MASKINI TEMBO WETU, WAMEKOSA NINI JAMANI?
Ndugu zangu, Ujangili umeendelea kushika kasi nchini Tanzania, hasa wa tembo, licha ya jitihada kadhaa zinazofanywa na mamlaka husika. Tembo kama huyu pichani anauawa kinyama na wendawazimu wachache ambao wanaangalia maslahi yao ya kuuza meno yake bila kujali hatma ya baadaye ya rasilimali zetu. Zimekuwepo operesheni nyingi nchini, miongoni mwazo ni ile ya Tokomeza Ujangili iliyoendeshwa mwaka 2013, ambayo ilisitishwa baada ya kudaiwa kwamba wasimamizi wake waliendesha vitendo vya utesaji...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena
LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,
je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??
Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema
“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”
Kwanza kabisa...
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Jamani Kaka Cheni …Ndiyo Nini Sasa?!-7
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Eee…nani? Kaanguka? Nakuja…nakuja sasa hivi,” alisema Suu na nikasikia kitanda kikilia, kuashira anatoka kitandani. Nikachukia sana maana na mimi nilikuwa pazuri.
Suu alifungua mlango huku akimwambia kaka Cheni…
“Baby acha niende tu. Nitarudi baadaye…”
TAMBAA NAYO SASA…
Kaka Cheni alijitahidi kumshawishi demu wake asiondoke, lakini wapi! Akasema lazima aende. Na mimi nikawa namwombea kwa mungu wangu demu wake asiondoke ili nifaidi maana nilishakuwa moto.
“Hapana...
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Jamani Kaka Cheni …Ndiyo Nini Sasa?!-6
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Anko, Mwanamaua anasema amesahau kitambaa chake cha kichwani chumbani kwako kitandani, kasema nipe nimpelekee ataulizwa na mama yake asiporudi nacho…halafu kasema hujamwambia usiku wa leo aje au asije maana simu yake ina matatizo ya chaja.”
SHUKA NAYO MWENYEWE SASA…
Nilimwona baba akitetemeka, akamkazia macho kaka Cheni, akasimama maana alikaa…
“Cheni,” aliita mama akitoka ndani na si baba…
“Abee…” kaka Cheni alichanganyikiwa, ilibidi aitike kama mwanamke, kama...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-RjkDUup5znU/VLeaYs4U9_I/AAAAAAACVuQ/7ksoh-pBzew/s72-c/IMG_10843278711680.jpeg)
ETI JAMANI ASKARI HAWA GETNI AIRPORT WANAKAGUA NINI KWENYE MABEGI YA WANAOTOKA UWANJANI?
![](http://1.bp.blogspot.com/-RjkDUup5znU/VLeaYs4U9_I/AAAAAAACVuQ/7ksoh-pBzew/s640/IMG_10843278711680.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8kC5j6bAUrE/VLeacBogOAI/AAAAAAACVuY/pnx7XL5NYoA/s640/IMG_10834560447731.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PFpQduk15V0/VLeafy9fM8I/AAAAAAACVug/hW8nIfORoWY/s640/IMG_10854661092355.jpeg)
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Kwa hili, tunawafundisha nini watoto wetu?
10 years ago
Mwananchi18 Jul
UCHAMBUZI: Kwa nini wasanii wetu wengi ni watoto?
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Kwa nini watoto wetu waendelee kukaa chini shuleni?
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Mashabiki wa Yanga wamekosa ustaarabu
10 years ago
Mtanzania06 Mar
Riyama: Watu wamekosa hofu ya Mungu
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MSANII wa filamu nchini, Riyama Ally, amewataka Watanzania kuwa na hofu ya Mungu na kuacha kuwadhulumu uhai wao walemavu wa ngozi ‘albino’.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Riyama alisema inashangaza watu ambao wamekuwa wakiendekeza imani za kishirikina, kwani wengi wao hushia pabaya na kukosa mafanikio.
Alisema imani potofu zimekuwa zikizidisha maovu hayo, huku baadhi ya watu wakijinufaisha wao bila kuangalia maisha ya wenzao.
“Watu hawana hofu ya Mungu kabisa,...