Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


40% ya watoto hawajui kwa nini wanameza ARV

Asilimia 40 ya watoto wenye umri chini ya miaka 15 wanaotumia dawa zakufubaza virusi vya Ukimwi (ARV) baada ya kuthibitika kuwa wanaishi na virusi hivyo katika Manispaa ya Ilala, hawajui kwanini wanameza dawa hizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watoto kunufaika na dawa mpya za ARV

Mamlaka ya Chakula na Dawa ya Marekani imeidhinisha matumizi ya Dawa mpya zitakazochanganywa kwenye chakula cha Watoto

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto wengi hawajui kusoma kuandika — Utafiti

ASILIMIA 61 ya watoto walio na umri wa chini ya miaka tisa hawawezi kusoma Kiswahili, Kiingereza na kufanya hesabu za kuzidisha huku wanafunzi wa shule binafsi wakionekana kufanya vizuri katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa hili, tunawafundisha nini watoto wetu?

Amani iwe juu yenu enyi wapendwa wasomaji wangu. Ni matumaini yangu kuwa mmekuwa mkiyafanyia kazi yale yote ninayowaletea katika safu hii.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Kwa nini wasanii wetu wengi ni watoto?

>Mambo ya kitoto, mtoto kumfanyia mtoto mwenzake, tunasema watoto wanacheza lakini mambo ya kitoto, mtu mzima kumfanyia mtu mzima mwenzake kuna walakini hapo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa nini watoto wetu waendelee kukaa chini shuleni?

Tamko la Azimio la Arusha la mwaka 1967 ndilo linalotajwa kuwa chimbuko la falsafa ya Ujamaa na Kujitegemea iliyosababisha mabadiliko makubwa katika sera za kijamii na kiuchumi nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa nini tuone aibu kuzaa watoto wenye ulemavu?

Makala yangu ya mwisho nilieleza kuhusu hali ya watoto wenye ulemavu na majukumu wanayokabiliana nayo wazazi na walezi wa watoto hao.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kwa nini watoto waliozaliwa na kina mama wa kupanga wamekwama Ukraine?

Watoto waliozaliwa na kina mama wa kupanga wamekwama nchini Ukraine kutokana na masharti ya kutotoka nje kukabiliana na virusi vya corona.

 

10 years ago

BBCSwahili

Awashitaki madaktari kwa kumpa ARV'S kimakosa

Mwanaume mmoja nchini Kenya amewashtaki madaktari watano kwa kumpima HIV halikadhalika kumpa dawa za ARV wala hakuwa na HIV.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani