HII VIPI TENA
![](http://2.bp.blogspot.com/-nwztzuAaT6E/VOL6nkPopLI/AAAAAAADZsg/38upAVxc6GI/s72-c/kp17022015.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IRWi3RrNXdU/UzRYSTQplMI/AAAAAAAFW1E/_xLM1DrneB4/s72-c/MMG20589.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f5QbJIEIZ4xTfw6vl8cZXWL8SECG-YFKjw*LzSY53bPMEINRQauGpp6zEprB2XcTVXEYv3O4v8mT*gfSZ1ZebKNd1ulkJR8W/Love.jpg)
UNARINGIA UZURI NA SHEPU YAKO, VIPI HII LA FARAGHA?
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/U6TjWNrvWos/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-xZqNqYoJMJg/VSKNdGkODHI/AAAAAAAAaNc/PcKg43MTdIM/s72-c/zari7891.jpg)
WAMEZE CHUPA SASA KAMA VIPI BASI JITIRIRISHE NA HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-xZqNqYoJMJg/VSKNdGkODHI/AAAAAAAAaNc/PcKg43MTdIM/s640/zari7891.jpg)
BAADA YA MANENO MENGI ZARI AMUUA KUONYESHA KI TUMBO CHAKE
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Mr. Blue bado analalamikia jina la ‘Simba’? Vipi ana tatizo na Diamond Platnumz? Hii hapa.. #UHeard (+Audio)
Ishu ilianza kwenye mtandao wa Instagram ambapo Mr. Blue alipost kwamba amesikia kuna watu wanajiita simba akati yeye alijiita jina hilo kwa sababu ya style yake ya kuchana. Blue amesema hana kinyongo kwa kuigwa lakini aliona aweke wazi ili watu wajue kwamba anaigwa na wengi na anajivunia kwa kuwa mfano wa kuigwa… Kuhusu ishu ya […]
The post Mr. Blue bado analalamikia jina la ‘Simba’? Vipi ana tatizo na Diamond Platnumz? Hii hapa.. #UHeard (+Audio) appeared first on...
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena
LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,
je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??
Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema
“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”
Kwanza kabisa...
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Ni Okwi tena.... aah! Hii sasa sifa
10 years ago
CloudsFM28 Apr
Madereva wa mabasi ya abiria kugoma tena wiki hii
Mgomo wa Aprili 9, mwaka huu uliodumu kuanzia alfajiri hadi saa 7:00 mchana ulitikisa nchi na kuwaathiri abiria wengi waliokuwa wanasafiri kwenda maeneo mbalimbali ya nchi.
Jana Taboa walitangaza kusitisha utoaji huduma kuanzia kesho ikiwa ni hatua ya kupinga nauli mpya za mabasi zilizotangazwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa...