Kwa nini watoto wetu waendelee kukaa chini shuleni?
Tamko la Azimio la Arusha la mwaka 1967 ndilo linalotajwa kuwa chimbuko la falsafa ya Ujamaa na Kujitegemea iliyosababisha mabadiliko makubwa katika sera za kijamii na kiuchumi nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Njaa shuleni, tunapeleka ujumbe gani kwa watoto wetu?
WIKI kadha zilizopita tulishuhudia watoto wetu wakikatishwa masomo na kurudishwa nyumbani kwa sababu ya kukosa chakula shuleni. Pia baadhi ya shule na vyuo mlo wao ulibadilishwa; wakalizimika kula chakula mara chache ya utaratibu uliozoeleka au kula chakula chenye viwango duni.
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Kwa hili, tunawafundisha nini watoto wetu?
Amani iwe juu yenu enyi wapendwa wasomaji wangu. Ni matumaini yangu kuwa mmekuwa mkiyafanyia kazi yale yote ninayowaletea katika safu hii.
10 years ago
Mwananchi18 Jul
UCHAMBUZI: Kwa nini wasanii wetu wengi ni watoto?
>Mambo ya kitoto, mtoto kumfanyia mtoto mwenzake, tunasema watoto wanacheza lakini mambo ya kitoto, mtu mzima kumfanyia mtu mzima mwenzake kuna walakini hapo.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7KDG63fyl04/VCAlxku8S8I/AAAAAAADFFk/kCy383IlnEQ/s72-c/Tangazo%2Bla%2BMisa%2B-%2B%2BMafanikio%2Bya%2BWatoto%2BWetu%2BShuleni%2C%2BSeptember%2B28%2B2014%2C%2B2_00%2BPM_0001.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ZJYfMqQ5AqA/VCUVUaNHvjI/AAAAAAADFhw/pK-xabHtoH8/s72-c/Tangazo%2Bla%2BMisa%2B-%2B%2BMafanikio%2Bya%2BWatoto%2BWetu%2BShuleni%2C%2BSeptember%2B28%2B2014%2C%2B2_00%2BPM%2B(1)-page-001.jpg)
10 years ago
Mwananchi02 Sep
Nchi imesheheni miti ya mbao, watoto shuleni wanakaa chini
Kuanzia mwaka 2002 Tanzania ilishuhudia ongezeko la shule za msingi na sekondari, hasa baada ya Serikali kuanza utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya elimu kwa ngazi za msingi na sekondari, maarufu kwa vifupi vya MMEM na MMES.
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
Kwa nini Katiba itayarishwe chini ya ulinzi?
KITU chochote kinachotayarishwa kwa manufaa ya jamii huku jamii husika ikiamini kwamba kitu hicho ni kwa manufaa yake, kawaida huwa hakitiliwi shaka, hakuna awezaye kuihofia jamii kuhusu matayarisho hayo, sababu...
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Njaa shuleni, tunapeleka ujumbe gani kwa watoto?
Hoja yangu wiki iliyopita ni Serikali kutelekeza shule zake hadi inafikia hatua ya kukosa chakula na shule kufungwa ili watoto warudi nyumbani kukaa bila cha kufanya.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Tandahimba Hadija Mwinuka ametoa wito kwa wazazi wenye watoto wenye mahitaji maalum wawapeleke shule badala ya kukaa nao nyumbani na kuwafungia
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania