Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ETI JAMANI ASKARI HAWA GETNI AIRPORT WANAKAGUA NINI KWENYE MABEGI YA WANAOTOKA UWANJANI?

Askari Polisi akikagua katika begi la mmoja kati ya watu wanaotoka ndani ya uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere leo ambapo askari hao wamesimama usawa wa geti la kutokea magari na kusimamisha baadhi ya magari na kisha kukagua mabegi kama hivi, jambo ambalo limelalamikiwa na baadhi ya wananchi ambao wamekuwa wakisumbuliwa na askari hao ambao wamekuwa wakichagua baadhi ya magari ya kuyakagua kama hivi.Askari huyo akihamaki kupigwa picha.Akifurahia ukodaki baada ya kugundua amepigwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena

LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,

 je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??

 

Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema

 

“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”

 

Kwanza kabisa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kwa nini watu hawa wanajitenga kwenye miti

Baadhi ya raia wa India wanajitenga na wengine kwa kukaa juu na chini ya miti.

 

11 years ago

Bongo Movies

Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka

Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!

 

Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...

 

11 years ago

KwanzaJamii

MASKINI TEMBO WETU, WAMEKOSA NINI JAMANI?

Ndugu zangu, Ujangili umeendelea kushika kasi nchini Tanzania, hasa wa tembo, licha ya jitihada kadhaa zinazofanywa na mamlaka husika. Tembo kama huyu pichani anauawa kinyama na wendawazimu wachache ambao wanaangalia maslahi yao ya kuuza meno yake bila kujali hatma ya baadaye ya rasilimali zetu. Zimekuwepo operesheni nyingi nchini, miongoni mwazo ni ile ya Tokomeza Ujangili iliyoendeshwa mwaka 2013, ambayo ilisitishwa baada ya kudaiwa kwamba wasimamizi wake waliendesha vitendo vya utesaji...

 

9 years ago

Global Publishers

Jamani Kaka Cheni …Ndiyo Nini Sasa?!-6

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:
“Anko, Mwanamaua anasema amesahau kitambaa chake cha kichwani chumbani kwako kitandani, kasema nipe nimpelekee ataulizwa na mama yake asiporudi nacho…halafu kasema hujamwambia usiku wa leo aje au asije maana simu yake ina matatizo ya chaja.”
SHUKA NAYO MWENYEWE SASA…

Nilimwona baba akitetemeka, akamkazia macho kaka Cheni, akasimama maana alikaa…
“Cheni,” aliita mama akitoka ndani na si baba…
“Abee…” kaka Cheni alichanganyikiwa, ilibidi aitike kama mwanamke, kama...

 

9 years ago

Global Publishers

Jamani Kaka Cheni …Ndiyo Nini Sasa?!-7

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA:

“Eee…nani? Kaanguka? Nakuja…nakuja sasa hivi,” alisema Suu na nikasikia kitanda kikilia, kuashira anatoka kitandani. Nikachukia sana maana na mimi nilikuwa pazuri.

Suu alifungua mlango huku akimwambia kaka Cheni…

“Baby acha niende tu. Nitarudi baadaye…”

TAMBAA NAYO SASA…

Kaka Cheni alijitahidi kumshawishi demu wake asiondoke, lakini wapi! Akasema lazima aende. Na mimi nikawa namwombea kwa mungu wangu demu wake asiondoke ili nifaidi maana nilishakuwa moto.

“Hapana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nini mustakabali wa watoto hawa?

AJIRA kwa watoto limekuwa tatizo kubwa duniani hasa barani Afrika. Umoja wa Mataifa (UN) ulipitisha mkataba wa haki za watoto uliokuwa na haki zaidi ya ishirini ili kumlinda mtoto asinyanyaswe...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa?-3

KATIKA makala ya leo, nawaletea habari inayomhusu Rais wa 25 wa nchi ya Marekani.

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa? - 4:

Habarini za leo wapenzi wasomaji wa gazeti hili popote pale mlipo, hususan wale waumini wakubwa w

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani