Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa hili, tunawafundisha nini watoto wetu?

Amani iwe juu yenu enyi wapendwa wasomaji wangu. Ni matumaini yangu kuwa mmekuwa mkiyafanyia kazi yale yote ninayowaletea katika safu hii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Kwa nini wasanii wetu wengi ni watoto?

>Mambo ya kitoto, mtoto kumfanyia mtoto mwenzake, tunasema watoto wanacheza lakini mambo ya kitoto, mtu mzima kumfanyia mtu mzima mwenzake kuna walakini hapo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa nini watoto wetu waendelee kukaa chini shuleni?

Tamko la Azimio la Arusha la mwaka 1967 ndilo linalotajwa kuwa chimbuko la falsafa ya Ujamaa na Kujitegemea iliyosababisha mabadiliko makubwa katika sera za kijamii na kiuchumi nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwasaidie watoto wetu kusoma kwa malengo

Kwa kawaida elimu hasa inayotolewa kwa ubora unaostahiki huwafanya wanaonufaika nao kuwa wachapakazi, wastaarabu, watetezi wa demokrasia na wapinga maovu kama vile kutoa na kupokea rushwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Njaa shuleni, tunapeleka ujumbe gani kwa watoto wetu?

WIKI kadha zilizopita tulishuhudia watoto wetu wakikatishwa masomo na kurudishwa nyumbani kwa sababu ya kukosa chakula shuleni. Pia baadhi ya shule na vyuo mlo wao ulibadilishwa; wakalizimika kula chakula mara chache ya utaratibu uliozoeleka au kula chakula chenye viwango duni.

 

10 years ago

Vijimambo

AK47 Hakuwepo Kushuhudia Tukio Hili Kubwa Kwa Watoto Mapacha Aliowaacha


Watoto mapacha wa Emmannuel Mayanja Hummertone aka AK47 wamebatizwa.
Maggie Kiwesi na AK47 Emmanuel Mayanja walikuwa na watoto watatu wakiwemo mapacha wawili wameletwa kutoka nje ya nchi na kuletwa Uganda kwa ajili ya kubatizwa, Inasikitisha marehemu AK47 hakuwepo kushuhudia tukio hili kubwa kwa watoto wake.Watoto hao wamebatizwa siku “Kaka yake na AK47 Pallaso alipost picha kwenye ukurasa wa instagram picha yake na watoto hao na akaandika chini yake “Guess who got baptized today in the name...

 

10 years ago

Dewji Blog

Zantel yakabidhi kisima kwa kituo cha Watoto Wetu Tanzania

1

Mkuu wa Kituo cha Watoto Wetu Tanzania, Evans Tegete akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhiwa kisima kwa ajili ya kituo chake kutoka kwa kampuni ya Zantel. Kushoto kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akifuatiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Pratap Ghose.

2

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Paul Makonda akizungumza wakati wa kukabidhi kisima kwa kituo cha Watoto Wetu Tanzania. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Zantel, Pratap Ghose.

3

Mkuu wa Wilaya ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

DoubleTree Hotel watoa msaada kwa kituo cha Watoto Wetu Tanzania

 Meneja Mkuu wa DoubleTree hotel Ndugu Ian Mclachlan akimkabidhi  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh Paul Makonda Msaada wa Magoro 80 .Akipokea Msaada huo Mkuu wa Wilaya Mh Makonda ameushukuru Uongozi wa Msaada huo.Kutoka Hotel ya Double Tree ya Jijini Dar es salaam.Msaada huo umekabidhiwa na Mkuuwa Wilaya ya Kinondoni Mh Paul Makonda.Kituo Hicho kinacholea Watoto na vijana wa Mitaani na wanaoishi katika Mazingira Magumu kina Jumla ya Watoto Pamoja na Vijana 120 Kilianzishwa Mnamo mwaka 1998...

 

10 years ago

Mwananchi

40% ya watoto hawajui kwa nini wanameza ARV

Asilimia 40 ya watoto wenye umri chini ya miaka 15 wanaotumia dawa zakufubaza virusi vya Ukimwi (ARV) baada ya kuthibitika kuwa wanaishi na virusi hivyo katika Manispaa ya Ilala, hawajui kwanini wanameza dawa hizo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani