamani, hivi tunafahamu Julai 23 hii hapa?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d0*R6JtwzNOGfYQy-boG-IX1wToVHM9EIEIsyw8grCZlx0tRV8pv*tm8M9RrWL54oeU*g1vGOPotg*AWCVbrlyk/xxlv.jpg?width=650)
TUOENI TU JAMANI ILA WANAMKE WA SAMPULI HII NI MAJANGA!
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-RjkDUup5znU/VLeaYs4U9_I/AAAAAAACVuQ/7ksoh-pBzew/s72-c/IMG_10843278711680.jpeg)
ETI JAMANI ASKARI HAWA GETNI AIRPORT WANAKAGUA NINI KWENYE MABEGI YA WANAOTOKA UWANJANI?
![](http://1.bp.blogspot.com/-RjkDUup5znU/VLeaYs4U9_I/AAAAAAACVuQ/7ksoh-pBzew/s640/IMG_10843278711680.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8kC5j6bAUrE/VLeacBogOAI/AAAAAAACVuY/pnx7XL5NYoA/s640/IMG_10834560447731.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PFpQduk15V0/VLeafy9fM8I/AAAAAAACVug/hW8nIfORoWY/s640/IMG_10854661092355.jpeg)