Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAPA VIPI TENA JAMANI???

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena

LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,

 je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??

 

Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema

 

“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”

 

Kwanza kabisa...

 

10 years ago

GPL

JAMANI MASELA KAMA... VIPI TUTALALA UZEENI!!

Oya…Niaje masela wangu? Inakuwa nini wazazi? Kitaa hii haiwi kitu yaani timamu kabisa. Damudamu milele mafansi wangu. Ndo kama hivyo mwenyekiti nimeshatimba kukisanua.Turudi kwenye topiki la tudei arifu. Kuna mwanangu mmoko juzikati alinitoa na listori la mai waifu wake ambaye alitaka kujidedisha mwenyewe aisee bati akaokolewa. Jamaa anafunguka kwamba amekuwa na shori wake kwa miaka kibwena.
Miezi bee iliyokrosi mai waifu...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Mwananchi

Jamani, hivi tunafahamu Julai 23 hii hapa?

Ninawakaribisha tena wiki hii katika kona yetu ya hoja. Ni wazi kuwa mambo yanakwenda, japokuwa maisha ni mapambano.

 

9 years ago

MillardAyo

Mr. Blue bado analalamikia jina la ‘Simba’? Vipi ana tatizo na Diamond Platnumz? Hii hapa.. #UHeard (+Audio)

Ishu ilianza kwenye mtandao wa Instagram ambapo Mr. Blue alipost kwamba amesikia kuna watu wanajiita simba akati yeye alijiita jina hilo kwa sababu ya style yake ya kuchana. Blue amesema hana kinyongo kwa kuigwa lakini aliona aweke wazi ili watu wajue kwamba anaigwa na wengi na anajivunia kwa kuwa mfano wa kuigwa… Kuhusu ishu ya […]

The post Mr. Blue bado analalamikia jina la ‘Simba’? Vipi ana tatizo na Diamond Platnumz? Hii hapa.. #UHeard (+Audio) appeared first on...

 

11 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani